Kwanini Wakenya wana chuki sana dhidi ya Tanzania?

Kwanini Wakenya wana chuki sana dhidi ya Tanzania?

Acheni uongo, wakenya hawana uhasama wowote na TZ, kilichopo ni utani wa kawaida tu kati ya raia wa Kenya na TZ ambao upo kwa mataifa mengi tu duniani.

The only minor exception ni kwamba utawala wa JPM umeongeza changamoto kadhaa kwenye mahusiano yetu na Kenya. Kwa mfano, Kulikuwa na haja gani kuchoma vifaranga hai kutoka Kenya tena katika hali ya uwazi na majigambo vile? Vilevile, badala ya kutumia diplomacy kutatua tofauti zetu na Kenya, sisi tuko busy na tit-for-tat foreign policy.

Acha niwape mfano mmoja wa nini maana ya diplomacy. Chukulia mfano UK ilivyojitoa umoja wa ulaya (EU). Usidhani kwamba Germany, France, na nchi zingine za Ulaya hawajui nini kilikuwa nyuma ya ule mpango dhalimu wa Uingereza kujitoa umoja wa Ulaya. Ikumbukwe kwamba, EU wana mkakati wa muda mrefu wa kupunguza mafungamano yake na Marekani kiuchumi, kisiasa, kiteknolojia na kiusalama. Several attempts za kudhoofisha nguvu hii ya EU zishafanyika lakini zote zimeshindwa kuidhoofisha EU, all to the detriment of US interest in Europe. Hata mafungamano ya kiuchumi kati EU na Russia yalikuwa yameshaanza kupanda kwa kasi, but akatengeneza mgogoro wa Ukraine( through color revolution) ili kuhakikisha EU na Russia hazishirikiani kiuchumi. Kwahiyo Uingereza, alitumika na USA kama chambo ili kujitoa kwake EU kutengeneze spiral effect ya kuidhoofisha EU. Wababe wa EU yaani Germany na France wanaujua mchezo wote, lakini angalia wanavyoijadili EXIT PACKAGE ya UK kwa diplomacy ya upole na ustaarabu bila kuleta taharuki yoyote. Na tayari UK kashapewa na uso na EU coz unafuu aliokuwa unautafuta katika kufanya biashara na EU amenyimwa.

TZ ina tatizo kubwa sana kwenye diplomasia ya kimataifa, hasa kipindi hiki. Hiki ndio kilema chetu watanzania kwa sasa, na hakuna uhasama wowote na Kenya zaidi ya political skirmishes.
Wakati Jakaya anamalizia malizia uongozi wake alipata fursa ya kuhutubia bunge la kenya na akasema.

"Mimi naondoka madarakani nikiacha nchi yetu Ikiwa na uhusiano mzuri sana na Kenya kuliko wakati wowote.. Mimi nawahakikishieni ndugu zangu Wakenya uhusiano wetu utaendelea kua mzuri labda atokee mtu mjinga mpumbavu na waajabu sana,, na watu wa Aina hio ni wachache sana kwetu Tanzania '' mwisho wa kunukuu.

Wachambuzi wa Mambo wanasema Mtu mjinga, mpumbavu na waajabu sana ni mmoja tu hapa Tanzania na wala sio wachache kama mzee kikwete alivyodai.
 
Yakhe nimekwambia ninyi mpo kwenye mavieitee hamuwezi kujua kinacho endelea mtaani
Makampuni na biashara kubwa zinafungwa kwa sababu ya kodi isioendana na faida au kipato cha biashara husika
Mazao yamekosa wanunuzi baada ya jiwe kuwawekea ukiritimba na urasimu wa kitoto wanunuzi kutoka Kenya
Maisha yamepanda zaidi ya mara Tatu ila wewe hata bei ya sukari hajui maana serikali inakununulia
Kwa kua mpo kwenye system lazima utushangae Sisi ambao tulikua tukifanyakazi ghafla waajiri wetu wakafilisiwa sasa tunahangaika kutafuta mkate angalau wa Leo wewe unatuona Sisi ni wajinga
Kwa kweli jiwe ni katili sana na anaroho mbaya hana huruma
Mkuu wacha kudagaya watu, Chakula chetu kina soko kubwa ndani na nje ya nchi, Ulisema gunia mahindi limeshuka bei hadi 36,000, tulikuambia utupe taarifa ili tuyapate lakini umeshindwa, namba za simu ulizonipa wanasema hakuna hiyo bei, usidanganye watu MKUU.

Kuhusu makampuni kuongezewa kodi, hilo pia ni uongo, sisi tuna kampuni letu hatujawahi kuongezewa kodi yoyote zaidi, tatizo ni kwamba makampuni mengi yalikua hayafanyi "Tax returns",matokeo yake makampuni mengi yanadaiwa pesa nyingi za miaka ya nyuma, ninahisi hata muajiri wako hilo lilimkuta.

Mkuu kipindi hiki cha Magufuli hakuna ubabaishaji, kama uliwahi kuishi Europe ndio utamuelewa JPM. Europe ukitaka kufilisika kwepa kodi

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Acheni uongo, wakenya hawana uhasama wowote na TZ, kilichopo ni utani wa kawaida tu kati ya raia wa Kenya na TZ ambao upo kwa mataifa mengi tu duniani.

The only minor exception ni kwamba utawala wa JPM umeongeza changamoto kadhaa kwenye mahusiano yetu na Kenya. Kwa mfano, Kulikuwa na haja gani kuchoma vifaranga hai kutoka Kenya tena katika hali ya uwazi na majigambo vile? Vilevile, badala ya kutumia diplomacy kutatua tofauti zetu na Kenya, sisi tuko busy na tit-for-tat foreign policy.

Acha niwape mfano mmoja wa nini maana ya diplomacy. Chukulia mfano UK ilivyojitoa umoja wa ulaya (EU). Usidhani kwamba Germany, France, na nchi zingine za Ulaya hawajui nini kilikuwa nyuma ya ule mpango dhalimu wa Uingereza kujitoa umoja wa Ulaya. Ikumbukwe kwamba, EU wana mkakati wa muda mrefu wa kupunguza mafungamano yake na Marekani kiuchumi, kisiasa, kiteknolojia na kiusalama. Several attempts za kudhoofisha nguvu hii ya EU zishafanyika lakini zote zimeshindwa kuidhoofisha EU, all to the detriment of US interest in Europe. Hata mafungamano ya kiuchumi kati EU na Russia yalikuwa yameshaanza kupanda kwa kasi, but akatengeneza mgogoro wa Ukraine( through color revolution) ili kuhakikisha EU na Russia hazishirikiani kiuchumi. Kwahiyo Uingereza, alitumika na USA kama chambo ili kujitoa kwake EU kutengeneze spiral effect ya kuidhoofisha EU. Wababe wa EU yaani Germany na France wanaujua mchezo wote, lakini angalia wanavyoijadili EXIT PACKAGE ya UK kwa diplomacy ya upole na ustaarabu bila kuleta taharuki yoyote. Na tayari UK kashapewa za uso na EU coz unafuu aliokuwa unautafuta katika kufanya biashara na EU amenyimwa.

TZ ina tatizo kubwa sana kwenye diplomasia ya kimataifa, hasa kipindi hiki. Hiki ndio kilema chetu watanzania kwa sasa, na hakuna uhasama wowote na Kenya zaidi ya political skirmishes.
Mkuu inaonyesha ni kiasi gani hufuatilii mambo hapa Tanzania, umekubali kutekwa na kelele za wakenya. Sheria yaTanzania hairuhusu kuingiza ndege hai wa aina yoyote bila vibali toka mamlaka husika za Tanzania ili kujikinga na maradhani, ukiingiza bila vibali, lazima wachomwe Moto.

Kipindi cha Kikwete, Tanzania tulichoma vifaranga 12K toka Malawi vilivyokamatwa pale JNIA, hukusika kelele yoyote toka Malawi, kumbuka kwamba hivyo vifaranga sio mali ya Kenya wala Malawi, ni mali ya watanzania, Kenya walishaviuza kwa mtanzania, sasa hao wakenya kinachowafanya walalamike ni nini kama sio chuki na wivu kwa Tanzania?

Juilize maswali yafuatayo
1)Je, Tanzania wanatosheria inayopiga marufuku uingizwaji wa ndege hai au haina?
2)Je, sheria inasemaje endapo mtu ataingiza ndege hai bila vibali husika?
3) Je, kabla ya hivyo vifaranga toka Kenya, Tanzania haijawahi kuchoma vifaranga toka nchi zingine? Ulishawahi kusikia hizo nchi zikilalamika?

Wachana na Wakenya, hao jamaa ni watu wa hovyo sana, wanagombana na majirani wote

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wakati Jakaya anamalizia malizia uongozi wake alipata fursa ya kuhutubia bunge la kenya na akasema.
"Mimi naondoka madarakani nikiacha nchi yetu Ikiwa na uhusiano mzuri sana na Kenya kuliko wakati wowote.. Mimi nawahakikishieni ndugu zangu Wakenya uhusiano wetu utaendelea kua mzuri labda atokee mtu mjinga mpumbavu na waajabu sana,, na watu wa Aina hio ni wachache sana kwetu Tanzania '' mwisho wa kunukuu

Wachambuzi wa Mambo wanasema Mtu mjinga, mpumbavu na waajabu sana ni mmoja tu hapa Tanzania na wala sio wachache kama mzee kikwete alivyodai
Hakuna kipindi ambacho uhusiano wa Tanzania na Kenya ulikua mbaya kama Kipindi cha Nyerere, kwahiyo Nyerere alikua mpumbavu? Kipindi cha Kikwete tulikwaruzana na Kenya kuliko kipindi cha Mwinyi na Mkapa, kwahiyo Kikwete alikua mpumbavu?

Kinachoonekana mkuu una chuki sana na Magufuli kwasababu kampuni lenu lilifilisika na umeachishwa kazi, katika mazingira hayo lazima uwe na chuki, lakini chuki zako sio Kwa maslahi ya Tanzania, ni maslahi yako binafsi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kipindi ambacho uhusiano wa Tanzania na Kenya ulikua mbaya kama Kipindi cha Nyerere, kwahiyo Nyerere alikua mpumbavu?, Kipindi cha Kikwete tulikwaruzana na Kenya kuliko kipindi cha Mwinyi na Mkapa, kwahiyo Kikwete alikua mpumbavu?.

Kinachoonekana mkuu una chuki sana na Magufuli kwasababu kampuni lenu lilifilisika na umeachishwa kazi, katika mazingira hayo lazima uwe na chuki, lakini chuki zako sio Kwa maslahi ya Tanzania, ni maslahi yako binafsi.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe unanihukumu kutokana na jazba zako

Kwanza mimi Sina kampuni kama unayo Dhani wala simchukii Magufuli kama Mr John mimi nachukia ukatili wake na roho yake mbaya alionayo ni mtu wakinyongo na wa kulipiza visasi anasifa zote za kifarao na za watawala wote waovu waliopita.

Muuaji.
Mtesi wa watu maskini
Mnyang'anyi wa Mali za wati
Kweli huyu mtu mwisho wake mbaya sana just wait we will see
Kuhusu nyerere sijawahi kusikia akiwa na shida yeyote na mzee kenyatta wala moi hizo ni propaganda zako tu!!
Mwinyi na mkapa walikua marafiki sana na Kenya na nchi zengine
Jakaya Ndio kabisaa mpaka Alipewa nafasi ya kuhutubia bunge la kenya mara kadhaa Ndio akasema Tanzania na Kenya tuna uhusiano mzuri labda akitokea mtu mjinga mpumbavu na wa ajabu sana na Tanzania watu sampuli hii ni wachache sana... Wachambuzi wa Mambo wanasema watu wa sampuli hio si wachache Bali ni mmoja tu hapa Tanzania
 
Mkuu wacha kudagaya watu, Chakula chetu kina soko kubwa ndani na nje ya nchi, Ulisema gunia mahindi limeshuka bei hadi 36,000, tulikuambia utupe taarifa ili tuyapate lakini umeshindwa, namba za simu ulizonipa wanasema hakuna hiyo bei, usidanganye watu MKUU.

Kuhusu makampuni kuongezewa kodi, hilo pia ni uongo, sisi tuna kampuni letu hatujawahi kuongezewa kodi yoyote zaidi, tatizo ni kwamba makampuni mengi yalikua hayafanyi "Tax returns",matokeo yake makampuni mengi yanadaiwa pesa nyingi za miaka ya nyuma, ninahisi hata muajiri wako hilo lilimkuta.

Mkuu kipindi hiki cha Magufuli hakuna ubabaishaji, kama uliwahi kuishi Europe ndio utamuelewa JPM. Europe ukitaka kufilisika kwepa kodi

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwa taarifa yako Tanzanian inazalisha chakula mara Tatu na kule kinachotumika hapa mahindi leo nimeambiwa kule Songwe Wakulima wanauza sh 6000 mpaka 7000 debe.

Ninyi mpo pamoja na jiwe hamuwezi kuelewa watu jinsi wanavyo taabika.

Haya kampuni kama Habari cooperation walikua wajanja wajanja?

Akina mayanga construction ambao wanapewa kandarasi za ujenzi nchi nzima bila Zab uni of course hawezi hisi joto ya jiwe
Mimi nipo namanga kwa sasa. Wafanya biashara wa arusha wamafunga maduka wanaenda Kenya inamaana wote ni wezi!?
 
Mkuu wewe unanihukumu kutokana na jazba zako
Kwanza mimi Sina kampuni kama unayo Dhani wala simchukii Magufuli kama Mr John mimi nachukia ukatili wake na roho yake mbaya alionayo ni mtu wakinyongo na wa kulipiza visasi anasifa zote za kifarao na za watawala wote waovu waliopita
Muuaji.
Mtesi wa watu maskini
Mnyang'anyi wa Mali za wati
Kweli huyu mtu mwisho wake mbaya sana just wait we will see
Kuhusu nyerere sijawahi kusikia akiwa na shida yeyote na mzee kenyatta wala moi hizo ni propaganda zako tu!!
Mwinyi na mkapa walikua marafiki sana na Kenya na nchi zengine
Jakaya Ndio kabisaa mpaka Alipewa nafasi ya kuhutubia bunge la kenya mara kadhaa Ndio akasema Tanzania na Kenya tuna uhusiano mzuri labda akitokea mtu mjinga mpumbavu na wa ajabu sana na Tanzania watu sampuli hii ni wachache sana... Wachambuzi wa Mambo wanasema watu wa sampuli hio si wachache Bali ni mmoja tu hapa Tanzania
Wewe ndiye mwenye chuki binafsi na Magufuli, umesema mwenyewe kwamba kampuni ulilokua umeajiriwa limekufa na kuachisha kazi waajiri wake, hilo ndio linalokufanya uchanganyikiwe na kuwa na chuki za ajabu kwa Magufuli.

Inaonekana hujui lolote kuhusu historia ya mahusiano ya Kenya na Tanzania, ndio sababu umejawa na porojo zisizokua na ukweli wowote,chuki kati ya Tanzania na Kenya zilianza kipindi cha Nyerere

Nyerere ndiye aliyesema Kenya ni "man eat man society", Nyerere ndiye aliyekua akiwahifadhi na kuwasaidia wapinzani wa Jommo Kenyatta na Mzee Moi walikuja Tanzania kujificha, Mfano ni Raila Odinga, alikuja Tanzania kutoroka kukamatwa na Moi, Nyerere ndiye aliyemsaidia kumpeleka Ujerumani kwa Passport ya Tanzania.

Nyerere ndiye aliyeanzisha neno "Nyang'au, akimaanisha wakenya ni watu wa hovyo kama wanyama, Nyerere alifunga mpaka wa Tanzania na Kenya, alipeleka majeshi ya Tanzania mpakani mwa Kenya, ilikua imebaki kidogo sana kwa Tanzania na Kenya kupigana Vita, kama Idd Amin asingevamia Tanzania, huenda Nyerere angeishambulia Kenya. Je Magufuli amefikia hata robo ya hivyo?, wacha chuki za kitoto mkuu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako Tanzanian inazalisha chakula mara Tatu na kule kinachotumika hapa mahindi leo nimeambiwa kule Songwe Wakulima wanauza sh 6000 mpaka 7000 debe
Ninyi mpo pamoja na jiwe hamuwezi kuelewa watu jinsi wanavyo taabika
Haya kampuni kama Habari cooperation walikua wajanja wajanja?
Akina mayanga construction ambao wanapewa kandarasi za ujenzi nchi nzima bila Zab uni of course hawezi hisi joto ya jiwe
Mimi nipo namanga kwa sasa... wa fanya biashara wa arusha wamafunga maduka wanaenda Kenya inamaana wote ni wezi!?
Mkuu nimekuambia hayo mahindi ya gunia shs. 36,000 mimi ninayahitaji, umenipa namba za jamaa zako wamesema hiyo bei haipo, kwamba mahindi yamepanda bei sana, wewe badala ya kuniunganisha umebaki kupiga soga kwamba unasikia huko bei ni 6000 kwa debe, sasa hiyo bei maana yake gunia la debe 7 itakua Tshs.42K hadi 49K, huko Kenya kwenyewe serikali inanunua mahindi toka kwa wakulima kwa Kshs.2500, kwahiyo hata kama mahindi yetu yakifika huko hayawezi kununuliwa kwa bei zaidi ya hiyo tunayonunua hapa Tanzania. Mkuu tafuta kazi ujiajiri wacha kutegemea kuajiriwa utakua ni mtu wa hasira na chuki zisizokua na maana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nimekuambia hayo mahindi ya gunia shs. 36,000 mimi ninayahitaji, umenipa namba za jamaa zako wamesema hiyo bei haipo, kwamba mahindi yamepanda bei sana, wewe badala ya kuniunganisha umebaki kupiga soga kwamba unasikia huko bei ni 6000 kwa debe, sasa hiyo bei maana yake gunia la debe 7 itakua Tshs.42K hadi 49K, huko Kenya kwenyewe serikali inanunua mahindi toka kwa wakulima kwa Kshs.2500, kwahiyo hata kama mahindi yetu yakifika huko hayawezi kununuliwa kwa bei zaidi ya hiyo tunayonunua hapa Tanzania. Mkuu tafuta kazi ujiajiri wacha kutegemea kuajiriwa utakua ni mtu wa hasira na chuki zisizokua na maana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe unadhani labda unanijua mimi sana lakini haunijui
Mimi sijawahi kuajiriwa hata siku moja
Mimi nakwambia mahindi kule Songwe mkulima anapewa 6000 mpaka 7000 kwa debe Leo hii na gunua zetu ni debe 6 sio debe 7
Kuhusu eti Kenya Wakulima wanauza Ksh 2500 mahindi huo ni uongo na wala Kenya mara hii hawajavuna kabisa mazao yao yaliathiriwa na nzige
Kwa sasa wanaagiza mahindi kutoka Mexico na Brasil
Angalia kwenye Google kenya imports corn(maize )
Mimi nipo Namanga border hapa upande wa Tanzania mahindi sokoni debe Tsh 11 000 mpaka Tsh 12 000
 
Wewe ndiye mwenye chuki binafsi na Magufuli, umesema mwenyewe kwamba kampuni ulilokua umeajiriwa limekufa na kuachisha kazi waajiri wake, hilo ndio linalokufanya uchanganyikiwe na kuwa na chuki za ajabu kwa Magufuli.

Inaonekana hujui lolote kuhusu historia ya mahusiano ya Kenya na Tanzania, ndio sababu umejawa na porojo zisizokua na ukweli wowote,chuki kati ya Tanzania na Kenya zilianza kipindi cha Nyerere

Nyerere ndiye aliyesema Kenya ni "man eat man society", Nyerere ndiye aliyekua akiwahifadhi na kuwasaidia wapinzani wa Jommo Kenyatta na Mzee Moi walikuja Tanzania kujificha, Mfano ni Raila Odinga, alikuja Tanzania kutoroka kukamatwa na Moi, Nyerere ndiye aliyemsaidia kumpeleka Ujerumani kwa Passport ya Tanzania.

Nyerere ndiye aliyeanzisha neno "Nyang'au, akimaanisha wakenya ni watu wa hovyo kama wanyama, Nyerere alifunga mpaka wa Tanzania na Kenya, alipeleka majeshi ya Tanzania mpakani mwa Kenya, ilikua imebaki kidogo sana kwa Tanzania na Kenya kupigana Vita, kama Idd Amin asingevamia Tanzania, huenda Nyerere angeishambulia Kenya. Je Magufuli amefikia hata robo ya hivyo?, wacha chuki za kitoto mkuu

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Your talking too much with zero point
Hayo maelezo yako yote kuhusu nyerere ni kiumsifia au kumdhalilisha mwalimu?
Kwa mujibu wa maelezo yako Mwalimu alikikua ni hasidi asieitakia mema kwa Kenya
Hizo ni hekaya za abunu wasi zisizo na mshiko yeyote
Mimi nakwambia kwa sasa na wewe unajua kua jiwe ni mtu wa ajibu sana anafikiri yeye Ndio mmiliki wa dunia anataka kutoa amri mpaka Nije ya mipaka
Huyu mtu ni balaa na janga la TAIFA
 
Manyang'au ndivyo yalivyo. Yanatapa tapa.

Na viiingereza vyao vya kuokoteza kama huyu baba lao... baba la manyang'au MK254
 
Mkuu wewe unadhani labda unanijua mimi sana lakini haunijui
Mimi sijawahi kuajiriwa hata siku moja
Mimi nakwambia mahindi kule Songwe mkulima anapewa 6000 mpaka 7000 kwa debe Leo hii na gunua zetu ni debe 6 sio debe 7
Kuhusu eti Kenya Wakulima wanauza Ksh 2500 mahindi huo ni uongo na wala Kenya mara hii hawajavuna kabisa mazao yao yaliathiriwa na nzige
Kwa sasa wanaagiza mahindi kutoka Mexico na Brasil
Angalia kwenye Google kenya imports corn(maize )
Mimi nipo Namanga border hapa upande wa Tanzania mahindi sokoni debe Tsh 11 000 mpaka Tsh 12 000
Wewe ni mtu wa ajabu sana, kila unalosema unadanganya, wewe ni mwongo sana, yoote unayosema hapa ni uongo mtupu. Kwanza hujui lolote kuhusu Kenya wala Tanzania, unaendeshwa na chuki na mihemko tupu
1)Kenya haijaaagiza mahindi toka Mexico kwa zaidi ya miaka miwili sasa
2)Serikali ya Kenya inanunua mahindi kwa Kshs.2500, ushahidi huu hapa


Onyesha ushahidi kwamba Kenya imeagiza mahindi toka Mexico.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Manyang'au ndivyo yalivyo. Yanatapa tapa.

Na viiingereza vyao vya kuokoteza kama huyu baba lao... baba la manyang'au MK254

Sijawahi kukuelewa sababu za wewe kulalamika kuhusu kingereza, huwa nakupuuza, ni kweli tunawashinda kwenye kuzungumza kingereza, kilishawapiga nyie chenga, uwezo huo hamuna na ndio maana hata mumeshindwa kuhusika kwenye mikutano ya kimataifa na kuongopea eti mnabana matumizi...watu wa zezeze...mpo wazembe sana nyie watu.
Kuanzia kwa kajamba kama wewe hapo Buza hadi kwa watawala mumeshindwa kuzungumza kingereza licha ya kufundishwa shuleni, uzembe uliokubuhu.
 
Your talking too much with zero point
Hayo maelezo yako yote kuhusu nyerere ni kiumsifia au kumdhalilisha mwalimu?
Kwa mujibu wa maelezo yako Mwalimu alikikua ni hasidi asieitakia mema kwa Kenya
Hizo ni hekaya za abunu wasi zisizo na mshiko yeyote
Mimi nakwambia kwa sasa na wewe unajua kua jiwe ni mtu wa ajibu sana anafikiri yeye Ndio mmiliki wa dunia anataka kutoa amri mpaka Nije ya mipaka
Huyu mtu ni balaa na janga la TAIFA
Pinga points zangu kuhusu Nyerere kukorofishana na Kenya hadi kufungiana mipaka na Kenya. Pinga kama hayo yote niliyosema ni uongo ili nikuwekee ushahidi hadharani.

Wewe tatizo hujui lolote zaidi ya chuki dhidi ya Magufuli. Kenya ni nchi korofi Sana. Kitendo cha Nyerere kukorofishana na Kenya, ni dalili ya wazi kwamba Kenya ni wakorofi, tatizo lako wewe unachukulia kila abayekorofishana na Kenya, basi yeye ndiye mkorofi, kwanini unauliza kwamba "Mimi ninataka kusema kwamba mwalimu alikua haitakii Kenya men's? ",kwanini hukutaka kujua kwanini Nyerere alikua hapatani na Kenya?.

Acha kuwatetea wakenya, watu ambao wenyewe kwa wenyewe hawpatani, na wanakwaruza na majirani zao wote.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo mkiambiwa ukweli huwa mnaona kama mnachukiwa, hivi mchukiwe kwa lipi au mna kipi haswa hicho cha kuchukiwa.
Hapo jamaa ametoa maoni ya kurekebisha ili iandikwe kama ilivyo.
Daraja letu Athi River lina urefu wa mita 2,785m
Daraja lenu la Mkapa lina urefu wa mita 970m

Kwa hivyo ametoa maoni iandikwe kwamba letu ndio refu Afrika ya Mashariki, ilipaswa badala ya kulialia umbishie kwa data zako ueleze namna gani urefu wa 970m umezidi wa 2,785m.
Kwanini asikumbushie daraja lililoko kenya kuwa nalo nirefu linastahili kuwepo katika list ile, haridhiki hadi ataje Daraja la Mkapa Tz, mbina hakusema kwanini mozambique ametaja Tz? Jichunguzeni wazee mnachuki za bure na mtaumwa na mioyo kwa hasira na hasada mlizonazo kwa Tz.
 
Sijawahi kukuelewa sababu za wewe kulalamika kuhusu kingereza, huwa nakupuuza, ni kweli tunawashinda kwenye kuzungumza kingereza, kilishawapiga nyie chenga, uwezo huo hamuna na ndio maana hata mumeshindwa kuhusika kwenye mikutano ya kimataifa na kuongopea eti mnabana matumizi...watu wa zezeze...mpo wazembe sana nyie watu.
Kuanzia kwa kajamba kama wewe hapo Buza hadi kwa watawala mumeshindwa kuzungumza kingereza licha ya kufundishwa shuleni, uzembe uliokubuhu.
Eti tunawazidi Kingereza, yaani umri huo bado unajivunia kujua Lugha?

Ajabu hii dhana ya kujua au kutojua Kingereza kati ya Watz na Wakenya hulalamikiwa na wakenya weusi kama oil chafu au lami,
Maelfu na maelfu ya wazungu na wageni hutembelea Tanzania kila siku na hakuna aliyewahi lalamikia kupata changamoto kwenye Lugha.
Ila bado nashangaa kama na uzee wote huo unajivunia kujua Lugha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Eti tunawazidi Kingereza, yaani umri huo bado unajivunia kujua Lugha?

Ajabu hii dhana ya kujua au kutojua Kingereza kati ya Watz na Wakenya hulalamikiwa na wakenya weusi kama oil chafu au lami,
Maelfu na maelfu ya wazungu na wageni hutembelea Tanzania kila siku na hakuna aliyewahi lalamikia kupata changamoto kwenye Lugha.
Ila bado nashangaa kama na uzee wote huo unajivunia kujua Lugha [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hiyo ndio risasi pekee waliyobaki nayo baada ya kuwagaragaza kile eneo. Sasa hivi Tanzania ni "Hot-spot ya Diaspora hasa Black Americans, wanaorudi Africa, kwanini wasiende Kenya kwa wingi?.

Miongoni mwa sababu ya kuchagua kurudi Tanzania ni kwamba hatuzungumzi lugha ya kiingereza, wanataka kupata "African vibes".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kwani daraja la mkapa Ndio Tatizo?
Mimi Nafikiri daraja la mkapa Magu amelikuta na uhusiano wetu na Wakenya umeharibiwa na jiwe
Kisa kwa nini lissu alienda kutibiwa Kenya
Hakuna kingine
Nairobi kuna flyovers 8 kwa zaidi ya miaka 10
Mombasa kisumu usiseme
Eti daraja kule kusini sasa linawahusu nini Wakenya hata Sisi watanzania tulio wengi tunaliona kwenye picha tu
Je tungekua na daraja kama la Misri tungesema Wakenya wanaturoga
Wakenya 99% hawajawahi wala hawapajui Mtwara
We mkenya mbona unamnanga JPM mno? Nyerere mwenyewe alifunga kabisa mpaka na Kenya na kuwaita ninyi ni manyangau na wala watu, JPM kafika hapo?

Simply tu hatujawahi kuwa na mahusiano mazuri na ninyi toka hizi nchi zimekuepo usimsingizie JPM chochote.
 
I wish you could change your profile pic if you don't mind sir
Kikwete wakati wa kuanga alihutubia bunge la kenya kwa kusema
' uhusiano wa Kenya na Tanzania umeimarika vizuri sana na hauta haribika tena labda aje mtu mjinga mpumbavu wa ajabu sana.. Na watu wa Aina hio ni wachache kwetu' '
Watafiti wa Mambo wanasema mtu mpumbavu mjinga na wa ajabu sana ni mmoja tu Tanzania wala sio wachache kama JK alivyo fikiri
Umerudi kwenye utopolo wako baada ya kushindwa kuonesha mahindi ya 36k? 😂😂😂😂

Umeshindwa kudefend kwanini Kikwete alipingana na cow, kuzuia magari ya watalii yasiingie Tanzania, kupiga ban KQ, wakenya kuweka pingamizi Tanzania isijenge barabara serengeti, isiuze shehena ya vipusa yote hiyo ni enzi ya Kikwete

Umebaki ukiharisha tu kwa mdomo!
 
Back
Top Bottom