Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniita mimi dogo huenda ninakuzidi. By the way mimi msafiri nasafiri mikoani kila mara lakini uwa ninajitahidi nisiwe mzigo kwa watu niwapo kwenye harakati zangu.Hujui maisha we dogo.
Wenye akili kubwa hapa ndiyo wataakuelewa!!Nikija bara nimeenda kwetu nitafikia kwetu. Nikienda mkoa mwngne nitafikia lodge au hotelini.
Mimi uwa sipendi kufikia kwa watu ili niwe huru na nisiingilie mfumo wao wa maisha.
Ukiingia kwenye familia ya watu kuna namna flan unawaaharibia mfumo wao wa maisha yao waliouzoea.Dogo kujumuika na ndugu na jamaa ndio unakuwa mzigo?
Hii kasumba ya kusema mnaharibiana mifumo ya maisha ndio roho mbaya yenyewe.Ukiingia kwenye familia ya watu kuna namna flan unawaaharibia mfumo wao wa maisha yao waliouzoea.
Huwezi kuelewa kwakuwa wewe bado ni dogo umezoea kufikia kwa shemeji yako au unaishi kwa shemeji yako.
Jitahidi ufikie kwa watu pale inapokuwa na ulazima, kama unaweza kuafford fikia hotelini au lodge.
Hii haimaanishi watu wasitembeleane wala kulala kwa watu, lakini isiwe ni tabia yako unatoka unatoka eti kisa unamfahamu flani yuko dar basi ushapanga tu kuwa utafikia kwake tena wafanya kumpa taarita tu.
Sasa hapo kwenu ndugu wakija Dar huwataki, utathaminiwa vipi ?Nikija bara nimeenda kwetu nitafikia kwetu. Nikienda mkoa mwngne nitafikia lodge au hotelini.
Mimi uwa sipendi kufikia kwa watu ili niwe huru na nisiingilie mfumo wao wa maisha.
Unaishi kwa shemeji gharama za maisha utazijua wapi wewe?Hii kasumba ya kusema mnaharibiana mifumo ya maisha ndio roho mbaya yenyewe.
Jifunze kuwa maisha huwa yanabadilika, leo utapokea wageni na wewe ipo siku utakuwa mgeni. Ubonadamu ni kuwa na hali ya kujumuika na watu.
Watoto wapuuzi kama wewe mmekulia kwa wazazi hamjawahi kupata tabu ndio maana mna roho mbaya.
Waje tu lakini siyo kila mtu akija dar anadhani anafikia kwangu. Maisha ya dar magumu watu washawambia tunaishi store sasa store mnataka tubanane mpaka tukose hewa.Sasa hapo kwenu ndugu wakija Dar huwataki, utathaminiwa vipi ?
Sasa ukienda ulaya si ndo utatukana .maana kule ni mara 1000 ya dar..yaan hawatak ujinga wa ndugu kabisaaa...maisha ni budget..ukiona unanuniwa ujue kwenda kwako pale ni kero.Japokuwa sio wote lakini asilimia kubwa ya wakazi wa Dar wana roho mbaya sana. Hawapendi wageni, wao kwa wao hawapendani. Wamejaa matusi, visirani maneno mengi na ukorofi wa hali ya juu.
Watu wengi wakitoka mikoani na kwenda Dar hukutana na hii kitu. Hawakaribishwi vizuri, wananuniwa na ndugu zao wa huko Dar.
Nini hasa sababu ya haya mambo? Maisha magumu? Au mazingira sio rafiki?
Kuna siku nilishangaa mvua ilikuwa inaonyesha ikakatika , Ile natoka Tu bonge la mvua mbele yangu kuna mgahawa nikaenda kujikinga mvua akaja mwenye mgahawa akaniuliza unahitaji chai na nini? Nikajibu samahani nimejificha mvua alichonijibu nilijitosa kwenye mvua. Kweli watu WA Dar Wana roho za ajabu.SIO ROHO MBAYA MKUU TATIZO MAISHA YA DAR NI MAGUMU MNO NDO INASABABISHA HALI HIYO
Hawana utu.Kuna siku nilishangaa mvua ilikuwa inaonyesha ikakatika , Ile natoka Tu bonge la mvua mbele yangu kuna mgahawa nikaenda kujikinga mvua akaja mwenye mgahawa akaniuliza unahitaji chai na nini? Nikajibu samahani nimejificha mvua alichonijibu nilijitosa kwenye mvua. Kweli watu WA Dar Wana roho za ajabu.
Yaani watu wanaendekeza dhiki Hadi aibu, mfano angeniacha nitulie ningeona aibu hata ningemuungisha Maji ya Mia tano. Watu kama hao ndio maana hawafanikiwi.Hawana utu.
Dar ni uwanja wa mapambano,pambana ule,zubaa ulale njaa.Watu lundo rasilimali chache(Maji machache,Mamba wengi).Ukitaka fair life rudi Bush!Japokuwa sio wote lakini asilimia kubwa ya wakazi wa Dar wana roho mbaya sana. Hawapendi wageni, wao kwa wao hawapendani. Wamejaa matusi, visirani maneno mengi na ukorofi wa hali ya juu.
Watu wengi wakitoka mikoani na kwenda Dar hukutana na hii kitu. Hawakaribishwi vizuri, wananuniwa na ndugu zao wa huko Dar.
Nini hasa sababu ya haya mambo? Maisha magumu? Au mazingira sio rafiki?
Ulaya watu wanagawa vyakula bure daily. Ukarimu wa watu nchi zilizoendelea ndio ulinganishe na Dar?Sasa ukienda ulaya si ndo utatukana .maana kule ni mara 1000 ya dar..yaan hawatak ujinga wa ndugu kabisaaa...maisha ni budget..ukiona unanuniwa ujue kwenda kwako pale ni kero.
Bak kwenu mkoan ndugu
Ivi ugumu wa maisha upo dar tuSIO ROHO MBAYA MKUU TATIZO MAISHA YA DAR NI MAGUMU MNO NDO INASABABISHA HALI HIYO