The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Wewe kuamini Yesu kristo ambae hujawahi kumuona na anaeabudu nyoka anaemuona nani mjinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo yesu tu,hata MuddyWewe kuamini Yesu kristo ambae hujawahi kumuona na anaeabudu nyoka anaemuona nani mjinga?
Yesu hakuwa kuhusika katika uumbaji,punguza mahabaMJINGA WEWE UNAEABUDU NYOKA ALIE UMBWA NA YESU KRISTO
HII mpya sababu ni nini? Yaan kuua nyoka na kazi vina uhusiano gani? What's this?Mgodini ggm geita ukiua nyoka unafukuzwa kazi
Wazungu wanadai sie binadamu ndio tumewafuata kwenye maeneo yao ya asili kwa hyo tunapaswa kuwaheshimuHII mpya sababu ni nini? Yaan kuua nyoka na kazi vina uhusiano gani? What's this?
ChamaweKwani nyie wote ni wanawake?!
Kawaulize kina Mkwawa, Mzungu alipowafata kwenye maeneo yao ya asili aliwaheshimu?Wazungu wanadai sie binadamu ndio tumewafuata kwenye maeneo yao ya asili kwa hyo tunapaswa kuwaheshimu
Bhabhabhwiriye? Okwamba siga amasango kunu?Abhajita bhejasu bha Rusori,mungwako amasango ge chimumu bhabhabhwiriye?
Yegoooooo!,siga okwamba nitegelesye amasango kuchalo kunu!
Siyo makusudi hata kwa bahati mbaya lazima akudungeKifutu hana noma labda umkanyage kwa makusudi
Yaan mgodi umejengwa kwenye eneo la asili la nyoka sasa kosa lipo wapi hapo?Wazungu wanadai sie binadamu ndio tumewafuata kwenye maeneo yao ya asili kwa hyo tunapaswa kuwaheshimu
Kwani binadamu maeneo yetu ya asili ni yapi?Wazungu wanadai sie binadamu ndio tumewafuata kwenye maeneo yao ya asili kwa hyo tunapaswa kuwaheshimu
Huyo ndio bure kabisaSiyo yesu tu,hata Muddy
Maeneo yetu ni sehemu tulizojenga nyumba zetu za kuishi ...kumbuka unapoenda kuchimba dhahabu unaenda sehemu zenye vichaka na mapori sehemu ambazo nyoka amekimbilia baada ya binadamu kuanzisha makazi sehemu ya walizokuwepo mwanzoKwani binadamu maeneo yetu ya asili ni yapi?
mimi mwanamme aissChamawe
Na akikuua?Mgodini ggm geita ukiua nyoka unafukuzwa kazi
Kibara huko sio!!?au kitengule kule juu!!Niliishi kijiji kimoja kinaitwa Busambara...siku moja niliona wenyeji wamemkata chatu aliyemeza mbuzi wakamchapa tu viboko na kumweka kwenye gunia na kwenda kumtupa mtoni!!