Kwanini wafuasi wa Hayati Magufuli wanachukia maridhiano ya Rais Samia na Wapinzani, hawataki amani?

Binadamu aliye legelege kiimani halafu ajazwe roho ya mauti ndiyo matokeo ya hao "wanunaji"!Na ukiwapinga mawazo yao watakuita na kutukana matusi na majina yote.Hahahahahaaaa
 
Wafuasi wa magufuli hawawezi kukubali mardhiano ya Mama SSH na wapinzani kwa kuwa ni watu waliolaanika;
  1. ni uzao wenye kupenda kumwaga damu za wengine bila sababu
  2. Ni uzao uliojaa chuki na husda za kishetani
  3. Ni uzao wenye kutaka vita muda wote na sio amani
  4. Ni uzao wenye kuamini ktk ukabila, ukanda na upendeleo
  5. Ni uzao uliojaa ukatili, manyanyaso na ubabe wa kihayawani.
 
Kwa roho zile walizokuwa nazo wataacha kuchukia?
 
Umemaliza kila kitu
 
Mtoa mada kuna kitu hujakielewa, wafuasi wa magufuli wanachokitaka wao ni mtazamo wowote aliokuwa nao Magufuli uwe ule ule kwa Rais wa sasa. Anachokifanya wanaona ni kama show down kwa Magufuli wakati sio kweli. Adui wa mwenzako sii lazima awe adui yako. Alichokiamini magufuli ni kuuwa upinzani TZ, kwa bahati nzuri Mungu alifanya yake na kweli angeendela upinzani ungekufa kabisa TZ. Ili atawale milele atakavyo bila upinzani TZ. Rais wa sasa anaona Upinzani upo kwenye Katiba na anatafuta syle yake ya kuishi nao na mambo yaendelee. Wafuasi wa Magu wanaamini nguvu na ubabe ndio kujenga nchi ambayo sii kweli. Hii inaweza kuwa hulka yao.
 
Hawa Sukuma Gang ni wahamiaji haramu waliojivika usukuma,wana roho za kiuaji kama walivyozoea kuuana huko kwao Burundi.
 
Sio hao pekee, hata wapin'ani nao sasa wananuna...

Hii dunia haiishi maajabu.
 
2025 wote mtapiga Utan kumpamba Magu ili mpate kura.
Magu amekufa lakini anaendelea kuwanyima usingizi kila siku.

Hapa mnateseka kwa sababu ya kazizake, kazizake ndio zinajieleza na kumbeba.
Kazizake ndio zitawafanya mvurugane sikumoja.
Kazi zipi ewe mfuasi wa ibilisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…