Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Narudia tena. Hatuwezi kudharau taaluma ya ualimu tutegemee muujiza.
The best brains waende ualimu. Lakini lazima wawe the best paid civil servants.
Walipwe zaidi ya madaktari, wahasibu, wahandisi nk. Mazingira yao ya kazi yawe the best! Ifike mahali kila mfanyakazi atamani kuwa mwalimu lakini wachukuliwe walio bora tu.
The best brains waende ualimu. Lakini lazima wawe the best paid civil servants.
Walipwe zaidi ya madaktari, wahasibu, wahandisi nk. Mazingira yao ya kazi yawe the best! Ifike mahali kila mfanyakazi atamani kuwa mwalimu lakini wachukuliwe walio bora tu.