econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Ukitazama kuna ukweli ...orodha ni ndefu na wanatokea uprotestandini
- Beatrice Mhone
- Bahati Bukuku
- Flora Mbasha
- Christina Shusho
Martha Baraka
Angel Benard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitazama kuna ukweli ...orodha ni ndefu na wanatokea uprotestandini
- Beatrice Mhone
- Bahati Bukuku
- Flora Mbasha
- Christina Shusho
🙏Martha Baraka
Angel Benard
mwanamke kwenda kuolewa anafuata fursa ya maisha, sasa akipata fursa zaidi nje mfumo wa ndoa kwanini abaki kwenye ndoa tena? Akitaka tendo ana-download dogo lote alitakalo.Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Beatrice Mhone, Bahati Bukuku, Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.
Waimba Injili tunawachukulia kama watu wema au wanaoishi katika neno la MUNGU kwa namna wanavyoeneza injili katia nyimbo zao, hivyo kwa asilimia kubwa tungetegemea kuona wao wakituongoza katika kuwa na ndoa njema na kuishi maisha ya furaha kwa sababu tunaamini anayeishi kwenye neno basi uishi kwa furaha. Lakini cha kushangaza nao tunawaona wanaolewa na kuaachika.
Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
Kwa sababu nao ni binadamu kama wewe. Kuimba injili hukuwafanyi wawe tofauti.Ukitizama waimbaji wa injili wengi wa kike mfano kina Beatrice Mhone, Bahati Bukuku, Angel Bernard, kina Christina Shusho, kina Flora Mbasha na wengineo wamekuwa katika wimbi la kuolewa na kuachika. Huku sisi wafuasi wao ambao tunawaona kama Role Modal wakituacha solemba tukiduwaa.
Waimba Injili tunawachukulia kama watu wema au wanaoishi katika neno la MUNGU kwa namna wanavyoeneza injili katia nyimbo zao, hivyo kwa asilimia kubwa tungetegemea kuona wao wakituongoza katika kuwa na ndoa njema na kuishi maisha ya furaha kwa sababu tunaamini anayeishi kwenye neno basi uishi kwa furaha. Lakini cha kushangaza nao tunawaona wanaolewa na kuaachika.
Shida ni nini hasa kwa hawa ndugu zetu, mwenye ulewa juu ya haya mambo tunaomba ufafanuzi nini kinawakumba hawa dada zetu?
mbona tulia ackson ndoa yake imetulia? Naye si maarufu?Ni vigumu sana mwanamke kuwa mnyenyekevu akiwa na hela au maarufu