Kwanini Walimu wengi ni maskini hapa Tanzania?

Narudia tena. Hatuwezi kudharau taaluma ya ualimu tutegemee muujiza.

The best brains waende ualimu. Lakini lazima wawe the best paid civil servants.

Walipwe zaidi ya madaktari, wahasibu, wahandisi nk. Mazingira yao ya kazi yawe the best! Ifike mahali kila mfanyakazi atamani kuwa mwalimu lakini wachukuliwe walio bora tu.
 
Hapo Kwa no 4. ni sahihi kabisaa...Kwani walimu most of the time wanatumia Muda wa ziada kama huo kuangalia discipline za wanafunzi
 
Mimi ni mwalimu hali yangu ya uchumi sio nzuri sana kulinganisha na watu w kada nyingine, tatizo lipo wapi maana hata walimu wenzangu hali zao sio nzuri, tunakosea wapi walimu
Tatizo siyo uwalimu. Tatizo ni mind set
Chukulia mwalimu yupo masasi vijini akiamua kujihusisha na biashara na kilimo cha korosho ndani ya miaka 20 atakuwa masikini?
Mwalimu aliyepo mufind akiamua kupanda miti ndani ya miaka 30 ya utumishi atakuwa masikini?
Issue ni kwamba watumisi wengi wa umma wanategemea wizi kama chanzo mbadala cha mapato! Which is wrong
Unajilinganisha na wezi na wala rushwa utahangaika sana. Hata TRA kuna masikini
 
Unazu
Una comment ukiwa shule gani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…