dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,847
- 3,149
Kwa sababu hawaombi, kazi yao ni kulinda tuMungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Ilianza na Jesus.Hivi hii ya kufunga macho wakati wa kuomba imetokea wapi?
Maana ukisoma bible huoni mahali imetajwa.
Si ajabu nusu ya waumini ni walinziHuyo mwenye shati ya njano picha ya juu nae ni mlinzi? 😃 😃
Nao walinziWalinzi umewaona lakini wapiga picha hujawaona[emoji23]
Kanisa lipo KWA ajili ya kuwabadilisha wenye dhambiPiga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Inategemea na mazingira.Kwani ibada kukubaliwa ni lazima ufunge macho
Sorry mkuu binafsi ni muumini wa mizimu, hizi dini zime kuwa imported hapa its a NOKanisa lipo KWA ajili ya kuwabadilisha wenye dhambi
inaweza kuwa mda huo wapo kazini hawapo kwenye ibada, ila ikifika siku na mda wao wa ibada watafunga tu.Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
Relax mkuu wewe nakuona una ukatili wa kiuaji, iam worries about watoto wakoSijui kwanini hawakuwaza kukuua na wewe kama ni rahisi hivyo
Zimepokelewa baada ya mizimu kufeliSorry mkuu binafsi ni muumini wa mizimu, hizi dini zime kuwa imported hapa its a NO
wengine sabato, wengine waislam, wengine hawana dini, wengine watasali siku ambayo haijaingiliana na kazi.Hao walinzi wao wanafanya ibada mda gani
Usihukumu usije kuhukumiwaPiga magoti kama kweli wanamwomba Mwenyezi Mungu kumbe vichwani mwao ni ushetani mtupu, uuaji, visasi, na ukatili mtupu, st.Peters RC church inabidi liombewe ili lisafishike,najsi iliingia pale, President wa awamu ya kwanza yes alikuwa msafi ila magu it's a NO
Mmmmmm ila tunaweza kuwakumu gays &lesbians, double standardUsihukumu usije kuhukumiwa
Hili ni funzo la shetani,halina maana hiyo wanavyofundisha waabudu shetani makanisaniUsihukumu usije kuhukumiwa
Kwani kufunga macho ni lazima?Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?