Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?