Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Mwana wa mayiAnye niliwo mwana wa jomba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana wa mayiAnye niliwo mwana wa jomba!
Awe obhobhaya abharosi?!Siga kwaika kutyo mwana wa sengi 😂
Mwibhareyo bhona mbarosigo, okwambira bhulamba nugenda mpaka Chisorya, Susi, Bhusambu, Mwigundu, Bhulenda, ukaja Nyampangala, Nyambubhi, Makwa, Mwitenda, Masahunga eyo one abhanu abhetila egayo.Yego,Kasahunga hao bhuliwo bhurosi chinu chindi!
ila huwa anatoa mlio fulani wa kutisha ukimkaribia.Kifutu hana noma labda umkanyage kwa makusudi
mjinga ni the evil geniusWewe kuamini Yesu kristo ambae hujawahi kumuona na anaeabudu nyoka anaemuona nani mjinga?
jamaa wanawaza mbali sana japo mambo yao mengine ni ya kipuuzi.Yaan mgodi umejengwa kwenye eneo la asili la nyoka sasa kosa lipo wapi hapo?
Yeeeego! anye nobhaya Ubhurosi!Mwibhareyo bhona mbarosigo, okwambira bhulamba nugenda mpaka Chisorya, Susi, Bhusambu, Mwigundu, Bhulenda, ukaja Nyampangala, Nyambubhi, Makwa, Mwitenda, Masahunga eyo one abhanu abhetila egayo.
Chief mimi na nyoka ni vitu viwil tofauti yaani nikimuona nitamsaka popote pale alipo mpaka kijulikane. Sasa nyoka kaja nyumbani kwangu nimuangalie tu?Kwanini umuue sasa, ni bora umpeleke huko porini labda kama anahatarisha usalama wako na wanao.
Ninyi ndo ambao mnaua viumbe hovyo hovyo tu, ukiona sisimizi unakanyaga unaua, ukiona mjusi chap kwa haraka unampiga kiatu, umeona paka/mbwa jiwe au fimbo iko wapi upige uue. Yaani hata bila sababu yoyote basi tu ni ukatili.
Watu wa musoma wengi wanaabudu wanyama. Kuna kabila lingine kinaitwa WANYABASI wao wanamwabugu PUNDAMLIA kama Mungu wao
Kwa nyumbani ni sawa kujihami.Chief mimi na nyoka ni vitu viwil tofauti yaani nikimuona nitamsaka popote pale alipo mpaka kijulikane. Sasa nyoka kaja nyumbani kwangu nimuangalie tu?
Mbona maelezo yako yanafanana na yaliyokuwa yanatokea Busambara kijijini kwetu!!!Kifutu sina uhakika, ninayefahamu Mimi ni Chatu, nakumbuka nikiwa mdogo miaka 7/8, kuna Chatu alikuwa anakula mbuzi na mbwa kijijini ilikuwa ni miaka ya 80+ , wazee wakaita watu msaoko ukaanza, akapatikana lilikuwa bonge la Chatu, kwavile hawezi kuwa ikabidi wanaume wenye misuli walikamate ili wengine kichwani , katikati na mkiani kwenda kulitupa mlimani. Baada ya hapo nimeshuhudia mwingine tena hapohapo kijijini kwetu alikuwa mkubwa sana, kazi yake kukamata na kula mbuzi na mbwa. Siku moja saa sita nilikuwa na rafiki zangu tunaenda kuhamisha ng'ombe (kuwafunga sehemu nyingine) tukalikuta linaota jua, nikawauliza rafiki zangu, hivi tukiliua kweli familia zetu watu wataanza kufa? Nilihoambiwa nimpigie mstari. Ukimuona Chatu huko kwetu amekufa, break ya kwanza ni kwa mganga, hao wenye majina ya Lusato au Nyasatu au unasikia kijana anaitwa Nyoka, basi jua ndugu zao wsliwahi kuona Chatu waliokufa hivyo hueaits watoto wao majina hayo.
Yeah man rasta inah budah TingUnamuua kwani unaweza kumuumba?Sisi marastafari tunaelekezwa hata tutembeapo tuwe makini tusikanyage hata sisimizi.Hapo unasemaje ndugu mchekaji?
Irie maan!An' a louder message!Yeah man rasta inah budah Ting