Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Kwanini wakaka mnapenda sana "makalio yetu" wanawake......na nyie simnayo?

Kama huna chura, kwangu kwa kweli hapana!
 

Attachments

  • 1477058099391.jpg
    1477058099391.jpg
    16.8 KB · Views: 646
Kwasababu na nyie mnapenda walett zetu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Umaarufu wa Zigo remix umekuja baada ya sisi wanawake wenyewe kuonyesha umuhimu wa hayo madude hasa kunako singeli , unadhani ile style ya mkao wa chura ungeonekana kama wale wadada kina snura wasingeyatumia kuyanadi, hili ni kosa letu wanawake na tumekula hasara kwa kweli maana kuna vi flat kama mie wanayanunua kwa kasi kwenye maduka ya dawa za kichina ,waacheni wanaume wayapende maana watu hupenda vinavyoonekana na kuwavutia
 
Sie tna makalio lakini tunapenda matako,na matako sis hatuna
 
Back
Top Bottom