Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

Kwanini wafanyabiashara wakubwa wakutane na Rais Ikulu badala ya Waziri husika Wizarani?

Tunasubiri muda wake uishe,afanye haraka na hao wawekezaji wake. Tumerudi kuwa shamba la bibi.
Tayari mmeshasahau,kwani huyo Dangote hakuwahi kwenda Ikulu kipindi cha Mwendazake?na je huyo Mama ndio Raisi wa Kwanza kukaribisha wawekezaji Ikulu?
 
Bado hujaandika kitu. Unaandika mambo ya jumla sana! Hao akina nani? JF ya enzi zetu ilikuwa ya kutoa ushahidi siyo mambo ya kijiweni na majukwaa ya Lissu. Be specific! na huenda utasema Lissu wakati unaelewa Absalom Kibanda alitolewa jicho enzi ya Kikwete, Ulimboka aling'olewa meno enzi ya Kikwete. Tena PM akasema wapigwe tu!

Una matatizo mengi kichwani usiyoweza kuyaeleza kwa ufasaha.

Hebu tuwekee ushahidi mmoja wa hizo enzi zenu mkiwa mnaweka ushahidi, ili nijifunze namna ya kuweka ushahidi kama nyinyi enzi zenu.
 
Haijalishi awe mnigeria,mghana au mcameroon km ana uwezo wa kuwekeza na kuzalisha ajira za kutosha tunapaswa kumkaribisha kwa bashasha zote na sio kwa kejeli km unazoziandika hpa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hivi umeona kejeli wapi? Just for your info umeshajiuliza kwa nini wako group ya kupata referral visa kabla ya kuingia TZ.

Na legitimate business za West Africa hapa Tanzania unaelewa undani wake? Mimi naongea with facts.
 
Mbona kipindi kile akina Rostam wameenda kuonana na ile maiti ya chato hamkuyasema haya

Mwacheni mama aipeleke nchi mahala salama kutoka kwenye ile diversion aliyokuwa anatupeleka bwana Mayanga/majanga
😨😨
 
Dunia nzima kama kuna mfanyabiashara mkubwa au ataombwa na kiongozi mkubwa au yeye atakuja
Waziri hawezi kufanya kitu kabla ya Rais au kama nchi inaongozwa na PM

Angalia Musk wanavyomuomba awekeza katika nchi za dunia
Sisi Kiwanda cha cement tu tunalia lia kweli safari bado
IMG_1128.jpg
 
Rais wa nchi sio sawa na admin wa group la whatsapp la shule ya msingi uliosoma.

Ni taasisi pana yenye ratiba pana na kile sehemu ni muhimu.
Kwa hiyo wewe ndio mwalimu wa hao wa shule ya msingi?

Unaandika hapa upuuzi huu unaongeza thamani gani kwenye mada husika?
 
Waziri wa kilimo na naibu wake wapo vizuri sana na kuna mapinduzi makubwa yanaendelea ndani ya hiyo sekta.
Najua vizuri sana hayo ya waziri na naibu wake na ninayo matumaini makubwa sana kwao, na wala haizuii chochote kwa rais kuwa sehemu yake; kama isivyozuia anavyofanya na hao akina Dangote.
 
Hatari.
Jiwe alipofanya mikutano kama hii watu walibaki kusifu na kuabudu, eti leo tunaikosoa ccm kisa siyo jiwe sasa ila ni mama.
Tuumalize unafki huu watanzania.
Jiwe sina habari naye kabisa, na wala sikuona akifanya juhudi kuinua maisha ya wakulima, mbali ya kuhangaika na miundombinu na mengine.
Huyu naye inaelekea anawekea nguvu zaidi kuliko ipasavyo kwa hao watu wake na kusahau wanaohitaji nguvu zake zaidi ili wajiondoe kwenye umaskini.
Inabidi aangalie 'balance' iko wapi.
 
Sisi tunanyamaza maana tukisema tunaitwa sukuma gangkwa sasa praise team wamebaki wa Msoga na ndugu zao Chadema,ndo kutwa na mapambio Daah nchi hii mmmhh
Kwa kweli nyie wafuasi wa yule Nduli wa Chatto usukumani mnyamaza kabisaaaa! Tuna hasira sana na nyie maana mliharibu nchi kabisa! Uliwahi kuona wapi nchi inayoitwa ya kidemokrasia, yenye nembo ya Uhuru na Umoja watu wanapotezwa hovyo, wanaokotwa kwenye viroba, wanapigwa risasi, n.k halafu mkuu wa kaya hana hata muda na wala hashituki.
 
Kwa kweli nyie wafuasi wa yule Nduli wa Chatto usukumani mnyamaza kabisaaaa! Tuna hasira sana na nyie maana mliharibu nchi kabisa! Uliwahi kuona wapi nchi inayoitwa ya kidemokrasia, yenye nembo ya Uhuru na Umoja watu wanapotezwa hovyo, wanaokotwa kwenye viroba, wanapigwa risasi, n.k halafu mkuu wa kaya hana hata muda na wala hashituki.
Punguani mkubwa wewe, unahasira nao za kuwafanya nini...,! Sema utawafanya nini wasukuma?
 
Mtu yoyote anayesaidia kutoa ajira anaheshimika duniani ,anafanya kazi kubwa kuisaidia serikali kwa ajira na kodi
Na mimi nataka kuongezea tu kwamba Dangote amewekeza USD 700,000,000. Kwa hesabu za pesa ya Tsh ni kama ukizidisha 700,000,000 X 3000.
 
Wasukuma Wana shida sana
Tangu Chief wao amekufa wanaropoka sana
Halafu wewe Acha kuchafua nchi yetu Kwa ukabila wako, wasukuma ni watu na niwatanzania kama wewe!!

Acha ufala na ukende wako
 
Kwa kweli nyie wafuasi wa yule Nduli wa Chatto usukumani mnyamaza kabisaaaa! Tuna hasira sana na nyie maana mliharibu nchi kabisa! Uliwahi kuona wapi nchi inayoitwa ya kidemokrasia, yenye nembo ya Uhuru na Umoja watu wanapotezwa hovyo, wanaokotwa kwenye viroba, wanapigwa risasi, n.k halafu mkuu wa kaya hana hata muda na wala hashituki.
Akili kisoda sana,mambo hayo ya watu kupotezwa umeanza kuyaona leo?
Mbona hata ujambazi na wizi wa sasa mnajitetea kua haukuwahi kuisha nchini Tangu enzi?
Ujinga tu umetamalaki kichwani mwenu
 
Back
Top Bottom