Kwanini waimbaji wa injili wa kike hawana ndoa

Kwanini waimbaji wa injili wa kike hawana ndoa

Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza

Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini

1. Rose Mhando hana ndoa

2. Martha Mwaipaja hana ndoa

3 Bahati Bukuku hana ndoa

4 Jennifer Mgendi hana ndoa

5. Frola Mbasha hana ndoa

6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa

7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa

8. Christina Shusho hana ndoa

9. Upendo Nkone hana ndoa

10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa

Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Wana nyota ya uwahawara

Wengi vipusa WA wachungaji mkuu na manabii
 
Wakiolewa wale n sawa na kuua makanisa maana ndoa za wachunga....zitateteteka sana
 
Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza

Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini

1. Rose Mhando hana ndoa

2. Martha Mwaipaja hana ndoa

3 Bahati Bukuku hana ndoa

4 Jennifer Mgendi hana ndoa

5. Frola Mbasha hana ndoa

6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa

7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa

8. Christina Shusho hana ndoa

9. Upendo Nkone hana ndoa

10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa

Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Upendo Nkone mtoe hapo, mumewe alikufa.

Huyo Jennife Mgendi ndoa yake imeenda wapi kwani? ameachika??
 
Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza

Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini

1. Rose Mhando hana ndoa

2. Martha Mwaipaja hana ndoa

3 Bahati Bukuku hana ndoa

4 Jennifer Mgendi hana ndoa

5. Frola Mbasha hana ndoa

6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa

7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa

8. Christina Shusho hana ndoa

9. Upendo Nkone hana ndoa

10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa

Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Joyce Omondi yupo kwenye ndoa miaka mingi.
Pia Upendo Nkone alifiwa na mume baadae akaolewa tena
 
Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza

Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini

1. Rose Mhando hana ndoa

2. Martha Mwaipaja hana ndoa
Kuna tofauti kubwa ya kuwa mtu wa kiroho na kuwa mwimbaji wa injili.. sio wote wanaorukaruka wana mguso wa Mungu.
 
Back
Top Bottom