Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Asilimia kubwa ya wanawake wakishajipata kiuchumi hawana habari ya ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia kubwa ya wanawake wakishajipata kiuchumi hawana habari ya ndoa.
Ni mtu huru, utumwa ujitakie mwenyeweNa mwanaume ni mtumwa wa nini?
Point ya muhimu sanaNi kweli mkuu ila kila mtu ashinde mechi zake.
Kama hao ndio viongozi wetu wanaotukumbusha mambo ya Iman kwa kuimba nyimbo za dini na hali yakuwa hawana ndoa Kwanini mm niingie kwenye Ndoa?Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Kwani hakuna msela ambaye hajamuelewa hadi leo au unataka kusema tangu jamaa ang'oke hajatoa mzigo bado anaomboleza?Upendo Nkone nafikiri ni mjane.
Na mwanaume ni naniMke ni mtumwa, mtumwa wa ngono, mtumwa wa kupikia mwanaume, mtumwa wa kulea watoto