Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

EeenHeee,

Utalia sana mkuu 'Zygot', huu ni mwanzo tu!

Hapana, mimi sitaki wakulima mashuhuri pekee ndio waende ikulu. Mimi nasubiri awafuate walipo; hasa hao hohehahe wenzetu wanaolanguliwa mazao yao na nisikie mipango yake kuwainua ikoje.

Mpaka hapo atakapofanya hivyo, nitaendelea kuungana nawe na kuililia Tanzania inayoandaliwa kurudi kwenye uchuuzi.
 
EeenHeee,

Utalia sana mkuu 'Zygot', huu ni mwanzo tu!

Hapana, mimi sitaki wakulima mashuhuri pekee ndio waende ikulu. Mimi nasubiri awafuate walipo na nisikie mipango yake kwao.

Mpaka hapo atakapofanya hivyo, nitaendelea kuungana nawe na kuililia Tanzania inayoandaliwa kurudi kwenye uchuuzi.
Msitegemee Rais afanye kila kitu, kama kuna shida kwenye kilimo mbona kuna waziri wa kilimo.
Rais anaingilia tu pale wasaidizi wake wanapopata kigugumizi, Kwa mfano kiwanda cha Dangote kilikuwa na matatizo ndio maana aliingilia kati!
 
Tatizo naliona kwa huyu Dangote. Yaani ni mgeni wa kudumu ikulu. Kwa Kikwete alifika, kwa magufuli alifika sasa kamuanza Samia. Bahati mbaya wote wanampokea utadhani ndo baba wa biashara nchini. Kiwanda chenyewe kimoja tu!

Kuna hadithi kwamba wanasiasa wanawinda kupewa shares kwenye kiwanda chake na ndo sababu aliahidiwa mengi nje ya sheria za nchi.
 
Tatizo naliona kwa huyu Dangote. Yaani ni mgeni wa kudumu ikulu. Kwa Kikwete alifika, kwa magufuli alifika sasa kamuanza Samia. Bahati mbaya wote wanampokea utadhani ndo baba wa biashara nchini. Kiwanda chenyewe kimoja tu!

Kuna hadithi kwamba wanasiasa wanawinda kupewa shares kwenye kiwanda chake na ndo sababu aliahidiwa mengi nje ya sheria za nchi.
Acha apewe chochote atakacho, kuliko kutawaliwa na yule dhalimu aliyeko ahera.
 
Sisi tunanyamaza maana tukisema tunaitwa sukuma gangkwa sasa praise team wamebaki wa Msoga na ndugu zao Chadema,ndo kutwa na mapambio Daah nchi hii mmmhh
Watu walilia kutaka kiongozi mbabe akatokea na watu kushangilia kweli kweli hata robo haijafika kilio mara oooh tunakufa, mara dikteta, mara sijui nini, leo tena oooh ikulu ina_#@?&%...


Note; Watakukumbuka JM.
 
Acha apewe chochote atakacho, kuliko kutawaliwa na yule dhalimu aliyeko ahera.
Hapana! Hata waganda walisema haifai kumuacha Amin muuaji na kumfuata Obote muuaji tena. Huyu itakuwa kama kombolela: namtilia msahaka tangu uzoefu hadi elimu yake, imeungwa saaana!
 
Msitegemee Rais afanye kila kitu, kama kuna shida kwenye kilimo mbona kuna waziri wa kilimo.
Rais anaingilia tu pale wasaidizi wake wanapopata kigugumizi, Kwa mfano kiwanda cha Dangote kilikuwa na matatizo ndio maana aliingilia kati!
Kwani huko kwenye biashara hakuna wahusika; wewe vipi bhwana, mbona unabwatuka tu bila kutumia akili.

Wakulima wa nchi hii hawana matatizo makubwa kushinda hayo ya kiwanda cha Dangote, au wewe unaishi wapi?

Walipo wakulima wa nchi hii ndiko anakotakiwa rais awepo. Ndipo penye uhitaji mkubwa wa miongozo yake ili kuleta mabadiliko chanya kwa walio wengi haraka.
 
Hapana! Hata waganda walisema haifai kumuacha Amin muuaji na kumfuata Obote muuaji tena. Huyu itakuwa kama kombolela: namtilia msahaka tangu uzoefu hadi elimu yake, imeungwa saaana!

Hatujali elimu yake bali tunajali utu. Huyo aliyepita alikuwa dhalimu na ibilisi mkubwa. Hatuko tayari kutawaliwa kwa shuruti na dictator yoyote.
 
Nyie wasukuma mnapata shida Sana aisee , maana mmekua watu wa kupinga tu sasa , sijui mnapigia chepuo nani aingie ikulu , Kama magufuli hayupo tena na hawezi kuwepo tena.
Kama VIP hameni Nchi Kama walivyofanya wale waliokua hawamuelewi magufuli .
Nyie wasukuma mnapata shida Sana aisee , maana mmekua watu wa kupinga tu sasa , sijui mnapigia chepuo nani aingie ikulu , Kama magufuli hayupo tena na hawezi kuwepo tena.
Kama VIP hameni Nchi Kama walivyofanya wale waliokua hawamuelewi magufuli .
Usiwajumlishe wasukuma wote unakosea,pia hao ni wapiga kura wa rais wetu.
Hawawezi kuhama maana wao ndo wengi zaidi nchini kuliko kabila lolote.Wewe ndo uhame na chuki zako maana hata hicho kikabila chako hamtoshi hata wilaya moja.
 
Back
Top Bottom