Kenya middle class ni wengi ndio, na maskini ni wengi pia.Wakiwekwa kwenye ratio Kenya ina watu wa daraja la kati middle class wengi kuliko Tanzania, huo ndio ukweli japo wengi wa watanzania hawaelewi hilo baada ya kukaririshwa kiuongo kwamba Kenya wana maisha magumu kuishinda Tanzania japo ukweli ni kwamba watanzania wanasota ile mbaya ila ni wavumilivu sana kushinda wakenya.
Tukianza kuhesabu ni raia wake wangapi wamekamatwa Tanzania wakisafirishwa kwenda SAHii ni ETHIOPIA, wanaongoza Kwa kupata Treni ya kisasa mapema, ndege nyingi, Barabara za Juu kwa juu, nk ktk Africa Mashariki. LAKINI najiuliza kwanini Waethiopia wanaongoza kwa KUIKIMBIA nchi yao ili kuishi Ukimbizini Ilhali Ethiopia hakuna VITA? naomba majibu?
Ethiopia wanaagiza Ngano na mafuta ya kula kutoka nje kama vile sisi tunavyoagiza ila wanauza zaidi nje kahawa, mahindi(kwa sababu sio chakula chao muhimu), matunda na bidhaa za mifugo.Chakula cha Ethiopia kinakuwa Exported kwa asilimia zaidi ya 70 kupitia Addis Ababa, Waethiopia wengi waliopo nje ya Addis Ababa wana maisha ya Ufukara sana na Njaa
Same to Eritrea....na Vita ni sababu nyingine
Anasikia story tu huyo, angekuwa na uthubutu aende akatembee akae hata wiki akazurule kuangalia life then aje hapa aanzishe mada!.Urahisi gani mkuu acha kudanganya watu
Biggest slums kubwa katika hii dunia ziko India, Mexico na South Africa. Slums za India na Mexico ni kubwa zaidi duniani lakini hiyo haimaanishi tumeendelea kuzidi hizo nchi.Sio kweli asee, hv unaijua sehemu inaitwa kibera hapo kwny mji wao wa nairobi? Iyo ndo biggest slum in africa. Na hapo hujaenda baadhi ya kaunti nyingine. Asee Tz kuna afadhali kuliko kenya.
Tusidanganyane bwana hata Tanzania maskini wapo kibao na kiujumla umaskini ktk nchi za kiafrika unaongezeka kila kukicha kwa sababu serikali nyingi za kiafrika zimeshindwa kuandaa mikakati madhubuti za kukabiliana na umaskini kwani watawala wa kiafrika huangalia maslahi yao tu na wapambe wao.Kenya middle class ni wengi ndio, na maskini ni wengi pia.
Ethiopia sio kama Rwanda, Ethiopia ni mojawapo ya nchi tano zenye uchumi mkubwa zaidi barani Africa,Ethiopia kama Rwanda tu....
Tunataka elimu ambayo mtaani kutakuwa na viwanda vidogo vingi.
Nilikua namaanisha kwamba unakuta nchi inamiundombinu Bora na wananchi wake wakiwa kwenye ufukara wa kutupwa.Ethiopia sio kama Rwanda, Ethiopia ni mojawapo ya nchi tano zenye uchumi mkubwa zaidi barani Africa,
16% ya Wakenya wanaishi chini ya mstari wa umaskini wakati Tanzania ni 26%.Kenya middle class ni wengi ndio, na maskini ni wengi pia.
Sehemu kubwa ya Ethiopia na Rwanda hata hazina miondombinu bora bado, watu wakiona mji mkuu au miji michache wanapumbazika wanafikiri na kwingine kote ndio miondombinu iko bora hivyo.Nilikua namaanisha kwamba unakuta nchi inamiundombinu Bora na wananchi wake wakiwa kwenye ufukara wa kutupwa.
Mzizi kuwa watu wanaongoza kutoroka kwao kuliko Moroco? Moroco wanamaendeleo sana lakini kwa nini wao wanakimbilia sana Ulaya?Hii ni ETHIOPIA, wanaongoza Kwa kupata Treni ya kisasa mapema, ndege nyingi, Barabara za Juu kwa juu, nk ktk Africa Mashariki. LAKINI najiuliza kwanini Waethiopia wanaongoza kwa KUIKIMBIA nchi yao ili kuishi Ukimbizini Ilhali Ethiopia hakuna VITA? naomba majibu?
View attachment 3054635
View attachment 3054640
View attachment 3054643
View attachment 3054644
View attachment 3054645
Kweli kabisaSehemu kubwa ya Ethiopia na Rwanda hata hazina miondombinu bora bado, watu wakiona mji mkuu au miji michache wanapumbazika wanafikiri na kwingine kote ndio miondombinu iko bora hivyo.
Mzizi kuwa watu wanaongoza kutoroka kwao kuliko Moroco? Moroco wanamaendeleo sana lakini kwa nini wao wanakimbilia sana
Morocco na Libya ni njia tu zile. West Africans ndio wanaokimbia nchi zao kupitia hizo nchi.Mzizi kuwa watu wanaongoza kutoroka kwao kulikroco? Moroco wanamaendeleo sana lakini kwa nini wao wanakimbilia sana Ulaya?
Wanakimbia kushenzi waithiopia,na wamepeleka wanariadha wa kutosha france mwaka huu.Lakini wananchi wao ndo wanaongoza kwa kukimbia nchi yao
Kenya nimeishi na ninaenda mara kwa mara maisha ya Kenya ni magumu kupata pesa ni kugumu na matumizi muhimu hasa ya chakula ni gharama sana usidanganyweUrahisi wa kupata pesa
Sio kweli mzee maisha ya watu binafsi ni magumu na pia kazi kupeana ni kwa ukabilaOverpopulation
Sio kweli asee, hv unaijua sehemu inaitwa kibera hapo kwny mji wao wa nairobi? Iyo ndo biggest slum in africa. Na hapo hujaenda baadhi ya kaunti nyingine. Asee Tz kuna afadhali kuliko kenya.
We endelea kuota kama Dar imendelea kuliko Adis Ababa.Acha kupotosha kwanza hiyo picha ya juu ni render na sio ethiopia! Pili Addis ababa kamejengeka sehemu ndogo tu hata kwa dar bado sana