Kwanini waimbaji wa Injili wa kike hapa Bongo hawadumu kwenye ndoa?

Kwanini waimbaji wa Injili wa kike hapa Bongo hawadumu kwenye ndoa?

Waimbaji wa nyimbo za injili ni wanafiki na hata baadhi ya wanao wasikiliza nao ni wanafiki. Ukijaribu kuonya unaambiwa usihukumu usije ukahukumiwa. Kwa Sasa Christina Shusho ni mchungaji ila yupo hapo kwa diamond. Mtu mwenye kiburi hashauriki.
 
Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Beatrice Mhone, Bahati Bukuku, Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.

Waimba Injili tunawachukulia kama watu wema au wanaoishi katika neno la MUNGU kwa namna wanavyoeneza injili katia nyimbo zao, hivyo kwa asilimia kubwa tungetegemea kuona wao wakituongoza katika kuwa na ndoa njema na kuishi maisha ya furaha kwa sababu tunaamini anayeishi kwenye neno basi uishi kwa furaha. Lakini cha kushangaza nao tunawaona wanaolewa na kuaachika.

Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
mwanamke kwenda kuolewa anafuata fursa ya maisha, sasa akipata fursa zaidi nje mfumo wa ndoa kwanini abaki kwenye ndoa tena? Akitaka tendo ana-download dogo lote alitakalo.
 
Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Beatrice Mhone, Bahati Bukuku, Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.

Waimba Injili tunawachukulia kama watu wema au wanaoishi katika neno la MUNGU kwa namna wanavyoeneza injili katia nyimbo zao, hivyo kwa asilimia kubwa tungetegemea kuona wao wakituongoza katika kuwa na ndoa njema na kuishi maisha ya furaha kwa sababu tunaamini anayeishi kwenye neno basi uishi kwa furaha. Lakini cha kushangaza nao tunawaona wanaolewa na kuaachika.

Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
Kwa sababu nao ni binadamu kama wewe. Kuimba injili hukuwafanyi wawe tofauti.
 
Ndoa za Tasnia ipi zinadumu ? Na nchi gani ?
 
Back
Top Bottom