ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda