ILLICH
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 239
- 183
Tayari mmeshasahau,kwani huyo Dangote hakuwahi kwenda Ikulu kipindi cha Mwendazake?na je huyo Mama ndio Raisi wa Kwanza kukaribisha wawekezaji Ikulu?Tunasubiri muda wake uishe,afanye haraka na hao wawekezaji wake. Tumerudi kuwa shamba la bibi.