mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Ndio maana Stiegler's Gorge zinajengwa huko kwenye maeneo sahihi, yanayokidhi mahitaji yote ya kuwa na kituo kama hicho.
Wanatumia Nuclear Power kule bana. [emoji16]
uzi mzuri kuwah kutokea duniani,Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini ENGINEERS wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni nini hasa?
View attachment 1517904
Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba;
(1) Siku ya Ijumaa ilee ya wiki iliyopita nilimsindikiza mjomba wangu mmoja kule kariakoo kwenda kununua kipuri (spare) moja ya mshine ya kusagia unga kwa ajili ya kupeleka kijijini kwao kwa maana hii ndio biashara yake miaka nenda rudi.
Sasa baada ya kufika katika duka la baba mmoja mtanzani mwenye asili ya bara la asia (al maaruf kama mhindi) tukakuta ni kweli anayo spare ile ila zipo za aina tatu. Moja ni kitoka nchini Singapore, nyingine nchini China na ya tatu ni kutoka nchini Ujerumani. Sasa yeye akawa anamsisitiza mjomba wangu kwa lafudhi ya Kiswahili cha kihindi "chukua hii baba ipo genuine kabisa fresh from german" basi uncle akanunua, akalipa kisha sisi haoooo tukarudi zetu home.
(2) Vile vile inasemekana kwamba, mtu akianza kuendesha gari za Kijerumani kama vile Mercedes Benz, BMW, Audi au VolksWagen kwa namna zinavyokuwa nzito na kutulia sana barabarani barabarani na kamwe mtu huyo hatotamani tena maishani mwake kuendesha gari za Kijapan kama vile Toyota na Nissan.
View attachment 1518897
(3) Bila kuishia hapo, huku mitaani pia mara nyingi kumekuwepo na msemo maarufu kwa mfano utamsikia mtu akijigamba kwa rafiki yake kwamba "daaah mwanangu hii pasi tangia niinunue huu ni mwaka wa 8 sasa na sijawahi kuipeleka kwa fundi, chuma cha mjerumani hiki mzee baba"
(4) Msafari wa Rais wa Russia ndugu Vladmir Putin umejaa BMW motorcycles; and Mercedes G-Class, Mercedes E-Class, S-Class, BMW 5 Series. Tazama picha ya msafara wa Putin hapo chini.
View attachment 1517923
Sasa kwa kuzingatia scenario hizo zote nne (4) ndio nikajawa na maswali mengi sana akilini mwangu kwamba WHY ARE GERMANS SO GOOD AT ENGINEERING?
Kuna baadhi ya watu hapa watakuja kusema ninaisifia sana Ujerumani kwa maana ninauza vitabu vyao hahahahaaaaaa
BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
PUMZIKA KWA AMANI MZEE MKAPA. VITA UMEIPIGANA NA MWENDO UMEUMALIZA BABA YETU. MUNGU AKUPE PEPO ILIYO NJEMA MZALENDO MWENZANGU.
View attachment 1518291
Hallo Leute!Hey there. I'm coming from Germany.
Sisi tumewekeza kwenye ujumbe aka wajumbeUjerumani wasomi ni wengi Phd's are everywhere hata fundi gari mwenye garage ana Phd ya magari na yuko competent mbaya,baada ya kushindwa WWII waliwekeza sana kwenye elimu
Nuclear Power Plants huo ni mziki mwingine mkuu. Kwanza kwa Africa, ni South Africa pekee ndio ina Plant moja ya Nuclear ambayo inachangia kama 5% ya total generation ya umeme wa nchi nzima. Tatizo la hii kitu ni ile upfront cost yake, ni aghali sana. Hiyo Stigler's Gorge inatupekesha; hii si mchezo. Halafu kuna Reactors are extremely expensive to build, ukiachana na hayo; inakuja na mambo mengine mengi tu. Gharama za ku dispose wastes, ma-Radioactive yale; kwa uchumi wetu wa kusuasua sidhani kama tuanaweza kuihimili Nuclear Power Plant.. Kwa maoni yangu lakini.Kwa nini na sisi tusitumie nuclear plant?
Are you sure mkuu?
Just Google top 3 countries with Highest No of PHd students
MJUMBE Quora is purely my clue, there's so much more. MJUMBE hauwawi lakini [emoji23][emoji23][emoji23]C and p From Quora
Kwa nini na sisi tusitumie nuclear plant?
Wajerumani wenyewe wanafunga nuclear power facilities ZOTE! Wanataka by 2022 isiwepo hata moja.Nuclear Power Plants huo ni mziki mwingine mkuu. Kwanza kwa Africa, ni South Africa pekee ndio ina Plant moja ya Nuclear ambayo inachangia kama 5% ya total generation ya umeme wa nchi nzima. Tatizo la hii kitu ni ile upfront cost yake, ni aghali sana. Hiyo Stigler's Gorge inatupekesha; hii si mchezo. Halafu kuna Reactors are extremely expensive to build, ukiachana na hayo; inakuja na mambo mengine mengi tu. Gharama za ku dispose wastes, ma-Radioactive yale; kwa uchumi wetu wa kusuasua sidhani kama tuanaweza kuihimili Nuclear Power Plant.. Kwa maoni yangu lakini.
Wajerumani wenyewe wanafunga nuclear power facilities ZOTE! Wanataka by 2022 isiwepo hata moja.
View attachment 1519227
Yale madude ni aghali, hatuyawezi. Halafu inachukua miaka kuanza kupata faida kwa kampuni inayokuwa inamiliki hiyo Plant.Wajerumani wenyewe wanafunga nuclear power facilities ZOTE! Wanataka by 2022 isiwepo hata moja.
View attachment 1519227
Hivi kuna mtu analinganisha uwezo wa technology ya Germany na Tz?! Sipo huko ndugu nilikuwa nawafahamisha tu hata hizo nuclear energy wengi wanazifunga sasa hivi. Pia zinachangia kiasi kidogo tu cha umeme kwenye hizo nchi. Baada ya ajali' ya Fukushima wengi wanachukua hatua ya kuzifunga na kuachana nazo.Mtajizungusha sana kutetea lakini mwisho wa siku tutarudi kulekule kwamba tuko na low technology plus uono mdogo wa viongozi wetu.
Kwani hao ujerumani waliwezaje?Unafikiri hao wajerumani wangekuwa wanatoa excuses visingizio kama hivyo vyetu wangefikia hatua waliyofikia?Wangekuwa wanaongea sana bila vitendo kama sisi wangefikia hayo maendeleo?
You must search what is the root cause of all these problems?
Yanachangia only 10% ya umeme wote duniani ndio maana wanaweza kuachana nayo.Yale madude ni aghali, hatuyawezi. Halafu inachukua miaka kuanza kupata faida kwa kampuni inayokuwa inamiliki hiyo Plant.
Hapo sawa nimekuelewa.Hivi kuna mtu analinganisha uwezo wa technology ya Germany na Tz?! Sipo huko ndugu nilikuwa nawafahamisha tu hata hizo nuclear energy wengi wanazifunga sasa hivi. Pia zinachangia kiasi kidogo tu cha umeme kwenye hizo nchi. Baada ya ajali' ya Fukushima wengi wanachukua hatua ya kuzifunga na kuachana nazo.
Sasa na mimi nimekuelewa pia mkuuHapo sawa nimekuelewa.
Maana mwanzoni ulivyoquote comment yangu kuna mtu nilikuwa nabishana naye alikuwa anatetea kwamba engineers wa bongo wapo competent kama wa kijerumani sema huku kwetu kuna vitu vinawazuia kufanya vitu smart ndio maana nikawa natoa ile mifano