Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepitia kipindi kigumu sana cha kuoongozwa na mwendawazimu. Ndiyo maana hata mission yake ili bumba big-time.
Still kwa kukataza watu wasimuone Lissu Nairobi Hospital, na kumnyima mshahara na kumnyang'anya ubunge na marupurupu inaacha ushahidi wa Mazingira kuwa Magufuli ndiye mhusika Mkuu wa operation ya kumuua Lissu.
All in All Mungu ameonyesha uwapo kwa Watanzania. Aliyetaka kumuua Lissu amekufa yeye na maiti yake inatembezwa kama biashara ya machinga mitaani
Umekosea kidogo Mkuu!!Nileteeni gwajimaa
Nileteeni gwajimaaa
Nileteeni gwajimaa
Ilisikika sauti hko kuzimu lbilisi akiongea na malaika zake.
Kulia alie tetere akilia Bundi uchuro! Who is Rais? Malaika? Hajazaliwa na Mwanamke kama binadamu wengine? Au ndio makada wote mnaamini jamaa alikuwa ni "Muheshimiwa mungu"?Kwenda zako kwani lissu alikua rais? Upumbavu wake wa kujibizana na kukejeli mamlaka ya rais hadi akawaaminisha maamuma wafuasi wake yeye ni sawa na rais 😂😂
Sasa kama aliyulizwa kelele za lini? Si alitulizwa? Sasa aliyetulizwa huwa anaongea? Si mmemtuliza? Basi twambieni kwamba mlishindwa kumtuliza ndio maana anawasumbua mpaka leo. Maana kama alitulizwa tulitegemea atulie na tusingesikia tena kwamba anawasumbua na mnajibizana naye kila kukicha.Lissu alikuwa anapinga maendeleo.
Alikuwa anawarudisha nyuma wenzie.
Wakaamua kumtuliza
Pole sana..mtakufa nyie sasalkwasababu tundu lissu ni puppet na muasi wa taifa lake kwa mabeberu…Jeshini na sehem yoyote duniani waasi dawa yao ni bunduki tu hamna jnsi
Acha uongo hicho kitabu wala hakikuwa kinahusu Africa. Kilihusu jamii ya Waingereza na mambo yao hasa ya siasa. Wacha kusema uongo"all animals are equal, but some are more equal"
Kipi alichopinga,na anawarudishaje nyuma hali amiliki maamuziLissu alikuwa anapinga maendeleo.
Alikuwa anawarudisha nyuma wenzie.
Wakaamua kumtuliza
Sasa kama aliyulizwa kelele za lini? Si alitulizwa? Sasa aliyetulizwa huwa anaongea? Si mmemtuliza? Basi twambieni kwamba mlishindwa kumtuliza ndio maana anawasumbua mpaka leo. Maana kama alitulizwa tulitegemea atulie na tusingesikia tena kwamba anawasumbua na mnajibizana naye kila kukicha.
Kipi alichopinga,na anawarudishaje nyuma hali amiliki maamuzi