Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui anazungumzia walimu wa Nchi ganiWewe sio Mwalimu, mbona tunawaona wenyewe wana-enjoy tu. Wanajenga, wanaonesha watoto wao. Tafuta pesa acha kuwewesuka
Utakuwa na element za ualimu wew ndi maana unauliza hivo, sasa nawew jibu swali hili, kwanin wakulima wengi wa tanzania ni maskini?Mimi ni mwalimu hali yangu ya uchumi sio nzuri sana kulinganisha na watu w kada nyingine, tatizo lipo wapi maana hata walimu wenzangu hali zao sio nzuri, tunakosea wapi walimu
Mimi huko nyuma nilikuwa sekta ya maliasili huko vijijini na mshahara Karibu Sawa na walimu... Jamaa zangu wakanifundisha kujiongeza kwenye shughuli mbadala but issue ikawa mtaji. Tukaamua kuchukua mkopo na mwalimu mmoja niliyemkuta hapo. Sote tukachukua mkopo wa milioni tano but kwenye matumuzi mimi nikaamua kukodi shamba na kulima mpunga na pesa ingine nikaongezea kununua gunia za mpunga maana wakati wa mavuno huwa ni elfu 30 gunia. Mwenzangu licha ya kuongea vizuri mwanzoni akaamua kununua bodaboda ili aweze kwenda shuleni na kurudi home kwake kwa urahisi. Kumbuka hapo Kijijini ilipo shule anayofundisha, ambapo ndipo nilipomkuta na kwenye Kilimo kizuri na nyumba bei poa za kupanga, yeye akawa hapataki anataka akapange kwenye Makao makuu ya kata ambapo ni 15 km one way. Mwisho wa siku alishindwa hata kuhudumia pikipiki mpaka ikafa na mkopo hajamaliza. Sisi wenzie tuliendelea na Kilimo na kununua mazao kitu ambacho kilitufanya tusiyumbe na ule mkopo. Ndani ya miaka mitatu tuu sisi tuliweza kununua pikipiki kwa pesa cash na bodaboda wangu akawa ndiye anampeleka yule mwalimu shuleni maana muda mwingi pikipiki yake ya mkopo ilikuwa mbovu.Hapo kwny kuchamgamka ndo penyewe
Tumewahi kuwa na Ma Rais wawili walimu, waziri mkuu mwalimu...walimu wachache sana wanatusua duniani... mwalimu daily anasoma tu sasa muda wa kusoma mtaa unataka nini utaupata sa ngapi
[emoji16][emoji16]Nyie ni mawakala wa ccm kwenye uchaguzi
You said it all [emoji457][emoji375]Mimi sio mwalimu ila nadhani zifuatazo zinaweza kua ni sababu kwa kiasi kikubwa;-
- Mishahara midogo. Kada ya ualimu ni miongoni mwa kada zenye mshahara midogo ukilinganisha na kada nyingine. Nakumbuka mwalimu mwenye shahada gross salary yake ni 730,000 sasa hii ikikatwa inabaki almost 400,000k. Gharama za maisha yani nyumba, nauli, usafiri, ada za watoto, umeme, chakula, n.k inakua ni shida.
- Kukosekana kwa posho. Katika maofisi mengi kumekuwepo na posho mbali mbali na watumishi wengi wananufaika sana na hizi posho. Mojawapo kubwa kabisa ni posho ya kazi za ziada. Yani ukifanya kazi kuzidi masaa yanayokubaliwa kiutumishi unakua subject to compensation. Ila sasa huko kwa walimu hakuna posho ya over time, hakuna house allowance, hakuna transport allowance etc. Kukosekana kwa hizi posho kunafanya walimu waishi mshahara to mshahara. Na kwakua mshahara ni mdogo, wanajikuta katika ukata
- Kukosekana kwa safari. Kwenye maofisi mengi kuna vijisafari safari vya hapa na pale vya training, workshops, seminars, technical commitees na kadhalika. Safari katika kada ya ualimu ni chache sana na unakuta wanachaguana mkuu wa shule au makamu wake au academic officers. Ndani ya miaka mitatu possibility ya mwalimu kusafiri na kulipwa per diem ni ndogo sana na safari yenyewe utakuta ni ya muda mfupi haizidi wiki.
- Kukosekana mianya ya kupiga dili. Walimu wateja wao ni wanafunzi. Hakuna dili yoyote hapo. Kwanza elimu ya siku hizi ni bure. Hakuna motisha wala hakuna mzazi atakupa laki mbili kama zawadi kwa kumfundisha mwanae vizuri. Kuna watu huko bandarini wana mijengo Mbweni kwa hizi dili ndogo ndogo za hapa na pale.
- Kutochangamka. Walimu wengi hua hawako sharp kwenye harakati nyingine za kimaisha ukiachana na kazi. Wengi wanakua busy kukimbizana na wanafunzi unakuta mtu yuko job had saa kumi na moja jioni anawapa wanafunzi wachelewaji adhabu wakati huo hana hata genge la kuuza nyanya pale home au wanafunzi watano wa kupiga pindi after work.
Nimechokoza mada
[emoji16][emoji16]Jamaa ni wajinga sana.
Mimi mlinzi wa taasisi moja hivi ya serikali. Posho ya headmaster ambayo ni laki 2 Mimi napewa hiyo kama nauli.
Bado posho zingine , badala ya kudai haki zao wao wanajiona sehemu ya serikali
Marais wawili ... waziri wakuu wawili ... out of how many walimu's ? Umeshawahi kusoma kitu inaitwa statistics?Tumewahi kuwa na Ma Rais wawili walimu, waziri mkuu mwalimu...
Kwamba na wao ni masikini?Umesahau madaktari na manesi
Nimependa majibu hayo yameahiba.Mimi sio mwalimu ila nadhani zifuatazo zinaweza kua ni sababu kwa kiasi kikubwa;-
- Mishahara midogo. Kada ya ualimu ni miongoni mwa kada zenye mshahara midogo ukilinganisha na kada nyingine. Nakumbuka mwalimu mwenye shahada gross salary yake ni 730,000 sasa hii ikikatwa inabaki almost 400,000k. Gharama za maisha yani nyumba, nauli, usafiri, ada za watoto, umeme, chakula, n.k inakua ni shida.
- Kukosekana kwa posho. Katika maofisi mengi kumekuwepo na posho mbali mbali na watumishi wengi wananufaika sana na hizi posho. Mojawapo kubwa kabisa ni posho ya kazi za ziada. Yani ukifanya kazi kuzidi masaa yanayokubaliwa kiutumishi unakua subject to compensation. Ila sasa huko kwa walimu hakuna posho ya over time, hakuna house allowance, hakuna transport allowance etc. Kukosekana kwa hizi posho kunafanya walimu waishi mshahara to mshahara. Na kwakua mshahara ni mdogo, wanajikuta katika ukata
- Kukosekana kwa safari. Kwenye maofisi mengi kuna vijisafari safari vya hapa na pale vya training, workshops, seminars, technical commitees na kadhalika. Safari katika kada ya ualimu ni chache sana na unakuta wanachaguana mkuu wa shule au makamu wake au academic officers. Ndani ya miaka mitatu possibility ya mwalimu kusafiri na kulipwa per diem ni ndogo sana na safari yenyewe utakuta ni ya muda mfupi haizidi wiki.
- Kukosekana mianya ya kupiga dili. Walimu wateja wao ni wanafunzi. Hakuna dili yoyote hapo. Kwanza elimu ya siku hizi ni bure. Hakuna motisha wala hakuna mzazi atakupa laki mbili kama zawadi kwa kumfundisha mwanae vizuri. Kuna watu huko bandarini wana mijengo Mbweni kwa hizi dili ndogo ndogo za hapa na pale.
- Kutochangamka. Walimu wengi hua hawako sharp kwenye harakati nyingine za kimaisha ukiachana na kazi. Wengi wanakua busy kukimbizana na wanafunzi unakuta mtu yuko job had saa kumi na moja jioni anawapa wanafunzi wachelewaji adhabu wakati huo hana hata genge la kuuza nyanya pale home au wanafunzi watano wa kupiga pindi after work.
Nimechokoza mada
Sasa wanachochote cha kuiba hospitali, sehemu yoyote usioweza kuiba utabakia kuiba wagonjwaKwamba na wao ni masikini?