Kwanini wanafunzi wa International schools wao huwa hawatolewi Darasani kwenda kushangilia watawala

Kwanini wanafunzi wa International schools wao huwa hawatolewi Darasani kwenda kushangilia watawala

Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.

Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.

Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.

Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.

Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.

Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.

Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.


Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.

Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.

Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.

Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Hata wa private school huwa hawatoki, nadhani hao wa sirikali tu ndio mali ya sirikali
 
Wazazi wa wanafunzi wa international school wanamaamuzi ya nchi.kwa hiyo hawawezi kukubali watoto wao kuvurugwavurugwa na CCM.Wazazi wao ndiyo hao watoto wa mawaziri Mfano mwigulu nchemba au mtoto wa GSM aende kushangilia mkutano wa CCM?Hizi shule za kayumba zimeandaliwa Kwa ajili ya tabaka la kutawaliwa ndiyo maana wanapelekeshwa kupokea rais ili kujaza watu aonekane anapendwa na kuendelea kuwajaza maujinga ili wawe na ufikiri mdogo. Kipindi tunasoma enzi zetu tuliimbishwa nyimbo za kijinga za kuaminishwa idd amini alikuwa anakula nyama za watu kumbe uongo mtupu.
Mtoto wa Mwigulu Nchemba anasema Hizo shule za kimataifa na mikutano ya siasa ya CCM huhudhuria na yeye huyo.mtoto NI kiongozi wa kitaifa wa Chipikizi CCM kitaifa

Naona huna taarifa Wengi wanashiriki na wengi NI viongozi Chipikizi na umoja WA vijana WA CCM
 
Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.

Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.

Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.

Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.

Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.

Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.

Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.


Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.

Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.

Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.

Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
TUNAWASOMESHA BURE SO LAZIMA WAJE KUWASHANGILIA SERIKALI
 
Dar es salaam international schools wako mbele Sana kushiriki shughuli za kitaifa

Mfano michezo ya halaiki ya kiwango cha kimataifa wao ndio hufanya uwanja WA taifa
Ni njia mmojawapo pia ya katangaza shule zao na ndio maana Dar watu wengi wakiwemo viongozi ,wafanyabiashara NK waswahili huzifahamu na kupeleka watoto Kwa wingi sababu hufurahia ubara wanaouona Kwa macho

Hao wanaojifungia ndani sina comment NI hiari yao biashara

kutangaza au kutotangaza NI maamuzi ya mwenye nayo
Umeelewa kweli hoja ya mleta uzi!!???
Jitahidi uwe unarudia kusoma na kutafakari kabla ya kutoa mchango wako.
 
Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.

Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.

Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.

Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.

Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.

Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.

Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.


Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.

Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.

Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.

Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Ukisima shule za serikali ujue wewe ni sehemu ya serikali na Chama. Ujue wewe ni mteule kama walivyo wakuu wa wilaya, madas na wengineo hivyo unapaswa kushiriki shughuli za serikali kila utakapotakiwa.
 
Dar es salaam international schools wako mbele Sana kushiriki shughuli za kitaifa

Mfano michezo ya halaiki ya kiwango cha kimataifa wao ndio hufanya uwanja WA taifa
Ni njia mmojawapo pia ya katangaza shule zao na ndio maana Dar watu wengi wakiwemo viongozi ,wafanyabiashara NK waswahili huzifahamu na kupeleka watoto Kwa wingi sababu hufurahia ubara wanaouona Kwa macho

Hao wanaojifungia ndani sina comment NI hiari yao biashara

kutangaza au kutotangaza NI maamuzi ya mwenye nayo
Umeenda nje ya beat.
 
Mtoto wa Mwigulu Nchemba anasema Hizo shule za kimataifa na mikutano ya siasa ya CCM huhudhuria na yeye huyo.mtoto NI kiongozi wa kitaifa wa Chipikizi CCM kitaifa

Naona huna taarifa Wengi wanashiriki na wengi NI viongozi Chipikizi na umoja WA vijana WA CCM
Hivi mtoto wa Jerry Silaa na yule mwenyekiti wa chipukizi wanasoma International pia?
 
Ukisima shule za serikali ujue wewe ni sehemu ya serikali na Chama. Ujue wewe ni mteule kama walivyo wakuu wa wilaya, madas na wengineo hivyo unapaswa kushiriki shughuli za serikali kila utakapotakiwa.
Raisi ndie mwajiri na mkuu WA ajira wa wafanyakazi wote WA serikali ndio kiongozi wa huo Muhimili uko sahihi
 
Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.

Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.

Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.

Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.

Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.

Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.

Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.


Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.

Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.

Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.

Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Sababu ni kwamba hizo zinamilikiwa na taasisi binafsi ila hizo zingine zinamilikiwa na serikali hivyo huwezi kumdindia bosi wako unless uko tayari kuacha kazi ndivyo serikali inavyotumia udhaifu huo kuwapelekesha walimu wa hizo shule na Wanafunzi wao.
 
Swali ni kwanini hao wanaokusanywa hawakatai? Kwanini wazazi wao hawakatai?. Yani wabongo bwana,nyie raha yenu ni watu mteseke wote
Hayo maelekezo wanapewa ma afisa elimu anachofanya afisa elimu anapgia wakuu wa shule...mkuu wa shule akiwatangazia walimu wanafurahi wanachekelea wa kike kwenda kudanga mtaani nawa kiume kwenda kunywa pombe
 
Dar es salaam international schools wako mbele Sana kushiriki shughuli za kitaifa

Mfano michezo ya halaiki ya kiwango cha kimataifa wao ndio hufanya uwanja WA taifa
Ni njia mmojawapo pia ya katangaza shule zao
IST Dar es Salaam wakienda Uwanja wa Taifa kwenye michezo siku hiyo iko kwenye kalenda yao toka January First. Hakuna masomo siku hiyo.

Hawakurupuki tu wakafuta ratiba zao kuendana na upepo wa kisuli suli cha Rais ambae hajali ratiba za watu na taasisi zao

Kama umesoma chuo nje ya nchi you know siku ya kwanza ya mwaka mwalimu anagawa schedule ya jinsi mtakavyo spend kila sekunde ya muhula mzima wa masomo, na haibadiliki hata chembe. Na shule zao za awali ni hivyo hivyo!

Ikitokea amekuja mtu muhimu na maarufu chuoni kwenu, basi watakaokwenda kumsikiliza ni wanafunzi ambao at that particular time hawana kipindi. Au, kama unataka kutega darasa kwenda kumsikiliza unaenda kivyako. Darasa litakuwepo. Hulazimishwi kwenda hata kwenye auditorium ya hapo hapo chuoni, sembuse jitu linapita mtaani huko limesimama juu ya Land Cruisers kijijini liwaswage kama mbuzi tukamsikilize! Hawawezi! What if siku ile ni siku ya mid term exam kwa darasa fulani na fulani ?????? Wataacha mitihani ?????
 
Jiji kama Arusha limejaa Internatiinal schools zilizo karibu karibu sana tena zingine jirani kiasi na Shule za wanao soma wajinga wa hili Taifa kama radius ya km 5 hadi 10 hivi. Ila hizi International School wao kwa sababu wana jua what is Education huwezi watoa Darasani kwenda kushangilia.

Wazazi wa watoto wanao soma hizi shule za Internationa schools hawawesi kubaliana na ujinga huu wa kuwatoa Darasani watoto wao eti wakamfurahishe Samia.

Kumbuka wazazi hawa ni wajanja na watoto wao ni wajanja pia na walimu ni wajanja pia.

Hizi shule pia usisahau pia kwamba zinaandaa watoto watakao tawala wajinga wa nchi hii huwezi ona wao wanatolewa Darasani kwenda kushangilia watawala wa nchi hii kwa sababu wana jukumu moja tu kusoma ili watawale wajinga.

Mfano hizi shule utakuta wapo watoto wa Mwigulu Nchemba ambao kabla hatujafa lazima tushuhudie akitutawala sisi na watoto wetu na huenda na wajukuu zetu.

Sasa shule wanao soma wajinga wa hili taifa ndio hao lazima watolewe Darasani kwenda kushangilia watawala. Kumbuka pia Ujinga ni mtaji namba 2 wa CCM baada ya mtaji wa masikini.

Hizi shule zina wazazi wajinga sana + Wanafunzi full wajinga + Walimu Over Wajinga= Internationa Ujinga.


Na wazazi wa hizi shule kwa sababu ni wajinga wanakubaliana na watoto wao ambao ni full wajinga, waache kusoma waende kushangilia watawala.Yaani hapa kuna Cycle ya ujinga inazalishwa hapa.

Na last huwa watawala wanatufurahisha na matokeo, sasa hizi shule tukiona watoto wamepata Division 1 tunaelewa kwamba ndio elimu yenyewe kumbe ni ujinga mtupu.

Jiulize kwani watawawa hawataki watoto wao wawe Tanzania one au wapate Div 1? kwa nini wanawapeleka International? Jibu unalo.

Tuendelee kushangilia ujinga make ujinga ni jadi yetu.
Kwasababu mbili
  1. Watoto wa hao watawala wanasoma huko kwenye hizo shule
  2. Wenye shule hawapo tayari kugharamia usafiri kwenda kushangilia upuuzi
 
Kwasababu mbili
  1. Watoto wa hao watawala wanasoma huko kwenye hizo shule
  2. Wenye shule hawapo tayari kugharamia usafiri kwenda kushangilia upuuzi
Ila CCM huwa inagharamikia usafiri some time
 
IST Dar es Salaam wakienda Uwanja wa Taifa kwenye michezo siku hiyo iko kwenye kalenda yao toka January First. Hakuna masomo siku hiyo.

Hawakurupuki tu wakafuta ratiba zao kuendana na upepo wa kisuli suli cha Rais ambae hajali ratiba za watu na taasisi zao

Kama umesoma chuo nje ya nchi you know siku ya kwanza ya mwaka mwalimu anagawa schedule ya jinsi mtakavyo spend kila sekunde ya muhula mzima wa masomo, na haibadiliki hata chembe. Na shule zao za awali ni hivyo hivyo!

Ikitokea amekuja mtu muhimu na maarufu chuoni kwenu, basi watakaokwenda kumsikiliza ni wanafunzi ambao at that particular time hawana kipindi. Au, kama unataka kutega darasa kwenda kumsikiliza unaenda kivyako. Darasa litakuwepo. Hulazimishwi kwenda hata kwenye auditorium ya hapo hapo chuoni, sembuse jitu linapita mtaani huko limesimama juu ya Land Cruisers kijijini liwaswage kama mbuzi tukamsikilize! Hawawezi! What if siku ile ni siku ya mid term exam kwa darasa fulani na fulani ?????? Wataacha mitihani ?????
Hawa shule za walala hoi hakuna ratiba?
 
Hayo maelekezo wanapewa ma afisa elimu anachofanya afisa elimu anapgia wakuu wa shule...mkuu wa shule akiwatangazia walimu wanafurahi wanachekelea wa kike kwenda kudanga mtaani nawa kiume kwenda kunywa pombe
Hahaaa kusitisha masomo kwao ni furaha sana
 
Back
Top Bottom