Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku akiendelea kuwabutua hata baada ya kuwa funza wanammaliziaSasa hivi funza ndiyo wanamalizia bandama
Kuna wahutu waliingizwa nchini.nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana
Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo
Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa
Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...
Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)
Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?
Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Wanaoteseka ni wafuasi wa Magufuli, chuki zao zinaonekana wazi wazi hapa JF2025 wote mtapiga Utan kumpamba Magu ili mpate kura.
Magu amekufa lakini anaendelea kuwanyima usingizi kila siku.
Hapa mnateseka kwa sababu ya kazizake, kazizake ndio zinajieleza na kumbeba.
Kazizake ndio zitawafanya mvurugane sikumoja.
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.Wanaoteseka ni wafuasi wa Magufuli, chuki zao zinaonekana wazi wazi hapa JF
Sasa nani amuogope mfu? Atasimama kugombea? Au mtachukua fuvu lake kaburini likapigiwe kura?
WANA ROHO Mbaya ya Mwendazakenimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana
Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo
Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa
Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...
Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)
Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?
Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
UNAJIDANGANYA Mama Kesha mbwaga Kichaa wenu Angalia alivyomchinjia Chooni yule Mzee wa MjengoniRais Samia mwenyewe ni mfuasi wa Magufuli
Wakati yupo hai ni kweli yule muuaji alivuruga amani ya nchi na nilimpinga hapa JF.. Lakini sasa hivi kafa, niteseke kwa lipi?Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.
Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
Kwanini awamu ya 5 upinzani uliponda sana na sasa wapo kimya kunanini hapo?nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana
Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo
Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa
Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...
Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)
Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?
Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Mambo yanaenda vizuri...Kwanini awamu ya 5 upinzani uliponda sana na sasa wapo kimya kunanini hapo?
Wameshindwa kumfufua Magufuli wao sasa hasira zao wanazielekeza kwa yeyote anayetenda kinyume na Dikteta wao.nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana
Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo
Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa
Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...
Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)
Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?
Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Mkuu hakuna mtu timamu anaweza pambana na kichaa, hata yeye mwenyewe alikuwa anajiita hivyoMnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.
Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
Ok kama wewe ni mpinzani ungepinga nini kwa mama?Kwanini awamu ya 5 upinzani uliponda sana na sasa wapo kimya kunanini hapo?
lisu keshalipwa stahiki zake zooote.Rais Samia mwenyewe ni mfuasi wa Magufuli
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povuWanaoteseka ni wafuasi wa Magufuli, chuki zao zinaonekana wazi wazi hapa JF
Sasa nani amuogope mfu? Atasimama kugombea? Au mtachukua fuvu lake kaburini likapigiwe kura?
Mtu timamu anaweza kupambana na kichaa,sababu kichaa anauwezo angalau wakujibukitu.Mkuu hakuna mtu timamu anaweza pambana na kichaa, hata yeye mwenyewe alikuwa anajiita hivyo
yaani siasa ni roho mbaya?Siasa ndivyo zilivyo na mambo yao waachie wenyewe...
Ulitaka atuuwe nini? (Ukiwa unalima shamba lako ukikutana na nyoka utaacha kuiua) aliwahi toa kauli hii ya ajabu baada ya lissu kutandikwa marisasi yasiyo na Idadi.Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.
Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
Mambo gani hayoMambo yanaenda vizuri...