Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli wanachukia maridhiano ya Rais Samia na Wapinzani, hawataki amani?

Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli wanachukia maridhiano ya Rais Samia na Wapinzani, hawataki amani?

2025 wote mtapiga Utan kumpamba Magu ili mpate kura.
Magu amekufa lakini anaendelea kuwanyima usingizi kila siku.

Hapa mnateseka kwa sababu ya kazizake, kazizake ndio zinajieleza na kumbeba.
Kazizake ndio zitawafanya mvurugane sikumoja.
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Kuna wahutu waliingizwa nchini.
 
2025 wote mtapiga Utan kumpamba Magu ili mpate kura.
Magu amekufa lakini anaendelea kuwanyima usingizi kila siku.

Hapa mnateseka kwa sababu ya kazizake, kazizake ndio zinajieleza na kumbeba.
Kazizake ndio zitawafanya mvurugane sikumoja.
Wanaoteseka ni wafuasi wa Magufuli, chuki zao zinaonekana wazi wazi hapa JF
Sasa nani amuogope mfu? Atasimama kugombea? Au mtachukua fuvu lake kaburini likapigiwe kura?
 
Siasa ndivyo zilivyo na mambo yao waachie wenyewe...
 
Wanaoteseka ni wafuasi wa Magufuli, chuki zao zinaonekana wazi wazi hapa JF
Sasa nani amuogope mfu? Atasimama kugombea? Au mtachukua fuvu lake kaburini likapigiwe kura?
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.

Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
WANA ROHO Mbaya ya Mwendazake
Wenye CCM yao wamekwishaichukua hawana Chama wamehamia kuisema Chadema

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.

Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
Wakati yupo hai ni kweli yule muuaji alivuruga amani ya nchi na nilimpinga hapa JF.. Lakini sasa hivi kafa, niteseke kwa lipi?
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Kwanini awamu ya 5 upinzani uliponda sana na sasa wapo kimya kunanini hapo?
 
nimekuwa nikifuatilia mtandaoni na mtaani, Rais Samia akikutana na wapinzani kujadili mambo ya siasa au mambo mengine, wafuasi wa Magufuli wamekuwa wakichukia na kutukana sana

Ilianzia Samia alipokutana na Tundu Lissu alipoenda Ubelgiji, wafuasi wa Magufuli walilaumu sana na kudai Samia anakutana na wasaliti wa nchi, kwanza anasafiri hovyo wakati nchi ina matatizo

Pia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alipoachiwa kwenye ile kesi iliyokuwa ikimkabili, wafuasi wa Magufuli walifura sana na wakashindwa kuficha hasira na chuki zao, wakasema Rais anatumia vibaya mamlaka yake kusamehe wahalifu wenye makosa makubwa kama ya ugaidi, wengine wakasema wanataka Sabaya aachiwe pia sababu Mbowe kaachiwa

Juzi pia kwenye mkutano waliofanya na Chadema Ikulu, wakawa wanaponda tena, mara hii wakasema Chadema wamenunuliwa wanaenda Ikulu kila siku, hakuna kuikosoa Serikali tena...

Hawa watu wanaona kama Chadema hawaikosoi Serikali kwa nguvu na wanataka waone Chadema ikiwa aggresive kwa Samia sana, lakini hawa mbona walikuwa wanawapongeza wapinzani kama akina Mrema waliokuwa dam dam na CCM, waliona Upinzani kutoikosoa Serikali ni uzalendo, lakini sasa hivi wanalalamika Chadema kutoikosoa Serikali (japokuwa Chadema wamekuwa wakiikosoa anyway)

Jana kumekuwa na taarifa ya Samia kumlipa mafao yake Tundu Lissu, ambalo ni jambo jema sana ukizingatia aliyopitia Lissu, wafuasi wa Magufuli na hili imewauma sana hadi nimeshangaa, wanaona Samia ni kama anachezea fedha za umma kumlipa mb unge stahiki zake?

Hawa wafuasi ni kwa nini hawapendi kuona kuna haki nchini? kwa nini wana hamu ya kuona watu wanauawa na kuswekwa rumande tu kila mara? hawa watu wana asili ya tanzania kweli? Hawa watu wana hamu ya kunywa damu za watu muda wote?
Wameshindwa kumfufua Magufuli wao sasa hasira zao wanazielekeza kwa yeyote anayetenda kinyume na Dikteta wao.
Watu hawa wapo Stressed and Obsessed na ulinzi wa legacy.
 
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.

Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
Mkuu hakuna mtu timamu anaweza pambana na kichaa, hata yeye mwenyewe alikuwa anajiita hivyo
 
Wanaoteseka ni wafuasi wa Magufuli, chuki zao zinaonekana wazi wazi hapa JF
Sasa nani amuogope mfu? Atasimama kugombea? Au mtachukua fuvu lake kaburini likapigiwe kura?
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu
Mkuu hakuna mtu timamu anaweza pambana na kichaa, hata yeye mwenyewe alikuwa anajiita hivyo
Mtu timamu anaweza kupambana na kichaa,sababu kichaa anauwezo angalau wakujibukitu.
Lakini kichaa tu ndio anauwezo wa kupambana na marehemu sababu kichaa anaweza kupigana hata na majani.
 
Mnateseka nyie ambao wakati yupo hai mlifyata mikia sasaivi ndio mnatoka povu kaburini.

Niupuuzi kupambana na marehemu kiasi cha kulia.
Ulitaka atuuwe nini? (Ukiwa unalima shamba lako ukikutana na nyoka utaacha kuiua) aliwahi toa kauli hii ya ajabu baada ya lissu kutandikwa marisasi yasiyo na Idadi.
 
Back
Top Bottom