Kwanini wafanyabiashara wanakwepa kusajili stoo zao? Taarifa zinasema wamejaza mali za magendo baada ya kuziingiza nchini isivyo halali

Acha mambo yako wewe ya kitoto. Wapi magendo yanaingia TRA hawapo? Tanzania hii unaweza kuingiza mzigo contena TRA wasijue au kuchukua posho. Kwa taarifa yako ukiona mtu anaingiza magendo hapo ujue kuna fungu wanapewa TRA na polisi uwezi kukwepa hawa watu lazima uwe salama kwanza ndo uingize mzigo. Sasa hapo mwenye makosa ni nani kati ya TRA na mfanyabiashara? Shida TRA ni waonezi sana kutishia kuwafilisi watu na kuwapa madeni ambayo sio ya kweli. Wao wamesema hawataki kukagua store ila wanataka Kodi ya store. Mzigo ambao upo store na wenyewe uwe na kodi kama uliopo dukani.
 
Hiyo mbinu tunafanya sana asee,, 😂 😂
 
Huwezi kudai kodi kwa kubembeleza,, utavuna mabua
Hatusemi wabembeleze, tunasema warekebishe sheria zinazoua biashara na kukosesha serikali mapato, matoke yake zinachagiza rushwa kwa akina boni wanaojenga maghorofa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…