Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Kwa hiyo unataka kusema Tanzania ina uhaba wa maeneo?Kama mapori yamejaa tele,mito imejaa tele,mabwawa yako tele.
Nini kinakosekana?
Kwa ufupi tu ni kwamba, unaweza kuwa na mito, mabwawa na mapori kama ulivyosema mwenyewe lakini bado hayo maeneo yakawa hayana vitu "Muhimu" vinavyokidhi mahitaji ya uendeshaji/uwepo wa Hydropower station. La muhimu zaidi ni ile wanaita "Head", yaani uwezo wa maji kuporomoka chini kwa nguvu kiasi cha kuwa na uwezo wa kuzizungusha turbines ili zifue umeme.
 
Kwa ufupi tu ni kwamba, unaweza kuwa na mito, mabwawa na mapori kama ulivyosema mwenyewe lakini bado hayo maeneo yakawa hayana vitu "Muhimu" vinavyokidhi mahitaji ya uendeshaji/uwepo wa Hydropower station. La muhimu zaidi ni ile wanaita "Head", yaani uwezo wa maji kuporomoka chini kwa nguvu kiasi cha kuwa na uwezo wa kuzizungusha turbines ili zifue umeme.
Kwa hiyo unataka kusema huko ujerumani kuna maporomoko mengi kuliko tanzania?
Kwa porojo na siasa ndio jadi ya watanzania maneno mengi vitendo hakuna.
 
Kwa hiyo unataka kusema Tanzania ina uhaba wa maeneo?Kama mapori yamejaa tele,mito imejaa tele,mabwawa yako tele.
Nini kinakosekana?
Ndio maana Stiegler's Gorge zinajengwa huko kwenye maeneo sahihi, yanayokidhi mahitaji yote ya kuwa na kituo kama hicho.
 
Ujerumani wasomi ni wengi Phd's are everywhere hata fundi gari mwenye garage ana Phd ya magari na yuko competent mbaya,baada ya kushindwa WWII waliwekeza sana kwenye elimu
Are you sure mkuu?
Just Google top 3 countries with Highest No of PHd students
 
Mkuu, achilia mbali Ethiopia. Hiyo Israel yenyewe wanatengeneza brands za kibabe kama Mercedes Benz na BMW?

Ndugu yangu, baadhi yetu tuna kasumba na yale maneno ya biblia kuwa Israel ni taifa teule, tunasahau kuwa hata sisi Tanzania ni wateule isipokuwa hatukutajwa katika hicho kitabu. Mbali ya rangi za miili yetu, tofauti baina yetu na wao ni historia na kuwa wanajitambua na kuendeleza walivyonavyo, sisi kujitambua imekuwa tabu na tunadumaza baada ya kuendeleza tulivyo navyo. Ndiyo maana ukiisema Israel mahali popote nchi kwetu, mjadala unabadilika unaingia kwenye udini (lakini wao wala hawatujali wanajali yao tu.)
 
well said
Na wewe unameza tu sumu
Screenshot_20200727-172710.png
 
Back
Top Bottom