Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Thibitusha kama wewe ni binadamuKwamba watumishi wa MUNGU wanavunja ndoa nani kakuambia ndoa Inatoka kwa Mungu thibitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitusha kama wewe ni binadamuKwamba watumishi wa MUNGU wanavunja ndoa nani kakuambia ndoa Inatoka kwa Mungu thibitisha
Thibitisha wewe ni zombie au mwanadamuThibitusha kama wewe ni binadamu
Thibitisha kama wewe ni binadamuThibitisha wewe ni zombie au mwanadamu
Ulielewa nilicho uliza?Thibitisha Malaya wanasagana?
Si reply nisipopaelewa hata siku mojaUlielewa nilicho uliza?
Au umesoma bila kuelewa?
Wana nyota ya uwahawaraNdoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Upendo Nkone mtoe hapo, mumewe alikufa.Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Joyce Omondi yupo kwenye ndoa miaka mingi.Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
Yes ni mjaneUpendo Nkone nafikiri ni mjane.
Fact!Asilimia kubwa ya wanawake wakishajipata kiuchumi hawana habari ya ndoa.
wanaishia kupata vijana wadogo na kuonekana ni mishangazi kwaoWengi wao mwishoni huwa wanaamua kutafuta wakuzeeka nae,
Kuna tofauti kubwa ya kuwa mtu wa kiroho na kuwa mwimbaji wa injili.. sio wote wanaorukaruka wana mguso wa Mungu.Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
Atajua mwenyeweMama yako angekuwa na akili kama zako (utumwa wa kulea mtoto) usingezaliwa. Japo hata malezi umepata ya kijinga