Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #21
NashangaaOngea vitu vyenye mashiko
Udini unahusikaje hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NashangaaOngea vitu vyenye mashiko
Udini unahusikaje hapo?
Iharibike mara ngapi?Kwani hukumbuki mungu wao jiwe alikuwa ana sema bila yy Tz haiwezi kwenda popote?
Sasa wanatamani nchi iharibikiwe wapate namna ya kukazia kauli ya jiwe.
Kuhoji kilo ya sembe kutoka tshs 800 hadi tshs 2000 ni uadui?
kinachosumbua ni udini na ukabilaKipindi cha mwendazake hukuhoji bei ya sukari ilivyopanda?![emoji51]
Ukame uliotokea mwaka jana hukuona?Kuhoji kilo ya sembe kutoka tshs 800 hadi tshs 2000 ni uadui?
Jpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Kwanini nyie chawa wa dhalim.mlishangilia Lissu kupigwa risasi 16?Jpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?
Kwa nini mlifurahia kifo chake
Ni Ccm wao kwa wao ni baina ya walamba asali wa sasa na wale waliopita !! Kwahiyo Ngoma droo !!Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Hilo ndilo swali kuu !!Jpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?
Kwa nini mlifurahia kifo chake
si kweli hawakufurahia ndo maana tulikuwa naye kwenye kampeniKwanini nyie chawa wa dhalim.mlishangilia Lissu kupigwa risasi 16?
Na wewe ni chawa wa marehemu? Pole!!si kweli hawakufurahia ndo maana tulikuwa naye kwenye kampeni
Aliyefurahia ushenzi aliofanyiwa Lissu si binadamu kamiliKwanini nyie chawa wa dhalim.mlishangilia Lissu kupigwa risasi 16?
CCM wana roho mbaya sana,hadi KM mstaafu Yusuf Makamba alimkejeli tena kwenye mkutano mkuu wa CCMJpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?
Kwa nini mlifurahia kifo chake
najua ukabila na udini utakuwa unakusumbuaNa wewe ni chawa wa marehemu? Pole!!
Hao tuwachukulie ni wale vichaa mmoja kila watanzania wanne,kwa kujibu wa takwimu za watafiti fulani🤸🤸Kwa utafiti wangu mtandaoni na mtaani nimegundua kuna kundi hili linaiombea sana hii nchi ipate mkwamo ili wafurahie.
Nitatoa mifano 5
1. kulipokuwa na ukame uliosababisha mgao wa umeme na mgao wa maji, watu hawa walikuwa wakifurahia sana, walipata sababu ya kuanzisha nyuzi kila dakika hapa JF na kuandika propaganda za uongo kuhusu majenereta na utumbo mwingine.
Mvua zimenyesha, mgao wa maji na umeme vimekoma, wamekasirika
2. Samia kaondoa zuio haramu la mikutano ya vyama, kapongezwa na wadau ndani na nje ya nchi kwa kukomaza demokrasia na kutogoopa kukosolewa, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
3. Nchi hii wananchi wa kawaida, watu maarufu na viongozi walikuwa wakipukutika kila mwezi kwa ugonjwa wa "Changamoto za upumuaji" kipindi cha jiwe, Samia kaingia kafuata ushauri wa wanasayansi hatujawahi kusikia viongozi wanafariki hovyo, watu hawa wamekasirishwa tena hatari.
4. Samia alipofanya ziara Kenya na kurudisha mahusiano ya kiuchumi na kidiplomasia yaliyokuwa yamevurugwa na yule kichaa, watu hawa waekasirishwa tena hatari.
5. Wapinzani wanaishi kwa amani siku hizi, hakuna kukamatwa, kutekwa ama kupigwa risasi tena, wamempongeza Samia, watu hawa wameksirika balaa.
Kwa nini watu hawa tusiwatangaze maadui wa taifa?
Nani alifurahia kifo chake?Jpm alifariki sawa' kwa nini ccm mlifurahi na kuruhusu atukunwe mpaka mjane wake na wajane wengine?
Kwa nini mlifurahia kifo chake
Kuhoji kilo ya sembe kutoka tshs 800 hadi tshs 2000 ni uadui?
Mkuu ulisema mgao hauwezi kuisha sababu wanauza majenereta. Je una maoni Gani kwa SasaAdui wa noko.