kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Labda wakristu hawana uhakika kama kweli Yesu alikuwepo, wanabahatisha tu kuchora, na kama kweli alikuwepo kuchora ni kukufuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo nyingine kaanayo kwanza, ngoja nimuongezee sanamu ya Mwezi na Nyota juu ya minara ya msikiti.1. Bila kubusu lile jiwe pale Makka hakuna Uislam
2. Bila Kiarab hakuna Uislam
Nasubiri povu nikupe nyingine za mbavu
Yakhe asalaam salaam usisahau na bila zile shanga za vifundu vifundu hakuna Mudiology!!!bila sanamu hakuna ukirisito bila sanamu hakuna misaraba
Waabudu nyota na mwezi na anga la usiku wafuasi wa Mudi mwarabu 🤣🤣🤣Waabudu masanamu vitukuu vya Paulo.
Kwa nini usilete ya kwako ambayo amenyoa dongo au zikiwa nywele fupi?
Unafikiri hata huwa wanasoma na kuelewa mada!!?Naona watu wameamua kuikwepa mada nakujadili vitu vingine kabisa au kuattack imani nyingine! Ina maana hawana majibu?
😀😀
Kwa nini anachorwa na nywele ndefu na bible inasema ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu? Si kumuabisha Yesu huko?Alikuwa myahudi...na wayahudi wana mwonekano huo
Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
Usiendekeze ujinga. Anayochorwa wala siyo Yesu bali mzungu fulani mwigizaji. Wanachofanya lau ni kutaka watu waamini alikuwapo kuliko wale ambao wanaogopa hata kutoa picha ya bosi wao ambaye wengi wanadhani ni wa kutungaNafahamu ule ni mchoro, lakini isiwe chanzo cha kumkosea Yesu heshima. Biblia inasema wazi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu. Lakini ninyi mnamchora Yesu, na hata baadhi ya mitume wake wakiwa na nywele ndefu. jisomee hapa kwenye Wakorintho wa kwanza. 11:14.
14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
![]()
![]()
![]()
Zile wanaita lozari au? Ila hizi diniYakhe asalaam salaam usisahau na bila zile shanga za vifundu vifundu hakuna Mudiology!!!
Ila michoro ipo kabla muigizaji hajazaliwaUsiendekeze ujinga. Anayochorwa wala siyo Yesu bali mzungu fulani mwigizaji. Wanachofanya lau ni kutaka watu waamini alikuwapo kuliko wale ambao wanaogopa hata kutoa picha ya bosi wao ambaye wengi wanadhani ni wa kutunga
Zinakukera?Hivi,kwa nini haufuati mambo yako?Muda wote unaupoteza kuchungulia yasokuhusu utadhani unapiga punyeto!Zile wanaita lozari au? Ila hizi dini
Wakristo ni wachache kuliko unavyodhani.Nafahamu ule ni mchoro, lakini isiwe chanzo cha kumkosea Yesu heshima. Biblia inasema wazi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu. Lakini ninyi mnamchora Yesu, na hata baadhi ya mitume wake wakiwa na nywele ndefu. jisomee hapa kwenye Wakorintho wa kwanza. 11:14.
14 Je, maumbile ya asili hayatufundishi kuwa ni aibu kwa mwanaume kuwa na nywele ndefu?
![]()
![]()
![]()
wachoraji wa zamani hawakutuachia picha ya Yesu. Kuna sura fulani inayoaminika kuwa iliachwa kwenye sanda yake. Unaweza kuangalia THE SHROUD OF TURIN mtandaoni.Naona watu wameamua kuikwepa mada nakujadili vitu vingine kabisa au kuattack imani nyingine! Ina maana hawana majibu?
😀😀
Hujui maana ya kuabudu nenda darasani kajifunze kwanza ,hakuna anyejali kuhusu nyota na mwezi na wala vitu hivyo havipo katika dini bali watu wameamua kuweka tu kama identify na pambo .Waabudu nyota na mwezi na anga la usiku wafuasi wa Mudi mwarabu 🤣🤣🤣
Usipoteze muda wako kumjibu huyo hamnazo,huyo kakosa jibu la kumjibu mleta mada ndio maana ameamua kuzuga kwa kashfa za kipumbavu na za kitoto.Hujui maana ya kuabudu nenda darasani kajifunze kwanza ,hakuna anyejali kuhusu nyota na mwezi na wala vitu hivyo havipo katika dini bali watu wameamua kuweka tu kama identify na pambo .
Mtu akivaa saaa au kofia basi ndio anabudu hivyo ? Au akipaka ndani kwake rangi nyeupe nasi ndio anaabudu hiyo ?
Kajifunze maana ya kuabudu kabla ya kukomenti na kudhihirisha ujinga wako hapo..