Kwanini Wahindi huwambii kitu kuhusu Israel

Kwanini Wahindi huwambii kitu kuhusu Israel

Sio wahindi wote kumbuka India ina waislam wengi wako against Israel. We ungesema Hindus hapo sawa. Sababu wote wana lana waisrael na kusudia wale zionist hawa ni ma freemasonry na wahindus wabudu ngo'mbe.
Na waislamu mbona wanaabud lile jiwe husemi
 
Wahindi wengi wanaikubali Sana Israel.

Wahindi huwambii kitu kuhusu Israel. Wanaikubali Sana Israel.

Kumbuka India ina watu 1.4 billion na Israel 10 million lakini wako obsessed Sana na Israel.

Cha ajabu tena wahindi wengi sio wakristo. Wengi ni Hinduism.

View attachment 3156426
Wanatuchanganya
BRICS ni sehemu yao na ndimo walimo mashost wao wakubwa
 
sasa hivi hakuna anayekubali makobazi kwakee!yaani wengi wanamsubiria tu mwamba trump aapishwe show za kibabee zianzee!
WHindi wengi wako nchi za kiarabu,wanatumikishwa kwa kazi za hali ya chini,kama kazi za nyumbani,ufagiaji barabara,kuosha magari,kusafisha mabustani,usagishaji wa maofisi,umesenja,kulea watoto,kusafisha mashule na vyuo,katika nchi za kiarabu,Oman,Qatar,Kuwait,Dubai,Bahrain,Saudia,nk.Wakati hakuna muarabu wa nchi hizo,anayefanya kazi hizo huko India.Hii inawaumiza kichwa sana wahindi.
 
Na waislamu mbona wanaabud lile jiwe husemi
Hakuna muislamu anayeabudu jiwe,kama ingekuwa wanaliabudu,wawasingetumia mawe kwenye ujenzi,wahindu wanaabudu ng'ombe,hawachinji ngo'ombe,wala kumtumia kwa kazi zozote,na picha zake,wanaweka mahekaluni.mwao na kuvyaa shingoni,lama misalaba.
 
wahindi (Hindus) wana vita kubwa na Arabs (uislam) dini ni catalyst kwenye hii vita
.
tafuta history ya vita ya India na Pakistan na jimbo la kashmir
.
the enemy of my enemy is my friend India na Israel wana adui mmoja (Arabs)
Kinachowaumiza wahindu,ni kutumikishwa cheap labour,kazi za kufagia,wanawake wao kuwa mayaya,kubeba mizigo,kufagia barabara,kuosha magari,mesenger,kusafisha ma ofisi,kubeba zege,kusafisha mabustani,kufagia mabarabara,kuzoa taka,nchi za kiarabu za kiislamu,kama Oman,Dubai,Bahrain,-Kuwait,Qatar,,Saud Arabia nk.Wqkati kwao India hakuna muarabu muislamu wala mkristo,anayefanya kazi hizo.Hiki kitu kinawaumiza kichwa sana
 
Katika watu huwa siwaelew na siwakubali hata ni hawa wala kinyesi na mkojo wa Mungu wao (ng’ombe) watu wachafu Kuwahi kutokea katika dunia hii 🚮
Kinachowaumiza kichwa wahindi,ni kutumikishwa cheap labour,nchi za kiarabu,wahindi wanafanyishwa kazi na waarabu,kazi za uyaya,kufagia barabara,kubeba mizigo,kuosha magari,kubeba zege,umessenger,kusafisha mabustsni,kuzoa taka barabarani,,katika nchi za kiarabu Oman,Qarar,Kuwait,Dubai,Bahrin,,Saudia nk.Wakati kwao India,hakuna muarabu muislamu wala mkristo,anayefanya kazi hizo.Muhindi anamuweka muarabu sawa na muafrika,sasa fikiria hapo,muafrika amtumikishe muhindi kwenye cheap labour,roho inamuuma vipi muhindi.Ndio ukaona muhindi amevhanganuikiwa kwa kula hivyo vitu,kutoka kwa ng'ombe.Na mumfanya ni mungu wao.
 
Hakuna muislamu anayeabudu jiwe,kama ingekuwa wanaliabudu,wawasingetumia mawe kwenye ujenzi,wahindu wanaabudu ng'ombe,hawachinji ngo'ombe,wala kumtumia kwa kazi zozote,na picha zake,wanaweka mahekaluni.mwao na kuvyaa shingoni,lama misalaba.
Wacha bana. Nikuulize swali? Kuabudu ni kufanya nini
 
Huna unalojua kaa kimya jomba
Hebu msome Berkhe Khan Mongols aliyejiunga na Uisilamu kule Bukhara.

Berke Khan converted to Islam in the city of Bukhara in 1252. When he was at Saray-Jük, Berke met a caravan from Bukhara and questioned them about their faith. Berke was impressed with their faith and decided to convert to Islam. Berke then persuaded his brother Tukh-timur to become a Muslim as well.

In 1248 Batu sent Berke, along with his brother Tukh-timur, to Mongolia in order to install Möngke Khan on the throne of Great Khan. When he arrived, he invited the Chagatai and Ogedeyd families several times. That is why Berke conducted the kurultai in 1251 and had Möngke enthroned. Berke organized everything under strict conditions.

Assuming the Golden Horde​




Berke-Hulagu War​





















Death and Aftermath​

 
Na waislamu mbona wanaabud lile jiwe husemi
We huijui dini yako vizuri hizo hizo bibilia zenu zinawambia hilo jiwe ni takatifu. Hebu kosome YOSHUA 24-27 Yoshua Akawaambia watu wote, tazame JIWE hili litakuwa shahidi kwenu. Kwa maana limesikia maneno yote ya Bwana, basi msije mka mkana Bwana Mungu.
Hapo wewe unaye likataa hilo jiwe umeisha mkana Mungu wenu, tukiwambia Uislam ndio dini.mmabisha haya jiwe lenu lipo wapi kama mnalo au liko nchi gani 😄

Kasome ZABURI 118 -22 Jiwe walilolikataa Waashi Leo limekuwa Jiwe Kubwa la Pembeni.
Haya wewe unalikataa jiwe ujuwe upo kwenye hasara kubwa.

K/SHERIA 25-15 Uwe na Jiwe Timilifu cha Haki, Zipate kuwa siku nyingi, katika Nchi akupayo Bwana Mungu wako. KJV

Niambie hapo kule Saud Arabia ndio taifa teule .
 
wahindi kinawauma kutumikishwa na waarabu huku uarabuni. wao wanaona watu bora kuzidi wao ni wazungu na jamii za wajapan huko..sasa watu wanaowaona kama watu duni ndio wanawatumikisha inawavuruga sana. wahindi wanawachukia waarabu na uislam wao sio poa
.nipo huku najua nachozungumza. wanawaona wahindi wenzao waislam kama wasaliti wa imani na utaifa
 
Back
Top Bottom