Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

Mbona unajitoa ufahamu! Sijakwambia huko Kwa wakulima hakuna matatizo; kama wasaidizi wake wanaweza kuyatatua hakuna ulazima wa yeye kwenda. Kwenye kiwanda cha Dangote uzalishaji Na usafirishaji wa saruji ulisimama Kwa muda mrefu kutokana Na kutoelewana ambako wasaidizi wake walishindwa kutatua! Ndio maana hata Yule RC wa kule akatumbuliwa!
Mnataka mama aje mashambani kwenu hata kabla hajateua MaDc wa wilayani kwenu nyie Gang!
Vuteni subira, vitu vizuri wanapata wavumilivu !!
Wasaidizi wake waliweza kuyatatua lni, na umejuaje kwamba matatizo ya Dangote hayawezi kutatuliwa na wasaidizi wake. Ni nani anajitoa ufahamu hapa?

Alitakiwa aje mashambani siku ile alipomaliza kumweka kaburini Magufuli, that's how urgent it was, and remains so, mpaka kesho kutwa.
 
Usiwajumlishe wasukuma wote unakosea,pia hao ni wapiga kura wa rais wetu.
Hawawezi kuhama maana wao ndo wengi zaidi nchini kuliko kabila lolote.Wewe ndo uhame na chuki zako maana hata hicho kikabila chako hamtoshi hata wilaya moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ona sasa mnavyopenda kuleta ukabila , sina haja ya kutaja Kabila langu , ungejua hata povu lisingekutoka hivyo ,
Pole mkuu Kama inakuhusu , Ila acheni kupinga kila kitu , mnaweza hama kwa muda tu , maana tumeshawachoka kwa kupinga pinga hovyo bila sababu ya muhimu
 
The buck starts with her. Kubali nguvu za "the executive branch." Atakayoridhia Rais hayapingwi.
 
Haya mapumbafu ya mwendazake inatakiwa yajibiwe hata kwa kuwakashifu ikibidi,niwauwaji hawa watu yaani Mateso yote tuliopitia kwa jiwe hawayaoni too selfish this people
 
Nchi zote zinafuata mixed presidential and parliamentarian system of gvt, basi mawaziri huwa ni watu wadogo sana. Waziri hawezi hata kumsaidia mtu binafsi aliyedhulumiwa haki zake wala kutafsiri sera fulani. Muhongo alijaribu haya mambo mwishoni mwa awamu ya 4 na mwanzoni mwa awamu ya 5; Kilichofuata ni historia ambayo sote tunajua.
Kwanini?
Kwa sababu katika mfumo huu kama wa kwetu, Rais(cheo) ni mungu fulani wa hapa duniani hasa kwa watu wote wanaohudumu katika serikali. Kila mtu humuabudu Rais. Hali hiyo pia imechajishwa na katiba au kanuni au utamaduni, mila na desturi za CCM.
Sasa waziri anamuita mwekezaji amuahidi nini?
Sidhani kama waziri nchi hii ana absolute command kwa maCEO wa taasisi zilizopo chini wizara yake.
Kidata anaweza kupokea na kutekeleza maagizo ya Nchemba Madelu Lameck bila baraka za Rais?
Madelu anaweza kutoa maagizo kwa gavana wa BOT na yakatekelezwa bila baraka za moja kwa moja za Rais?
Mawaziri sio chochote na hawana lolote nchi hii. Nchi hii bora uwe CEO wa taasisi kuliko kuwa waziri. Kinachowasaidia wengi ni kwa sababu wanakuwa wabunge tayari.
Wangekuwa wanakufa na stress hao.
 
Iingie tani kwa matani, kuliko ikulu kutumika kupanga mauaji ya wapinzani.
Kuna kitu watu hawajui mama ana deal na national issue yule mpumbavu alideal personal issue aliingilia hata maisha watu na familia zao ukifunga account,kuvuruga biashara za watu,kuua watu na ukifunga kwa kuwabambikia kesi hapana yule jamaa alikuwa katili na wala sio msukuma hakuna watu wa namna hii tanzania
 
Rais ni NEMBO YA NCHI.....
Rais ni AMIRI JESHI MKUU....
Rais ni CHIEF COMFORTER....

**************************

KILA UCHAO wasomi wa nchi wanaibua vyanzo vya UCHUMI...na wizara husika WANAVIJENGEA njia za kuufikia uchumi bora....na RAIS NDIYE NEMBO YA NCHI ikiwemo UCHUMI WETU......

******************
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO SAHIHI MNO katika huu ulimwengu wa USHINDANI KIUCHUMI..........

#KaziIendelee
#NchiKwanza
#RaisNiNemboYetu
 
Rais hajakutana na kundi lolote la waajiliwa wake
Kumbe ndio maana WAHUSIKA katika Mei Mosi walikuwa WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Na alipoongea na Wazee Dar, WAHUSIKA nao walikuwa WAFANYA-BIASHARA Wazee WAGENI. Hata Msafara wake Kenya nao walikuwa ni WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Alipoongea Bungeni alikuwa anahutubia Wabunge WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Tena kila kukicha tunaona anaapisha WAFANYA- BIASHARA WAGENI hapo Ikulu. Karibu nisahau kwamba lile Baraza la EID nalo liligubikwa na Waislam WAFANYABIASHA WAGENI. Kwani nani asiyejua kuwa Mkaguzi MKuu wa Serikali na Mkuu wa TAKUKURU WALIPOKUWA Ikulu walikuwa wanatimiza wajibu wao wa kuwawakilisha WAFANYABIASHARA WAGENI. Hata zile kura zote za CCM zilipigwa na Jumuiya ya CCM ya WAFANYA BIASHARA WAGENI. Ebu tuwaulize kwani WAFANYABIASHARA WAGENI WAO WANASEMAJE?
 
Kwa hiyo rais akutane na wafanyabiashara wakubwa pale kidimbwi badala ya ikulu?.

Huyu Mama atawasuta wengi sana kwa vitendo. Kuna wachawi wanaovaa tai na suti wanaokwenda kuumbuliwa.
 
Kumbe ndio maana WAHUSIKA katika Mei Mosi walikuwa WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Na alipoongea na Wazee Dar, WAHUSIKA nao walikuwa WAFANYA-BIASHARA Wazee WAGENI. Hata Msafara wake Kenya nao walikuwa ni WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Alipoongea Bungeni alikuwa anahutubia Wabunge WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Tena kila kukicha tunaona anaapisha WAFANYA- BIASHARA WAGENI hapo Ikulu. Karibu nisahau kwamba lile Baraza la EID nalo liligubikwa na Waislam WAFANYABIASHA WAGENI. Kwani nani asiyejua kuwa Mkaguzi MKuu wa Serikali na Mkuu wa TAKUKURU WALIPOKUWA Ikulu walikuwa wanatimiza wajibu wao wa kuwawakilisha WAFANYABIASHARA WAGENI. Hata zile kura zote za CCM zilipigwa na Jumuiya ya CCM ya WAFANYA BIASHARA WAGENI. Ebu tuwaulize kwani WAFANYABIASHARA WAGENI WAO WANASEMAJE?
Wafanya biashara wageni wanakuja kuwekeza ili ajira zitengenezwe na mzunguko wa pesa uongezeke.

Kama zipo akili chanya basi ni rahisi kuufahamu umuhimu wa hao wafanya biashara, huwezi kuwakwepa kama unataka maendeleo ya kweli.
 
Kumbe ndio maana WAHUSIKA katika Mei Mosi walikuwa WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Na alipoongea na Wazee Dar, WAHUSIKA nao walikuwa WAFANYA-BIASHARA Wazee WAGENI. Hata Msafara wake Kenya nao walikuwa ni WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Alipoongea Bungeni alikuwa anahutubia Wabunge WAFANYA-BIASHARA WAGENI. Tena kila kukicha tunaona anaapisha WAFANYA- BIASHARA WAGENI hapo Ikulu. Karibu nisahau kwamba lile Baraza la EID nalo liligubikwa na Waislam WAFANYABIASHA WAGENI. Kwani nani asiyejua kuwa Mkaguzi MKuu wa Serikali na Mkuu wa TAKUKURU WALIPOKUWA Ikulu walikuwa wanatimiza wajibu wao wa kuwawakilisha WAFANYABIASHARA WAGENI. Hata zile kura zote za CCM zilipigwa na Jumuiya ya CCM ya WAFANYA BIASHARA WAGENI. Ebu tuwaulize kwani WAFANYABIASHARA WAGENI WAO WANASEMAJE?
🤣🤣🤣 Asipoelewa hayo...tujitolee kumsaidia kumpeleka pale WODI NAMBA 14 MIREMBE HOSPITALI ....
 
Back
Top Bottom