Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2025 Bado mbali.Kuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025
Mwingine ni nani?Mmoja wa wagombea.
Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 utatoa Dira ya 2025, kumbuka kauli ya Mzee wa Mgaso.Mwingine ni nani?
Mjane hajawahi kutukanwa na mtu yoyote. Acha kumuhusisha mjane na uovu wa JiweJpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?
Kwa nini mlifurahia kifo chake
Sa100 hakuwahi kugombea urais.Katiba na utamaduni wa CCM huo, mgombea urais anapewa vipindi viwili
Ukilitizama Kwa Umakini vuguvugu la KATIBA mpya, Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaweza sogezwa mbele Hadi 2025.Kuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025
Yaani inshangaza sana Utakakuta kamtu ka Ccm hata uwezo wa kumudu bei ya mahindi hakana lakini kamesimamisha mishipa ya Shingi eti Rais Samia hagombei 2025 tena kamekomaa kabisa kanjiapizaKuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025
...MamakoUnasemaje wewe mjane?