Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Kwani huyo mwendazake wenu.yeye ninani?Tundu Lisu ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyo mwendazake wenu.yeye ninani?Tundu Lisu ni nani?
Aliyepigwa risasi zaidi ya 30 kwa agizo la marehemuTundu Lisu ni nani?
Gwajima aende tu.Nileteeni gwajimaa
Nileteeni gwajimaaa
Nileteeni gwajimaa
Ilisikika sauti hko kuzimu lbilisi akiongea na malaika zake.
Mtu anazimia uku kashika mfuko wa samaki mmeigiza sana.Tutashitakiwa MIGAView attachment 1733990
Mwanadamu anayeishi lakini Magufuli sasa hivi ni marehemu.Tundu Lisu ni nani?
Ogopa Mungu Ubaya una mwisho wake hivyo kukataza watu kutoa hisia ni kinyume na matakwa ya haki za binadamu.Ni upuuzi kutaka kulazimishana furaha, huzuni au kupendwa! Kila mtu aishi maisha yake! Kuwa na huzuni au furaha hutegemeana na aina ya maisha mliyo ishi na marehemu kabla ya kifo chake.
Na jambo hili halipo Tanzania tu! Lipo duniani kote! Leo hii itokee Muizrael akafa, ni kawaida sana kwa Mpalestina kufurahia/kufanya hata sherehe! Sababu ni nini? Ni uonevu tu wa hao Waizrael dhidi ya Wapalestina ndiyo chanzo cha hizo chuki.
Tuishi kwa kupenda kutenda haki! Uonevu, dhuluma, ubinafsi, ubaguzi, ukabila, umungu mtu, ujivuni, ukaidi, nk. Ndiyo chanzo cha baadhi ya watu kufurahia vifo vya wenye mamlaka.
RIP Wapambe.lkwasababu tundu lissu ni puppet na muasi wa taifa lake kwa mabeberu…Jeshini na sehem yoyote duniani waasi dawa yao ni bunduki tu hamna jnsi
Wahi mazishi ya mtukufu wako wewe UVCCM! Lissu yupo anadunda tu huko ughaibuni. Mwaka wa jana alikuja kuwanyoosha, mkaishia tu kumgwaya.lkwasababu tundu lissu ni puppet na muasi wa taifa lake kwa mabeberu…Jeshini na sehem yoyote duniani waasi dawa yao ni bunduki tu hamna jnsi
Wewe ni zero brain sana,wapiga deal awamu ya JPM ndio walizidi sana. JPM alichofanya ni kuwaondoa wapiga dili wa Kikwete na kuweka wapiga deal wake, Makonda amekuwa bilionea kipindi cha Magufuli.Wewe unataka uturudishe nyakati za Wapiga dili. Kwanza hata Ushabiki wako umeonekana ni wa Upande gani?
Muulize kiongozi wa malaika...Tundu Lisu ni nani?