Kwanini Wahindi ni wachafu sana?

Kwanini Wahindi ni wachafu sana?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hivi jamani hawa jamaa wana nini haswa? Huwa wanajiona superior sana mbele ya Waafrika ila ni katika jamii ambazo hazina maajabu hapa duniani sio kwa mapenzi wala nini na ni wachafu balaa.

Binafsi ni ngumu sana kula chakula kwa muhindi maana mhhhh! Ogopa sana watu wanaotemea makohozi kwenye masink ya kuoshea vyombo ni wachafu sijapata kuona.

Ukimkuta muhindi msafi ni nadra sana hata kama atakua na pesa ila hulka yao ya uchafu haijifichi.

Sijui wana matatizo gani hawa
 
Wao wanadhani ile ngozi kuwa nyeupe ni usafi tosha.

Hawa jamaa ngoja ninyamanze tu. Ukimfungua huko kwenye kisahani ndio utachoka.
Hivi jamani hawa jamaa wana nini haswa? Huwa wanajiona superior sana mbele ya Waafrika ila ni katika jamii ambazo hazina maajabu hapa duniani sio kwa mapenzi wala nini na ni wachafu balaa

Binafsi ni ngumu sana kula chakula kwa muhindi maana mhhhh!!!Ogopa sana watu wanaotemea makohozi kwenye masink ya kuoshea vyombo ni wachafu sijapata kuona

Ukimkuta muhindi msafi ni nadra sana hata kama atakua na pesa ila hulka yao ya uchafu haijifichi

Sijui wana matatizo gani hawa
 
Ni wachafu kweli kweli, ukiwaona kimuonekano na wanavyonukia hutodhani kama wana hulka ya uchafu, siwapendi kwa sababu ya uchafu na ubaguzi
Mkuu, hebu fafanua kidogo- Ni wachafu kivipi? Hawaogi? Hawafui nguo zao? Hawasafishi mazingira yao? Wanakula bila kunawa? au ...... hebu funguka kidogo.
 
Back
Top Bottom