Kwanini wanafunzi kutoka bara wanalazimika kulipia mafunzo kwa vitendo Zanzibar?

Kwanini wanafunzi kutoka bara wanalazimika kulipia mafunzo kwa vitendo Zanzibar?

Hypersonic

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
829
Reaction score
1,564
Mimi kama mdau nahoji kwa nini vijana kutoka Tanzania bara wanapokuja kufanya mafunzo kwa njia ya vitendo ZANZIBAR wanalazimika kulipia kiasi kisichopungua shilingi laki moja na nusu kama gharama ya mafunzo kwa njia ya vitendo? Je ikitokea wakutoka zanzibar nao wameenda bara kufanya mafunzo je na wenyewe pia wanatozwa? Ufafanuzi
 
Mimi kama mdau nahoji kwa nini vijana kutoka Tanzania bara wanapokuja kufanya mafunzo kwa njia ya vitendo ZANZIBAR wanalazimika kulipia kiasi kisichopungua shilingi laki moja na nusu kama gharama ya mafunzo kwa njia ya vitendo? Je ikitokea wakutoka zanzibar nao wameenda bara kufanya mafunzo je na wenyewe pia wanatozwa? Ufafanuzi
Mafunzo ya nn?
 
Mimi kama mdau nahoji kwa nini vijana kutoka Tanzania bara wanapokuja kufanya mafunzo kwa njia ya vitendo ZANZIBAR wanalazimika kulipia kiasi kisichopungua shilingi laki moja na nusu kama gharama ya mafunzo kwa njia ya vitendo? Je ikitokea wakutoka zanzibar nao wameenda bara kufanya mafunzo je na wenyewe pia wanatozwa? Ufafanuzi
Kweli kabisa Tena na vibali lukuki approximately wanalipa kama laki2-3 hivi ni aibu kubwa, wazanzbari wote ni machoko tu masalia ya watumwa
 
W
soma nilichokiandika hakuna sehemu nimeongea kuhusu kitambulisho. Kabla huja comment elewa content.
Mafunzo ya vitendo kwenye nyanja gani? Wewe hiyo 150 unalipa wizarani au unalipa kwa nan? Na yeye anahusika vipi na mafunzo yako ya vitendo?
 
Wengi watakuwa vi course vidogo vidogo vya mambo ya hotel u waiter ,nk
Mana hiyo kozi sio lazima ikiwezekana wasome tu hotel management huko dar laki 6 sita wasije hku. Hizo ni maalum kwq short cut tu yani watu wengi wasio na back ground ya kupita kwenye industry ya utalii na hospitality wanapiga hizo. Na hizo hela anakula dalali ni kama takrima tu
 
Mimi kama mdau nahoji kwa nini vijana kutoka Tanzania bara wanapokuja kufanya mafunzo kwa njia ya vitendo ZANZIBAR wanalazimika kulipia kiasi kisichopungua shilingi laki moja na nusu kama gharama ya mafunzo kwa njia ya vitendo? Je ikitokea wakutoka zanzibar nao wameenda bara kufanya mafunzo je na wenyewe pia wanatozwa? Ufafanuzi
Sijaelewa Kwa mfano mwanafunzi ameenda kufanya field ofisi ya halimashauri ya Dole anatakiwa alipiee si ndio?

Hiyo pesa anapewa account namba ya serikali ya ZNZ au anampa nani?
 
Sijaelewa Kwa mfano mwanafunzi ameenda kufanya field ofisi ya halimashauri ya Dole anatakiwa alipiee si ndio?

Hiyo pesa anapewa account namba ya serikali ya ZNZ au anampa nani?
Hawa wanataka kupiga kozi za vitendo za hotel sasa hawataki kutoa takrima kwa dalali. Wanajua hiyo hela inalipwa kwa SMZ
 
Back
Top Bottom