Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Nishaandika uzi kuhusu wahindi ikafutwa huu nashangaa Bado upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wabongo tu; Huku vijijini wapo ambao tunaoga kipindi cha masika tu. Kiangazi maji ni mojawapo ya bidhaa adimu na ghali sana.Hata wabongo wapo wachafu sanaa
Lakini, Dah! mzee, mpaka kwenye kinyesi chao? Jina lako kweli ni sahihi kabisa.wanakua sana viungo vingi na pilipili usije kukuana na harufu,jasho na kinyesi chao utapiga chafya na kuwashwa
😂😂Sio wabongo tu; Huku vijijini wapo ambao tunaoga kipindi cha masika tu. Kiangazi maji ni mojawapo ya bidhaa adimu na ghali sana.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama jaama zake wachafu tusiseme?Ngoja MO DEWJI aje
Nimefanya kaz na hawa watu, wasikie tu hivi hiviLakini, Dah! mzee, mpaka kwenye kinyesi chao? Jina lako kweli ni sahihi kabisa.
"Baniani mbaya kiatu chake dawa". Iwe walikuajiri au hata iwe uliajiriwa na kujikuta unafanya nao kazi pamoja(Kwa bahati mbaya) Je, mkono haukuenda kinywani? Komaa na Hali yako acha wafu wazike wafu wao.Nimefanya kaz na hawa watu, wasikie tu hivi hivi
Sasa; hebu utuambie ni kitu gani kinachokupeleka kwa hao wala guberi n.k.? Bila shaka kuna kitu unachokipenda kwao. Basi kama unawaendea kwa malengo yako, kuwa mvumilivu kwani mvumilivu hula mbivu. Sioni kama ni vyema kumtaja mtu jina (kama ni jina lake kweli) na mapungufu yake. Haipendezi mkuu. Ukisema hawana ustaarabu unataka wawe kama unavyotaka wewe?Wahindi wale wanayotumia pariki, kubeli na wala mirungi dah wanachefua sana wanatema sehemu yeyote ile.
Midomo imechanika kama Wana ngoma na ule utandu mweupe .Hyo meno sasa meusi hwanaga ustaarabu kabisa mtizame mtu kama Ajay Devgan Yale meno Kwa kule pariki na kuberi.
Hii silaha kali sana,tungeijua mapema tungepata uhuru zamani sana...Uchafu ilikuwa mbinu mojawapo ya kuwakera waingereza wakati wa kudai uhuru.wanakunya hadharani hawana vyoo.hii ilipekelea waingereza kusalimu amri.sasa imekuwa tabia yao.
Kwanini tusiishi nao?wapunguze uchafu tu maisha ni muingiliano. au unazan kila anaekaa na wahindi kajiliwa nao au anawategemea.?tabia mbaya ni mbaya tuOh! Mbona hiyo ni very simple? USIISHI nao i.e. Ishi kwako mwenyewe, kula vya kwako mwenyewe na fanya mambo yako mwenyewe. Achana nao.
Sisi twaongoza, kama wabisha pita sokoni, nenda machinjioniHata wabongo wapo wachafu sanaa
Halaf pita choon na bafuniSisi twaongoza, kama wabisha pita sokoni, nenda machinjioni
Nikuambie kitu? Tabia inaweza kuitwa mbaya au nzuri kutegemeana na yule anayeitathmini hiyo Tabia. Kuitwa Mbaya au Nzuri ni sifa kwa jinsi ya mtazamo wako ww binafsi. e.g. kutema-tema mate au kupenga kwa huku Umasaini (ndani ndani huku) ni jambo la kawaida sana na halina shida hata kidogo.Kwanini tusiishi nao?wapunguze uchafu tu maisha ni muingiliano. au unazan kila anaekaa na wahindi kajiliwa nao au anawategemea.?tabia mbaya ni mbaya tu
Ni mfanyakazi wao?Wa kusafisha na kuzoa takataka na kuwafulia?Acha kazi kafanye kwingine,au uwe mjasiriamali.Hivi jamani hawa jamaa wana nini haswa? Huwa wanajiona superior sana mbele ya Waafrika ila ni katika jamii ambazo hazina maajabu hapa duniani sio kwa mapenzi wala nini na ni wachafu balaa
Binafsi ni ngumu sana kula chakula kwa muhindi maana mhhhh!!!Ogopa sana watu wanaotemea makohozi kwenye masink ya kuoshea vyombo ni wachafu sijapata kuona
Ukimkuta muhindi msafi ni nadra sana hata kama atakua na pesa ila hulka yao ya uchafu haijifichi
Sijui wana matatizo gani hawa
Yeah. Wahenga walisema "usimtukane mamba kabla hujavuka mto" Hao Wahindi anawabeza na kuwasimanga ilhali yupo nao na pengine kuna kitu anapata kutoka kwao. Kuondoka kama ulivyoshauri anashindwa, kujiogeza awe mjasiriamali labda hana uwezo. Ingefaa akubaliane tu na matokeo.Ni mfanyakazi wao?Wa kusafisha na kuzoa takataka na kuwafulia?Acha kazi kafanye kwingine,au uwe mjasiriamali.
Nikuambie kitu? Tabia inaweza kuitwa mbaya au nzuri kutegemeana na yule anayeitathmini hiyo Tabia. Kuitwa Mbaya au Nzuri ni sifa kwa jinsi ya mtazamo wako ww binafsi. e.g. kutema-tema mate au kupenga kwa huku Umasaini (ndani ndani huku) ni jambo la kawaida sana na halina shida hata kidogo.
Kuosha/kusafisha vibuyu vya maziwa kwa kutumia mkojo wa ng'ombe ni kawaida sana. Sasa wewe usijiweke kuwa ndo Yard stick i.e kipimo cha mbaya au nzuri. Kile ambacho ww unadhani ni chema, kwa wenzio ni mbaya kabisa hakifai.
Vyoo visafi vya umma ni vya Mlimani City pekee.Halaf pita choon na bafuni
Hawajawazidi WachinaNa Wasomal wanapenda kutema tema
Sasa viburi vinasafishwa na mkojo ni hakuna maji au ni mila tu ?
Yaan unakuta mtu kaingia choon kusafi ilaa anaacha kuchafuVyoo visafi vya umma ni vya Mlimani City pekee.
Majumbani kwetu vyoo vichafu sana