Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora tukose pesa lakini tuwe huru, sasahivi kila mtu yupo huru kuliko yale masimango ya kijingaMama tuna mkabidhi Tanzania adi awe kikongwe kama malikia
Labda barUlitaka akakutane na dangote wapi
We mbugila kweli
Ova
Sukuma gang tu. Acha kujitetea.Sisi tunanyamaza maana tukisema tunaitwa sukuma gangkwa sasa praise team wamebaki wa Msoga na ndugu zao Chadema,ndo kutwa na mapambio Daah nchi hii mmmhh
Inatakiwa kuwa ni kwenye dharura tu, ndio Raisi inakuwa vizuri kukutana na wafanya biashara au moja kwenye suala muhimu.Acheni chuki zenu kwa mama. Mbona Magufuli alipokutana na Dangote ikulu hamkutia neno?
Manji yupi? Unazungumzia ajira zipi? KUna wakati munasema mambo kama kijana wa kijiweni tu! Mtu unatumia maneno ya jumla jumla yasiyopimika. Aliajili maelfu, watu wengi, .... Ajira za kulipwa laki moja yeye akitengeneza mabilioni na kujenga Canada! Hapa wanavuna mitaji na kujiondokea.Walichofanywa wafanyabiashara wa tz hii miaka 5 ya muovu hata wana hamu tena? Wanahitaji muda wajipange upya, maana muovu aliwafanya kitu mbaya sana, wengi iliwapasa hata kuuza assets zao na kukimbia nchi yao. Yupo wapi Manji leo hii? Mtz aliyeajiri maelfu ya watz, muovu kwa mabifu yake ya kishamba akamsambaratisha
Acha ujinga mtu mdogo ww
Mimi nikisoma kilichoandikwa kinawahusu viongozi wote wa CCM. Wewe unaona kama anazungumziwa Samia pekee. Hayo ni mahaba ya aina gani sasa. Hawa ni wote!!!! Hatufiki kokote kwa dili za kupitia ikulu. Akilalamika mmoja rais anaagiza sheria iangaliwe.Ulikuwa na mawazo sawa na haya wakati Magu akikutana na akina Rostam au hata huyo Dangote hapo Ikulu?!
Unaweza kueleza hapa utofauti wa Dangote aliyekuwa amekutana na Magu na Dangote aliyekutana na SSH ili tuamini Dangote huyu anayekutana na SSH ni mwando tu wa kuturudisha kwenye uchuuzi lakini Dangote yule wa Magu alikuwa ni wa kutupeleka kwenye industrial nation!
View attachment 1797748
Hapo juu ni Mwenyekiti wa Bharti Enterrprise!!
Haya sasa... tofauti ya ukutanaji huu wa sasa ni ipi ukilinganisha na ule wa zamani hadi uone huu wa sasa unataka kuturudisha kwenye uchuuzi?!
Manji yupi? Unazungumzia ajira zipi? KUna wakati munasema mambo kama kijana wa kijiweni tu! Mtu unatumia maneno ya jumla jumla yasiyopimika. Aliajili maelfu, watu wengi, .... Ajira za kulipwa laki moja yeye akitengeneza mabilioni na kujenga Canada! Hapa wanavuna mitaji na kujiondokea.
Munasema ndio nini? Sukuma gang detectedManji yupi? Unazungumzia ajira zipi? KUna wakati munasema mambo kama kijana wa kijiweni tu! Mtu unatumia maneno ya jumla jumla yasiyopimika. Aliajili maelfu, watu wengi, .... Ajira za kulipwa laki moja yeye akitengeneza mabilioni na kujenga Canada! Hapa wanavuna mitaji na kujiondokea.
Maneno ya aina hii huwa yananipa picha kwamba kuna watu munatafuta raha ya maisha ambayo haipo dunia hii. Na munachukia viongozi kwa manufaa binafsi tu! Tunapojadili suala la kitaifa huwezi fikia hatua ya kuruhusu rais awe mwizi wakati jamii ya dunia hii, wizi unakubalika kwa watu wapuuzi tu. Hata kama alimnyonga mzazi wako, ifikie kiwango ujiulize kama mzazi alikuwa mtu wa maana kiasi gani.Acha apewe chochote atakacho, kuliko kutawaliwa na yule dhalimu aliyeko ahera.
Ukiulizwa matatizo gani hata huyajui, ile unaona alikuwa na matatizo, Yapi???? Taja ni yapi?Msitegemee Rais afanye kila kitu, kama kuna shida kwenye kilimo mbona kuna waziri wa kilimo.
Rais anaingilia tu pale wasaidizi wake wanapopata kigugumizi, Kwa mfano kiwanda cha Dangote kilikuwa na matatizo ndio maana aliingilia kati!
Maneno ya aina hii huwa yananipa picha kwamba kuna watu munatafuta raha ya maisha ambayo haipo dunia hii. Na munachukia viongozi kwa manufaa binafsi tu! Tunapojadili suala la kitaifa huwezi fikia hatua ya kuruhusu rais awe mwizi wakati jamii ya dunia hii, wizi unakubalika kwa watu wapuuzi tu. Hata kama alimnyonga mzazi wako, ifikie kiwango ujiulize kama mzazi alikuwa mtu wa maana kiasi gani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]🥱🥱🥱🥱🥱Mbona kipindi kile akina Rostam wameenda kuonana na ile maiti ya chato hamkuyasema haya
Mwacheni mama aipeleke nchi mahala salama kutoka kwenye ile diversion aliyokuwa anatupeleka bwana Mayanga/majanga
hivi lile libashiru liko wapi siku hizi??...silisikii kabisa tangu boss wake amekwendazake...Kwa hio dangote akakutane na mwigulu
mwigulu Ni muuaji
Binafsi nimesha hitimisha kwamba kuna Chaga tribalists wanaoaamini this time watakula raha waliyoanza nayo miaka ya 70.Sisi tunanyamaza maana tukisema tunaitwa sukuma gangkwa sasa praise team wamebaki wa Msoga na ndugu zao Chadema,ndo kutwa na mapambio Daah nchi hii mmmhh