Umeshasema mlinzi wa kiongozi, yeye hapo yupo kazini na sio ibadani.Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?
asilimia kubwa ya wanaopagawa na mapepo ni wanawake, na hii ni kutokana na hisia zao zipo karibu hivyo ni rahisi wao kulipuka. na hii haimaanishi wanaume hawana pepo.sijawah kushuhudia pia wapiga vinanda na wakusanya sadaka wakianguka kwa mapepo.
Wewe ndio unaona wenzio wanaweza kuua hovyo, kwako kuua ni kitu rahis sanaRelax mkuu wewe nakuona una ukatili wa kiuaji, iam worries about watoto wako
Wanajua wenyewe ila wakiwa na President wanakua wapo kazini.Hao walinzi wao wanafanya ibada mda gani
Hizo dini ni propaganda hazina uhalisia.Mungu ni zaidi ya kila kitu, lakini walinzi wa viongozi wanapokuwa ibadani wakati wa sala hasa wakristo utagundua awafungi macho. Means pamoja na ibada au sala wao bado wanaamini nguvu na akili zao NI zaidi ya ibada au nikutokana na tafsiri kwamba kwenye ibada kufunga macho NI hiari?
Picha nyingi za walinzi WA JPM zinaonyesha muda wote ibadani wanakuwa macho...wakifunga macho wakasali NI kosa?