Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM haina wanachama zaidi ya chawa ajili ya masilahi binafsi, ni chama cha majangili tupu na majizi ya mali za umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ni kwa wajanjaAisew umeongea point moja kubwa sana.
Kwamba kwa kuwa Youtube hawaweza kulipa watu mashati na kofia basi huko lazima kupwaye.
Lakini Insta, youtube zingine wanaendaBando ndo tatizo hawana MB
Lakini Insta, youtube zingine wanaenda
CCM imejaa wajinga ambao hata smartphone hawanaBando ndo tatizo hawana MB
Mtoa mada pitia hii commentCCM imejaa wajinga ambao hata smartphone hawana
Wanaishi kwa ushirikina tupu na rushwaMtoa mada pitia hii comment
Ccm hawana Smartphone .
HahahaMtoa mada pitia hii comment
Ccm hawana Smartphone .
Hao sio CCMLakini hao hao wanashinda Facebook, Insta na Channel zingine za Youtube
Mkuu hiki ni chama kubwa sana. Usichukulie poa
Naona ndio sababu kwamba Channel haina content kabisaShida kimejaza machawa kibao, wapo kwa ajili ya maslahi yao binafsi, sio maslahi ya chama. Nani aangalie youtube channel ya porojo?
Lakini wanapoteza musa kwenye whatsapp, insta na Milard Ayo Youtube?Nguvu ya CCM ipo kwenye mashina na kule walio wengi wanamiliki vitochi Hawa wa smart phone ni wachache katika chama na wapo kimkakati zaidi habari ya YouTube kwao kupoteza muda.
HahaaaTunaangalia zaidi mitandao ya adui yetu Chadema.Kwa nini tujiangalie wenyewe.