Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Saaaafiii.....
Oooo patriotism...UZALENDO...si kunywa faru john usiku huu halafu kesho WATU WAKAFANYE VURUGU AIRPORT KISA LISSU ANAKUJA....MIJITU haina UZALENDO hata ya kumkumbuka BABA YAO MKAPA aliyewaletea Sera ya utandawazi...Wana tandaa usiku huu kutukana watu afu kesho wapambane na POLISI daaaah

Where is patriotism guys?

Are we really SANE?!!!
safi@
 
miaka yote mlikuwa wapi?Na hata hivyo huo mradi umeshikiliwa na kufanywa na engineers kutoka egypt.
Kila jambo lina wakati wake mkuu. Suala sio Egyptians kushika mradi kwa maana hata Nuclear Rectors za Iran na North Korea zilijengwa na Russians@
 
Hiyo namb mbili ni mimi kabisa,toka niuze VW yangu mpaka leo sina gari tena coz hela haitoshi nataka mjerumani mwingine.

Toyota sijui naona ni vidudu gani..
 
Gauss Markov ni nyoko aisee.....pia kuna Gottfried Liebniz.

Kama ulivyosema Ujerumani ina historia ndefu sana ya sayansi. Maendeleo makubwa sana ya kiteknolojia yanatokana na maendeleo ya sayansi ambayo kwa Wajerumani yameanza karne nyingi sana zamani.
Usimsahau Schrödinger. Inasemekana equations zake Albeit Einstein alishindwa kuzielewa, mind you Einstein ni Milium scientist lakini alishindwa kuelewa hesabu za Schrödinger! Wajerumani wana akili sana na ndio maana walitaka kuitawala dunia.
 
Hapa umechangia kishabiki, kama ni damu ya Muisrael mbona hata afrika (Ethiopia) ipo na hawana huo ujuzi!!
Huwa najiuliza kama hao waislael sana akili sana kama wadau wanavyokuza, mbona mapinduzi ya viwanda hayakuanzia Islael. Msichanganye biblia na mambo ya teknolojia.Waislaeli Hawatii mguu kwa wajerumani kamwe.German haipokei misaada japo ilipigwa vita na kuishindwa islael inapikea misaada kutoka USA.Hapo nani zaidi.
 
Nuclear Power Plants huo ni mziki mwingine mkuu. Kwanza kwa Africa, ni South Africa pekee ndio ina Plant moja ya Nuclear ambayo inachangia kama 5% ya total generation ya umeme wa nchi nzima. Tatizo la hii kitu ni ile upfront cost yake, ni aghali sana. Hiyo Stigler's Gorge inatupekesha; hii si mchezo. Halafu kuna Reactors are extremely expensive to build, ukiachana na hayo; inakuja na mambo mengine mengi tu. Gharama za ku dispose wastes, ma-Radioactive yale; kwa uchumi wetu wa kusuasua sidhani kama tuanaweza kuihimili Nuclear Power Plant.. Kwa maoni yangu lakini.
North Korea wamewezaje kuwekeza ktk nuclear enreachment wakati kanchi masikini Sasa hivi ni vidume duniani, vinaweza kuifanya nchi ikawa mchanga au primitive kwa nuclear heads
 
Hao jamaa kabla ya tuzo za NOBELI KUTOLEWA walikuwa na walimu km kina MAGUFULI kibao....

Tuzo zilivyoanza KUTOLEWA WAKAZIZOA...WAKAZIBEBAAA WEE usiseme tuzo za MATUSI NA KUDHARAU MAREHEMU zinazotolewa pale mtaa wa UFIPA laa khasha....ni tuzo za CHEMISTRY na fizikia.......

Wao ndo waongozao kuchukua NOBELI...
Ukisikia ujinga ndio huu sasa,na hawa ndio wahandisi wa kibongo sasa
 
Kwa excuses hamjambo.
Mna mikakati gani ili baadae mbadilike na kufusta nyayo za hao Wakorea mliowataja?
Kwa nini hao wa Russia hawajaja kujenga huku kwetu? Hakuna nchi inayoipa teknolojia nchi nyingine kirahisi tu, lazima upambane.kuna mtu anaitwa Abdisalam, huyu ni mpakistani ambae amehusika kuvujisha teknolojia kwa Iran na Korea.Huyo jamaa aliwahi Fanya kazi na waingereza, akarudi Pakistan akajenga hio teknolojia baadae akaanza kuuza huo ujuzi.Alikuwa na uchu was pesa.
Wazungu wanamchukia kama sumu.Ingia google utapata habari zake.
Waafrika wengi wakitumwa ulaya kusoma wakifika huko wanalimbuka.Ukifuatilia hats India walivyopata teknolojia ya nunclear ni importation iliofanywa na profesa wao ambae aliishawishi serikali na ikampa ushirikiano.Wa Asia hawataki utani na issue za teknolojia, warabu na waafrika ndio tumezubaa.
 
Good point!Hata hao waarabu wametuacha mbali mara 10.
Kwa nini hao wa Russia hawajaja kujenga huku kwetu? Hakuna nchi inayoipa teknolojia nchi nyingine kirahisi tu, lazima upambane.kuna mtu anaitwa Abdisalam, huyu ni mpakistani ambae amehusika kuvujisha teknolojia kwa Iran na Korea.Huyo jamaa aliwahi Fanya kazi na waingereza, akarudi Pakistan akajenga hio teknolojia baadae akaanza kuuza huo ujuzi.Alikuwa na uchu was pesa.
Wazungu wanamchukia kama sumu.Ingia google utapata habari zake.
Waafrika wengi wakitumwa ulaya kusoma wakifika huko wanalimbuka.Ukifuatilia hats India walivyopata teknolojia ya nunclear ni importation iliofanywa na profesa wao ambae aliishawishi serikali na ikampa ushirikiano.Wa Asia hawataki utani na issue za teknolojia, warabu na waafrika ndio tumezubaa.
 
Wakuu zaidi ya magari yao Mercedes Benz,BMW Audi VW ni products zipi za Kijerumani zinatamba duniani? Wengine dunia imetuacha nyuma
Vifaa vya ndege ni noma, hasa jet engine hao ni nyoko! Mchina ameshibdwa kukopi, wataalamu wanasema haikopiki,lazima akuvujishie au uschratch
 
Ukiacha UKOLONI.....

Vita viliwasaidia.....

Baada ya Vita ya Kwanza ya MABEBERU(Mimi siiti kuwa ya DUNIA)....
Wajerumani waliikuza HOFU DHIDI YAO.....WAKAIOGOPA HATARI KIVITENDO...WAKATAKA HAMU YA KUWA WAMOJA(SI HAWA CHADEMA wanaotaka machafuko na mifarakano mitandaoni)

Waliiogopa hatari ya kuwa DHAIFU KITEKNOLOJIA km vile aogopavyo JIRANI yetu PK...

Hofu iliwafanya WAAMUE kuwekeza kwenye ELIMU ELIMU ELIMU ELIMU

ELIMU BORA....

Bahati Yao walikuwa na walimu wengi wa sayansi...

CHEMISTRY NA PHYSICS si siasa.........
Duuuh sasa tunaongozwa na chadema au na CCM je kama ni ccm wametufanyia nini mpaka mda huu toka uhuru nakushangaa unapoilaumu Chadema ili hali waharibifu ndio Ccm
 
Kwetu bongo mtu anaonekana kabisa anakipaji lakin serikali inampotezea ad anarudi shamba kuishia kulima
Katika nchi ambayo wana juhudi za kupokea talents kutoka pande zote za dunia ni Marekani. Ndo mana unaona pale kuna watu wabunifu wamejazana ambao ni wa nyanja mbalimbali kama teknolojia, mziki, ujenzi, yani ukionekana wewe ni mtu productive wanakupa uraia na ikiwezekana na financial support kabisa ili uijenge nchi yao.

Ila huku Afrika ukijulikana tu we ni moto wa kuotea mbali watu wanakuzima unapotea kabisa unabaki jivu.
 
Back
Top Bottom