Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Mkuu kutaja kwa namna yoyote ile mambo ya kula tunda kimasihara, tayari unakuwa umeexpose privacy yako ujue!Unataka kuingilia privacy yangu.
Nd'otukataka sasa uingie zaidi ili tunufaike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kutaja kwa namna yoyote ile mambo ya kula tunda kimasihara, tayari unakuwa umeexpose privacy yako ujue!Unataka kuingilia privacy yangu.
Ndio maana mambo hayo yanafanywa chumbani. Vilevile linaitwa tendo la siri.Mkuu kutaja kwa namna yoyote ile mambo ya kula tunda kimasihara, tayari unakuwa umeexpose privacy yako ujue!
Nd'otukataka sasa uingie zaidi ili tunufaike.
Powaaa!Ndio maana mambo hayo yanafanywa chumbani. Vilevile linaitwa tendo la siri.
Ni wachafu kwa kila kitu, yaani ni asili yaoBahati nzuri sijawahi kaa nao karibu daah ningeteseka kama wana tabia hizo
Huu utaratibu mimi ninao kwanza chooni kuingia kuna lapa spesho zipo ndani....Yaan unakuta mtu kaingia choon kusafi ilaa anaacha kuchafu
Nashukuru sana natumia cha peke yangu tu
Nyumba chache sana wasafii vyoo na mazingira
Wakiwa hawana hela ila mbongo mwenye hela ni mpenda sifa na msafi na mtu wa motoko sana bila kusahau perfumes kama zote ingawa ni fake..🤣Hata wabongo wapo wachafu sanaa
Sasa wahindi wana uhusiano gani na team kobaz wewe nae!!!Aliyekuambia wahindi ni waislam ni nani??TEAM KOBAZI WAKIONA HII UMEKWISHA[emoji23][emoji23].
limeibuka suala humu la kuhusisha race fulan na imani, kwamba ukiisema race fulan inayohusiana na imani fulan basi wafuasi wa hiyo imani wanakushukia kwa matusi wakidhan kwamba lengo la wew ni kuichafua iman kumbe ni hiyo race ama jamii fulani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna uzoefu na hii jamii ya kihindi. Hizo vitu unaongelea mama ntilie wanafanya kwenye mapishi wao zinafanyika kwenye mahoteli yao makubwa kabisa ya katikati ya jiji. Fuatilia.asili ya uchafu ni waafrica ni wachafu sana sisi ngozi nyeusi wachafu hata mbinguni hatuendi kuanzia tunapolala makazini sehemu za kazi mamalishe uchafu juu ya uchafu tunakojolea chupa za maji tunajaza mikojo tunatupa barabarani kesho yake muuza juisi anaipitia anamwaga mkojo anajaza juice ya pasion muhindi hafanyi ushenzi huu, mtu mweusi anapika chakula huku mwanae pembeni anakunya anamtawaza jujuu anaendelea na kupika anakatakata nyanya.muhindi hafanyi ushenzi huu, ndio maana mtu mweupe ni nadra sana kuingia hotel ya chakula ya mtu mweusi au kununua juice yake, sasa ingia choo cha mtu mweusi nyumbani kwake hata kama ni kiongozi utakimbia ni pachafu kudaadek sijui sisi waafrica tunaishije,sisi watu weusi tukipelekwa ulaya leo hii ulaya itageuka kuwa vigunguti na wazungu wakiletwa bongo itabadilika kuwa ulaya