NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Kifutu mpole sana!labda umkorofishe au umkanyage!!
Sumu take sio ya kitoto!
Sumu take sio ya kitoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutiki jaji?mimi mwanamme aiss
Yego wasu ubhulile hai?Abhajita bhejasu bha Rusori,mungwako amasango ge chimumu bhabhabhwiriye?
Yegoooooo!,siga okwamba nitegelesye amasango kuchalo kunu!
Nilio masikaKutiki jaji?
Hapana haupandishi kwenda kitengule...mbele kidogo ya hiyo njia pandaKibara huko sio!!?au kitengule kule juu!!
Mitaa yangu ya utotoni!miaka ya 90,pale juu kitengule kulikua na Mzambarau au Mwembe pale,sijui Bado upo Hadi leo!!Hapana haupandishi kwenda kitengule...mbele kidogo ya hiyo njia panda
Nilihama huko 1983 tukahamia KasahungaMitaa yangu ya utotoni!miaka ya 90,pale juu kitengule kulikua na Mzambarau au Mwembe pale,sijui Bado upo Hadi leo!!
Kuna dada yangu pale mtoto wa mama mkubwa!!
Anye niliwo mwana wa jomba!Yego wasu ubhulile hai?
Yego,Kasahunga hao bhuliwo bhurosi chinu chindi!Nilihama huko 1983 tukahamia Kasahunga
Sio watu Tu Hata baadhi ya mataifa na taasisi yanaabudu wanyama wanawekwa kama nembo sehemu mbalimbali mf:Nyoka yupo kwenye nembo za afya,,Hata Sisi tulimuweka kwenye mia tano ya noti,,Australia na kangaroo,,,Tz na twiga,,Ndege Eagle na taasisi ya CIA MarekaniWatu wa musoma wengi wanaabudu wanyama. Kuna kabila lingine kinaitwa WANYABASI wao wanamwabugu PUNDAMLIA kama Mungu wao
Mbwile omuloyo asige oubhumumuAnye niliwo mwana wa jomba!
Aisee, umeeleza vizuri sana. Big up mkuuMaeneo yetu ni sehemu tulizojenga nyumba zetu za kuishi ...kumbuka unapoenda kuchimba dhahabu unaenda sehemu zenye vichaka na mapori sehemu ambazo nyoka amekimbilia baada ya binadamu kuanzisha makazi sehemu ya walizokuwepo mwanzo
Sasa wameondoka wametuachia maeneo still bado tunawafuata maeneo waliyokimbilia. Ndiyo maana mzungu akaweka masharti marufuku kumuua nyoka au mnyama yoyote ndani ya mgodi
Ha ha ha anye bhatakundoga nilichinu chindiYego,Kasahunga hao bhuliwo bhurosi chinu chindi!
Anapandishwa cheo na wewe unazikwaNa akikuua?
Siga kwaika kutyo mwana wa sengi 😂Ha ha ha anye bhatakundoga nilichinu chindi