Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Duuuh sasa tunaongozwa na chadema au na CCM je kama ni ccm wametufanyia nini mpaka mda huu toka uhuru nakushangaa unapoilaumu Chadema ili hali waharibifu ndio Ccm
CCM na CHADEMA katika thread ya Wajerumani na Engineering.
 
Hakika@
 
Wakuu zaidi ya magari yao Mercedes Benz,BMW Audi VW ni products zipi za Kijerumani zinatamba duniani? Wengine dunia imetuacha nyuma
Products! Nyingine ni Porsche, Mercedes AMG chini ya Mercedes-Benz/Daimler

Huku Product's zaidi zikiwa ni Siemens, Adidas, Puma, uhlsport (Mdhamini wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya Simba), SAP, Allianz, Deutsche Bank, Bayer, Bosch, Mayer Werft (Mhunzi wa meli ya MV Liemba), Trivago, Hugo Boss, BMG Rights Management, Hermes, Lufthansa, Nero, DHL na Leica Kamera.
 
Asante mkuu, ila katika products ulizonitajia zipo rival products kutoka nchi nyingine ni bora zaidi. Wajerumani wako vizuri ila bado products zao nyingi hazijawa number ones in the world.
 
Asante mkuu, ila katika products ulizonitajia zipo rival products kutoka nchi nyingine ni bora zaidi. Wajerumani wako vizuri ila bado products zao nyingi hazijawa number ones in the world.
Yes, inawezekana pia kumbuka kuna products uzionazo bora worldwide zipo chini ya German's, they no longer serve independently zaidi ya status ya kuanzishwa katika taifa fulani.
 
Na wao hawafichi ugonjwa. Ukifa kwa COVID 19, watatanga wazi kuwa rais wetu kafa kwa COVID 19.
 
Waliokuwa WAARABU wanaotangatanga jangwani kukamua maziwa ya ngamia na kupopoa TENDE wameamua kuikumbatia ELIMU....

UAE kwa MSAADA wa wataalamu toka Korea Kusini Wanajenga NUCLEAR REACTORS kwa AJILI ya kufua umeme kwa MATUMIZI ya amani.

Ni hatua kubwa wamepiga baada ya majuzi kurusha ndege yao kwenda anga za mbali.

Hii inatufundisha kuwa MAJIRANI ZETU wataendelea kuionea wivu Tanzania ya Magufuli kwa sababu ya Jemedari JPM amenuia kivitendo kutubadilisha iliyokuwa MITIZAMO MFU kwa kutuletea fikra chanya ya VIWANDA...

La muhimu,wizara Yetu ya Elimu,pamoja na COSTECH kujipanga haswa kwa kunoa BONGO zao kibunifu ili tutoke hapa tuliko na KUPAA tutakako.

Mungu Mbariki RAIS JPM na watendaji wake Aaaamin aaaaamin.


Kijana muuza Al Kasus
Tandale Kwa Mtogole
 
Wadachi ni shiiida kijana wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…