Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Umeeleweka Sana mkuu
 
Sijui mleta mada aliwaza Nini ndo akaamua kuja na huu ushumbwanda.
Kwanza atuambie yeye Yuko dini gani na Yuko kundi gani Kati ya maskini na tajiri
 
Kingine wakristo hufanya kila njia (including kufoji nyeti) ili mradi apate kazi serikalini..
Sababu kuu ya kutaka kazi serikalini sio nyingine bali ni kutaka kuiba tu mfano Konda Boy..
 
Umenifanya nifikirie sana kuhusu Bakhresa kuingilia biashara za kuuza maandazi na juice biashara ambazo watu maskini ziliwapa kipato, leo hii huyu tajiri kawaharibia maskini, yaani hii ni roho mbaya kabisa
 
Kuna rafiki yangu yeye ni Mzanzibari sasa akapata nafasi ya kwenda bara, akashangaa sana maisha ya watu wa bara yeye alienda mkoa wa Mbea akaniambia watu wakule wanakula muda wowote na kwenye kula mfano nyama wanawekewa yana nyingi kwenye bakuli tofauti na kwao wao wanawekewa vipande viwili na mchuzi.
 
Wakristo watafanya kila njia kupata mali mfano kuchuna ngozi watu, kuua Albino, kukata watu vidole.. yote haya utayasikia maeneo ya wakristo, huwezi kusikia huu upuuzi maeneo ya waislamu sababu waislamu naturally wamebarikiwa Duniani na Akhera?..
 
Wakristo hawatumii MAJINI.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Waarabu ndo matajir awa wengine ni wafuasi wa mnyazi mungu lakini njaa kali
 
Mbona wewe ndio kama akili hazikutoshi halafu unawashangaa wakristo..

Mali hutaenda nazo popote, utaziacha hapa hapa duniani, ni kama mapambo tu.
Hata kama mali m mapambo basi hakikisha na ww znakupamba sio unaita mapambo akat ziko kwa wenzio
 
Waislamu ni wabahiri sana asee kuna kipind nlikua nafanya biashara moja hv yan akija mteja mwislam atalia bei mpaka umajisemea duh afu pia hata pale hospitali ya amana akifa mkiristo wale waosha maiti wanafurah mana wanajua leo kuna hela ila akifa mwislamu wanajua hapa hakuna hela mana waislamu wanaoshaga maiti zao wenyewe
 
Kipindi hcho waislam wanadanganywa shuleni wanapika nguruwe ndo wakatumia hlo gap ila baada ya miaka 10 hali itakuwa tofauti gwajima alishasema siku moja kuhusu hilo na akatoa na sababu.
 
Inategemea na mkoa, mkoa nilippo Wakristo ndo wanaongoza, ila wa Dsm weng wanaoongoza ni waislam na wahindi na Wayaudi wa kiuku
 
Different id, one person.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…