Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Rais wa nchi sio sawa na admin wa group la whatsapp la shule ya msingi uliosoma.Wasaidizi wake waliweza kuyatatua lni, na umejuaje kwamba matatizo ya Dangote hayawezi kutatuliwa na wasaidizi wake. Ni nani anajitoa ufahamu hapa?
Alitakiwa aje mashambani siku ile alipomaliza kumweka kaburini Magufuli, that's how urgent it was, and remains so, mpaka kesho kutwa.
Ni taasisi pana yenye ratiba pana na kile sehemu ni muhimu.