Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana Mama SASHA kumpa Wizara nyeti huyu muuaji? Hata Ubunge hafai lkn siku yake yaja.Kwa hio dangote akakutane na mwigulu
mwigulu Ni muuaji
Kama ilivyo hakuna wanyonge bali kuna wajinga tu, wasiojielewa!!!"Tanzania hakuna matajiri,wanaoitwa matajiri n
Naona huna historia na nchi hii na viongozi wetu. Hukumbuki wazungu waliokuwa wanakuja hapa TZ na wengine kutoa hata zawadi ya suti kwa rais? Hukusikia tukipiga kelele? Huwezi kuwa investor unayetegemea support ya rais badala a mifumo ya nchi. Kama ni mifumo, hakuna sababu ya kuingia ikulu kila wakati.Tatizo dangote ni mweusi mwenzetu ndio maana maneno yamekuwa mengi angekuwa mhindi au mzungu wala msingepiga hizi kelele za kujifanya mna uchungu sana na nchi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Una tatizo la maono na uelewa. Tangu lini rais akawa na uwezo wa kubadili sera ikulu? Anweza kutoa matamko na mchakato ukaanza. Hiyo inahitaji kutembelewa ikulu?Fuatilia changamoto anazopitia Dangote kwenye kiwanda chake cha saruji (cement) huko mtwara, kuna somo linaitwa mjasiriamali na yanayomzunguka 'the entrepreneur and his environment ' tumepitia kwenye sera zisizo tabirika (policy uncertainty) huwezi kupanga namna ya kukuza biashara kwa sera ambazo hazina muelekeo 'you can not plan business growth with policy uncertainty' wafanya biashara wengi waliumizwa na hicho kikosi chenu cha 'task force ' kazi ya ziada inahitajika kurudisha imani ya wawekezaji na wafanya biashara na ndicho anakifa fanya Mama
OhooooWasukuma Wana shida sana
Tangu Chief wao amekufa wanaropoka sana
Unataka mifano ya darasa la tatu, boss! Hiyo sina! Ila usitumie maneno yasiyopimika. Wengi....bhla! bhla!Hebu tuwekee ushahidi mmoja wa hizo enzi zenu mkiwa mnaweka ushahidi, ili nijifunze namna ya kuweka ushahidi kama nyinyi enzi zenu.
Magufuli alipokutana na Dangote Ikulu
Huo ufa unaozibwa kwa tope, bado utajigamba kwamba umeidhibiti nyumba?Swali fikirishi Nyumba ikiwa na ufa utasubiri ibomoke?
Dangote cement walikua na matizo madereva wao waligoma Na RC alishindwa kusuluhisha!!Ukiulizwa matatizo gani hata huyajui, ile unaona alikuwa na matatizo, Yapi???? Taja ni yapi?
Hicho siyo kiwanda cha kwanza nchini. Wapo akina Twiga Cement inayomilikiwa na makampuni makubwa kuliko hata Dangote amabaye ni mtu binafsi tu!
Matatizo ya kugoma kwa madereva wa Dangote yalidumu Kwa muda mrefu hata kusababisha uhaba wa hiyo bidhaa Na bei yake kupanda nchi nzima!! Hence the urgency to solve the impasse by the President’s intervention. The whole economy was being affected!Wasaidizi wake waliweza kuyatatua lni, na umejuaje kwamba matatizo ya Dangote hayawezi kutatuliwa na wasaidizi wake. Ni nani anajitoa ufahamu hapa?
Alitakiwa aje mashambani siku ile alipomaliza kumweka kaburini Magufuli, that's how urgent it was, and remains so, mpaka kesho kutwa.
So, this was the reason behind their meeting recently, was it! And Dangote came out smiling, promising to bring in more investors whose workers will be marginalized!Matatizo ya kugoma kwa madereva wa Dangote yalidumu Kwa muda mrefu hata kusababisha uhaba wa hiyo bidhaa Na bei yake kupanda nchi nzima!! Hence the urgency to solve the impasse by the President’s intervention. The whole economy was being affected!
Yes na hiyo faida ndo inagenerate pesa za kusolve problems ili tufike huo uchumi wa juuWatanzania wanaamini wafanya biashara ndo watawapeleka uchumi wa kati wa juu ila hawajui mfanyabiashara siku zote anaangalia faida tu si kitu kingine
Bahati mbaya hunijui na assumptions zako zinabaki kuwa irrelevant na hasa ukianza kuingiza mambo ya racial and colour. That is so low for me to respond to.Tatizo dangote ni mweusi mwenzetu ndio maana maneno yamekuwa mengi angekuwa mhindi au mzungu wala msingepiga hizi kelele za kujifanya mna uchungu sana na nchi.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app