KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
EeenHeee,
Utalia sana mkuu 'Zygot', huu ni mwanzo tu!
Hapana, mimi sitaki wakulima mashuhuri pekee ndio waende ikulu. Mimi nasubiri awafuate walipo; hasa hao hohehahe wenzetu wanaolanguliwa mazao yao na nisikie mipango yake kuwainua ikoje.
Mpaka hapo atakapofanya hivyo, nitaendelea kuungana nawe na kuililia Tanzania inayoandaliwa kurudi kwenye uchuuzi.
Utalia sana mkuu 'Zygot', huu ni mwanzo tu!
Hapana, mimi sitaki wakulima mashuhuri pekee ndio waende ikulu. Mimi nasubiri awafuate walipo; hasa hao hohehahe wenzetu wanaolanguliwa mazao yao na nisikie mipango yake kuwainua ikoje.
Mpaka hapo atakapofanya hivyo, nitaendelea kuungana nawe na kuililia Tanzania inayoandaliwa kurudi kwenye uchuuzi.