Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli wanachukia maridhiano ya Rais Samia na Wapinzani, hawataki amani?

Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli wanachukia maridhiano ya Rais Samia na Wapinzani, hawataki amani?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Wana roho ya kishetani kama huyo mwasisi wao aliyepo kuzimu sasa
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?

Haaaaa Ritz kanuna kweli kweli 😂😂😂
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Unaweza angalau hata Kuwataja kwa majina kwa kuanzia na wale walioko hapa JamiiForums Mkuu ili tuwajue?
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
SUKUMA GANG wamepandikizwa mbegu ya chuki na yule Muhutu aliyezikwa Chato, hawapendi kuona wananchi wakiishi kwa furaha na amani bila hofu ya kuwindwa kutekwa, kuuawa, kubambikiwa kesi au kuporwa mali/fedha.
Yule Muhutu aliiharibu sana nchi, huko kaburini afe tena na tena na tena. Mwendajahanam Jiwe.
 
SUKUMA GANG wamepandikizwa mbegu ya chuki na yule Muhutu aliyezikwa Chato, hawapendi kuona wananchi wakiishi kwa furaha na amani bila hofu ya kuwindwa kutekwa, kuuawa, kubambikiwa kesi au kuporwa mali/fedha.
Yule Muhutu aliiharibu sana nchi, huko kaburini afe tena na tena na tena. Mwendajahanam Jiwe.
Ni watu washenzi na washamba sana
 
Nyiyi timu ukawa kilasiku kulalamika magufuli magufuli analingine lakujadili
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Sifa moja kuu ya masikini ni CHUKI
 
Back
Top Bottom