BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Magufuli HILI ALIFANYIE KAZI....
TUNAMTEGEMEA YEYE...
Popote ulipo baba MAGUFULI,vijana wanalalamika VIPAJI VINAPOTEZEWA....Ila wanashukuru kina Zuchu wanajitahidi kuimba....
Baba JPM huku mitaani KILA kijana ETI ATAKA KUIMBA KAMA DIAMOND....hv RWANDA nako ni hivihivi?!!!
Tuna IMANI nawe kipenzi magufuli...plz continue to change the horrible STATUS QUO....aaaamen aaamen
Lowassa alisema ELIMU ELIMU ELIMU..
HIKI ni kipindi Bora kbsa amsaidie magufuli KWA kumpa Siri ya ALIYOTUKUSUDIA ktka Yale MAFURIKO yaliyomzoa mwenyewe akiwa UKAWA....
Elimu ya ukweli ndio nyenzo wadau.....
Mwaka 2014 walipitisha SERA ya kutoa elimu ya vyuo Vikuu kuwa BURE...kwa watoto wa MALOFA...
Madogo kibao wanajibwedea mteremko wa kusoma BURE HATA kwa nchi maskini....
Nawashangaa CHADEMA,BAVICHA wanapata VINAFASI kupitia CDU...wao wakienda wanasoma VIKOSI VYA SIASA....bure kabisa hawa[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Mkuu, unaonekana umem-mind sana jamaaMkuu ukuwe basi utoto kila sehemu!
Mada nyingine wewe kila sehemu mambo zenu za malumbano ya siasa! Mnatuchosha kila kona hayo mambo yenu , wengine hatuvutiwi na mambo hizo tunachagua vitu vya kusoma. Kuna page ya siasa nenda kule mkalumbane
Siemens, Allianz, DHL Express.Wakuu zaidi ya magari yao Mercedes Benz,BMW Audi VW ni products zipi za Kijerumani zinatamba duniani? Wengine dunia imetuacha nyuma
Kaka upo vizuri sanaSiemens, Allianz, DHL Express.
Unaongea na mimi?SOMA ILI UJE UWE WEWE
kwani haupendi kuingia kwenye historia......??
Sijaongelea engineers wa Tanzania mzee babaI am also wondering why Tanzania engineers are of the poorest quality. Look at tanesco engineers. Look at Tanroad engineers. Kukiwa na barabara ya kutengenezwa maengineer wa Tanroad watafuatilizia mule mule ilipo barabara iliyobuniwa na wananchi. Mfano. Mbezi Goba Mbezi beach.
Ujerumani wasomi ni wengi Phd's are everywhere hata fundi gari mwenye garage ana Phd ya magari na yuko competent mbaya,baada ya kushindwa WWII waliwekeza sana kwenye elimu
Hahahaaa...... Umenifurahisha hapo kwenye masters ya chemistry 😂😂Mainjinia wa Tanzania ni mavi nacTakataka wakiwa vyuoni waona na wakufunzi wao huwaza ubunge na idiwani kima hawa hawana jipya !!!!!!hebu fikiri hata bodi za magati ya taktaka hawawezi Ku design !!! Jitu lina masters ya chemistry hata kiwi ya viatu halijui kutengeneza hovyooooooooooooo
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
Africa kitu kimoja tu kinatusumbua corruption unaoleta ubinafsiHiyo elimu waliyowekeza ndo km hii ya kwetu ya shule za kata ambazo hazina waalimu wala maabara?
Sisi tumejifunza wapi huu mfumo wetu wa kata?
Hahaa...... Sisi bana... HahaaAfrica kitu kimoja tu kinatusumbua corruption unaoleta ubinafsi
Hahahaaaa.....Na wao hawafichi ugonjwa. Ukifa kwa COVID 19, watatanga wazi kuwa rais wetu kafa kwa COVID 19.
HahahaaaaHahahaaaa.....
Cc:, Uhuru Kenyatta
Mhh, aisee.Hahahaaaa.....
Cc:, Uhuru Kenyatta
Hatari sn sn...Mhh, aisee.
Siasa za CCM na CHADEMA ndani ya mada ya Engineering.Duuuh sasa tunaongozwa na chadema au na CCM je kama ni ccm wametufanyia nini mpaka mda huu toka uhuru nakushangaa unapoilaumu Chadema ili hali waharibifu ndio Ccm
Thanks once again bro.Kudos mpiganaji wetu.
Ni shiiiiida ndugu yangu.Hatari sn sn...