Kwanini wana Yanga SC wengi baada ya Msudani kuwafanya kitu mbaya wameangukia katika kauli hii ili kujifariji?

Kwanini wana Yanga SC wengi baada ya Msudani kuwafanya kitu mbaya wameangukia katika kauli hii ili kujifariji?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Sawa tumetolewa rasmi Klabu Bingwa, ila Jumapili ijayo tarehe 23 Oktoba 2022 Simba SC watatukoma kwa Mkapa" mashabiki wa Yanga SC.

Nami GENTAMYCINE nawauliza wana Yanga SC je, mkiikamia hivi Simba SC na kuifunga hiyo tarehe 23 Oktoba, 2022 ndiyo mnatinga hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa (CAFCL )au?

Mkiambiwa kuwa mna shida kubwa vichwani mwenu na kwamba bado mnalazimika Kujifunza mengi ( hasa ya Kimataifa) kwa Simba SC, mnaona mnatukanwa na kudhalilishwa.
 
Kama umeshindwa kula Nyama, bas jitahidi upate dagaa protein ni Ile Ile, Kwasasa bado tunajenga timu ya ushindani iyo haitondolei mpango kazi wa kudumisha vipigo Kwa Simba apa Nyumbani.
Simba ni dagaa ambao tukishindwa kula Nyama tuna jitafunia yeye.
 
Kinyoooonge!!!!
JamiiForums-778001784.jpg
 
"Sawa tumetolewa rasmi Klabu Bingwa, ila Jumapili ijayo tarehe 23 Oktoba 2022 Simba SC watatukoma kwa Mkapa" Mashabiki wa Yanga SC.

Nami GENTAMYCINE nawauliza wana Yanga SC je, mkiikamia hivi Simba SC na Kuifunga hiyo tarehe 23 Oktoba 2022 ndiyo mnatinga hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa ( CAFCL ) au?

Mkiambiwa kuwa mna shida kubwa Vichwani mwenu na kwamba bado mnalazimika Kujifunza mengi ( hasa ya Kimataifa ) kwa Simba SC mnaona Mnatukanwa na Kudhalilishwa.
why unahangaika na yanga?wewe ungejali timu yako bro
 
Namimi naisubiri hiyo tarehe 23, utopolo hana pa kukimbilia this time.
 
"Sawa tumetolewa rasmi Klabu Bingwa, ila Jumapili ijayo tarehe 23 Oktoba 2022 Simba SC watatukoma kwa Mkapa" Mashabiki wa Yanga SC.

Nami GENTAMYCINE nawauliza wana Yanga SC je, mkiikamia hivi Simba SC na Kuifunga hiyo tarehe 23 Oktoba 2022 ndiyo mnatinga hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa ( CAFCL ) au?

Mkiambiwa kuwa mna shida kubwa Vichwani mwenu na kwamba bado mnalazimika Kujifunza mengi ( hasa ya Kimataifa ) kwa Simba SC mnaona Mnatukanwa na Kudhalilishwa.
Mkuu mbona unawasimanga utopolo wenzio😂
 
Back
Top Bottom