Kwanini wakazi wengi wa Dar es Salaaam mna roho mbaya?

Kwanini wakazi wengi wa Dar es Salaaam mna roho mbaya?

Unaondoka Mkoani una samaki na mchele kuwapelekea ndugu zako. Ukifika unanuniwa! Ngoja sasa wao wafike kwako wanajifanya wanyenyekevu na kufakamia kila kilicho mbele yao.
Ukiona umenuniwa ujuwe umekuja Kama zigo tu,umeshindwa kuja hata na Mahindi ya kuchemsha kutoka kwenu Bush lazima utanuniwa tu! Watu wamikowani mjiongoze Dar kila kitu ni pesa siku hizi!!
 
Ni shida
Mimi huwa na kuja na debe mbili za mchele na maharage alafu nakaa siku tatu tu, mbali na hilo muda wote huwa nakuwa busy hvyo huwa sigusi dona lenu,lakini bado hali ni mbaya.
 
Nikija bara nimeenda kwetu nitagikia kwetu. Nikienda mkoa mwngne nitafikia lodge au hotelini.
Mimi uwa sipendi kufikia kwa watu ili niwe huru na nisiingilie mfuno wao wa maisha.
Ikitokea huna pesa?
 
Ikitokea huna pesa?
Mimi ninadhani mara nyingi ukisafiri mkoa to mkoa lengo unaenda kusaka pesa. Kama ni issue ya kimatibabu hapo kwakweli kukaa hotelin au lodge haiwezekani itabidi tu ukae kwa rafiki au ndugu.

Kuhusu la kutokuwa na pesa nikiwa safarini halijwahi kunitokea siku likinitokea hapo ndipo nitajua mkuu.

Watu wa dar maisha yetu tunayajua wenyewe mkuu, maisha expensive mtuvumilie siyo roho mbaya. Hadi pilipili inauzwa
 
Watu wa Dar hata awe na jumba kubwa ukifika tu lazma akuzingue, tuna ndugu mpaka BoT lakini ukifika anahisi utakula mshahara wake wote, tena unakuwa na ratiba ya kukaa kwake wiki tu lakin ataona shida.

Hii ni nature,nahisi mungu kawafanya kuwa hvyo ili wapunguze kero,najua wangekuwa wakarimu wangekuwa wanapokea wageni wengi sana.
 
Watu wa dar hata awe na jumba kubwa ukifika tu lazma akuzingue,tuna ndugu mpaka BoT lakini ukifika anahis utakula mshahara wake wote,tena unakuwa na ratiba ya kukaa kwake wiki tu lakin ataona shida.

Hii ni nature,nahisi mungu kawafanya kuwa hvyo ili wapunguze kero,najua wangekuwa wakarimu wangekuwa wanapokea wageni wengi sana.
Kwakweli nakubaliana naye huwezi funga safari utoke ulikotoka uje eti ukae tu mwezi. Mtu mwingine hana hata issue eti kaja kupumzika at your own expenses.
Atakaa abadili mfumo wa familia yako usipomshtua anaweza akae hata miezi miwili.
 
Kwani wa mkoani matatizo yenu mbona hamuyasemi au tuwasaidie kuwasemea
 
Joto,,foleni.. na maisha magumu.....ilishawahi kufanyika research kuwa kwanini madreva na makonda wa darslam wanamatusi...ikapatikana kuwa ni kutokana na joto Kali + msongamano wa watu+foleni.....ndo Mana watu wa daslam mda wote wamechafukwa roho...
 
Back
Top Bottom