Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Hebu weka kapicha tuone walinzi wakikodoaMungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Hivi hii ya kufunga macho wakati wa kuomba imetokea wapi?Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Bila shaka hata wewe. Mlikuwa mnatazamana badala ya kusali nyinyi ni hatari sana.Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Sawa mkuu asante kwa kuthibitisha
Hao walinzi wao wanafanya ibada mda ganiHao ni walinzi wa rais na hapo wanakua wapo kazini na sio kufanya ibada kwa wakati huo.
Kumbuka yeye Kaka kazini hajaja ibadani .akiwa off au Maisha binafsi atafumba macho na kupiga MAGOTI ipasavyoMungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi WA viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Piga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Fita ni fita muraPiga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Sasa umesha andika WALINZI, unataka tukusaidie nini tena? au unafikiri unaweza kulinda huku umefunga macho?Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Ndo kwanza baraka anaongezewaPiga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Huyo mwenye shati ya njano picha ya juu nae ni mlinzi? 😃 😃