Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Then don't come here to advertise your ignorance.Si reply nisipopaelewa hata siku moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Then don't come here to advertise your ignorance.Si reply nisipopaelewa hata siku moja
Haya dadaThen don't come here to advertise your ignorance.
Idiot.Haya dada
Kwa sababu ni makahaba,kazi Yao inawafanya wawe huru na wakipata pesa hawaoni umuhimu wa kuolewa,wanaishia kugongwa tuNdoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
1. Rose Mhando hana ndoa
Huyu walimuonja kwa nguvu4 Jennifer Mgendi hana ndoa
Ni mjane huyu9. Upendo Nkone hana ndoa
Sawa dadaIdiot.
Lkn wote bado warembo jamaaani mmh!!!Upendo Nkone nafikiri ni mjane.
Kwanza, wengi hujitolea kikamilifu kwa kazi ya injili, hali inayoweza kupunguza muda wa kushughulikia mahusiano ya kimapenzi.Ndoa ni jambo la heri na dini imesisitiza kila aliye na umri wa kuwa katika ndoa basi awe na mwenza
Ila 90% ya waimba injili japo ya kuwa wana ijua dini na wanaweza ombea amani katika ndoa ila wao hawana ndoa, kwanini
1. Rose Mhando hana ndoa
2. Martha Mwaipaja hana ndoa
3 Bahati Bukuku hana ndoa
4 Jennifer Mgendi hana ndoa
5. Frola Mbasha hana ndoa
6 Joyce Omondi kutoka Kenya hana ndoa
7 Mercy Masika wa Kenya hana ndoa
8. Christina Shusho hana ndoa
9. Upendo Nkone hana ndoa
10 Rebecca Malope wa south Africa hana ndoa
Hii ni mfano ila ni wengi mno hii taasisi ya ndoa imewashinda
tena wa J Mgendi alifariki kwa covid 19 kipindi cha magufuli, na msiba tulihudhulia japo kwa kuzingatia covid issue, so utaratibu ulikua mzuri, ni mjane huyoMbona vingine hapo ni uongo tu. Umeweka vitu vingi tofauti kwenye kapu moja.
Kwa mfano.
9. Upendo Nkone (Huyo anayo ndoa, aliolewa mume wake akafariki, akaishi kama mjane na kisha kaolewa tena na yupo kwenye ndoa).
4. Jenifer Mgendi (Maisha yake yote tangu anaimba alikuwa kwenye ndoa vizuri, miaka ya karibuni mume wake akafariki, hivyo kwa sasa ni mjane)
Natamani uandae UZI ufafanue hili mkuu.Ni kama una madini kwenye hii mada.Ndoa ni karama kama ilivyo uimbaji. Sometimes ni vigumu kumiliki karama zote mbili
Ndoa ni kwa ajili ya watu maskiniIjulikane ndoa inanafasi yake na uchumi unanafasi yake mkuu,, hivi kuna watu ni masikini kabisa lkn wameoana na ndoa zao zinamda mrefu tu,wajua Hilo?,,uendekezaji wa pesa na mambo ya dunia,unawapeleka kwenye uzinzi mkubwa na maangamizi.
Na mwanaume ni mtumwa wa nini?Mke ni mtumwa, mtumwa wa ngono, mtumwa wa kupikia mwanaume, mtumwa wa kulea watoto