Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli mnaombea mabaya nchi hii? Tuwatangaze maadui wa Taifa?

Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli mnaombea mabaya nchi hii? Tuwatangaze maadui wa Taifa?

Jpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?

Kwa nini mlifurahia kifo chake
Mjane hajawahi kutukanwa na mtu yoyote. Acha kumuhusisha mjane na uovu wa Jiwe
 
Katiba na utamaduni wa CCM huo, mgombea urais anapewa vipindi viwili
Sa100 hakuwahi kugombea urais.

Aligombea uvp.

2025 Kwa Majaliwa ya Mungu atakuwa ndo mara yake ya kwanza kugombea urais ikiwa ataridhia kufanya Hivyo.

Hivyo kuzuia watu kuchukua fomu ni UDIKTETA.

Waruhusiwe wengine kuchukua fomu Ili wapime na wagombea wa upinzani.
 
Kuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025
Ukilitizama Kwa Umakini vuguvugu la KATIBA mpya, Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaweza sogezwa mbele Hadi 2025.


Upon uwezekano pia kuwa Sa100 akaendelea kuwa Rais ikiwa wananchi watarodhia kuahirisha uchaguzi mkuu Ili kukamilisha mchakato wa KATIBA mpya.

Uchaguzi wa 2024 na 2025 uangaliwe Kwa makini sababu wananchi wengi sana watataka mabadiliko ya kimfumo kuelekea chaguzi.

Mamlaka najua zinauangalia Kwa Umakini mkubwa.
 
Kuna watu mamluki ndani ya CCM hawataki kukubali Samia ndio Rais sasa na mgombea wetu 2025
Yaani inshangaza sana Utakakuta kamtu ka Ccm hata uwezo wa kumudu bei ya mahindi hakana lakini kamesimamisha mishipa ya Shingi eti Rais Samia hagombei 2025 tena kamekomaa kabisa kanjiapiza
 
Back
Top Bottom