Kwanini Wanachadema wanalamikia teuzi za Wakuu wa Wilaya?

Hapana Ritz hakuwepo jukwaani kwa sababu, awamu ya 5 ilimbana! Msoga hoyeee!!
 
Rais kapanga mkeka wake wakizingua watazinguana 'Her excellence can not please every Jim and Jack '
 
Tatizo Pro Chadema wanaamini katika ulipizaji VISASI.
Sasa kilichotokea leo kimewachanganya Sana BAVICHAA.

Wakati wakifurahia UTESI dhidi ya SABAYA!

Mama yao Ameuma na Kupuliza!
 
Faizerfox ndo Mazaa mwenyewe?!
 
Tatizo Pro Chadema wanaamini katika ulipizaji VISASI.
Sasa kilichotokea leo kimewachanganya Sana BAVICHAA.

Wakati wakifurahia UTESI dhidi ya SABAYA!

Mama yao Ameuma na Kupuliza!
Kinacho fanyika dhidi ya Sabaya siyo UTESI mkuu, ni procedure za kisheria, za nchi na nature kwa ujumla!
 
Mkuu kwa nini Mmeumia sana kwenye huu uteuzi?
 
Chadema wajinga sana!

Kwani walifikiri wameshampatia mama na watamuendesha watakavyo?
 
Dogo siku hizi una msongo wa mawazo sana badala ya kujenga hoja.Kua dogo
Umewakimbia mabasha huko bar baada ya kuwanywea, saa hii wanataka ukawape hilo tope hutaki, halafu unakuja kutusaka mabasha wastaafu huku jukwaani. Utapata unachokitaka.
 
Mkuu kwa nini Mmeumia sana kwenye huu uteuzi?

Sina popote nilipoumia na wala siwezi kuumia kwa cheo cha uDC. Tunajadili huu uteuzi leo maana ndio habari kubwa, kesho na kuendelea tutakuwa na mijadala mingine.
 
Dogo siku hizi una msongo wa mawazo sana badala ya kujenga hoja.Kua dogo

Niko hapa jukwaani 10yrs now, tafuta popote nilipowahi kuwa na msongo wa mawazo. Huu ndio uchangiaji wangu since day one. Yaani kwa maneno marahisi nina muendelezo wa kile ninachokiamini.
 
Wanaolalamika ni WAFIA CHAMA CCM
 
Kumbe na wewe uko hivyo, I had a wrong conception of you
 
Umewakimbia mabasha huko bar baada ya kuwanywea, saa hii wanataka ukawape hilo tope hutaki, halafu unakuja kutusaka mabasha wastaafu huku jukwaani. Utapata unachokitaka.
we kahaba tulia,usilete hasira zako hapa za kukosa madanga.

na bado mbwa nyinyi,mbona mtajifunza kwa njia ngumu sana,mliowaita wasaliti haoo wanakula maisha,nyinyi endeleeni kusajiri wapiga kula online,mje mfungue chama kingine mtandaoni.
 
we kahaba tulia,usilete hasira zako hapa za kukosa madanga.

na bado mbwa nyinyi,mbona mtajifunza kwa njia ngumu sana,mliowaita wasaliti haoo wanakula maisha,nyinyi endeleeni kusajiri wapiga kula online,mje mfungue chama kingine mtandaoni.

Nimecheka kwa nguvu ulivyopanic.
 
 
Shida inaanzia hapa,pale mnapowatetea watawala na chama Hadi mnawakera hata watawala wenye na chama chenu,hivyo inafika mahalo wanawaona hamfai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…