IST Dar es Salaam wakienda Uwanja wa Taifa kwenye michezo siku hiyo iko kwenye kalenda yao toka January First. Hakuna masomo siku hiyo.
Hawakurupuki tu wakafuta ratiba zao kuendana na upepo wa kisuli suli cha Rais ambae hajali ratiba za watu na taasisi zao
Kama umesoma chuo nje ya nchi you know siku ya kwanza ya mwaka mwalimu anagawa schedule ya jinsi mtakavyo spend kila sekunde ya muhula mzima wa masomo, na haibadiliki hata chembe. Na shule zao za awali ni hivyo hivyo!
Ikitokea amekuja mtu muhimu na maarufu chuoni kwenu, basi watakaokwenda kumsikiliza ni wanafunzi ambao at that particular time hawana kipindi. Au, kama unataka kutega darasa kwenda kumsikiliza unaenda kivyako. Darasa litakuwepo. Hulazimishwi kwenda hata kwenye auditorium ya hapo hapo chuoni, sembuse jitu linapita mtaani huko limesimama juu ya Land Cruisers kijijini liwaswage kama mbuzi tukamsikilize! Hawawezi! What if siku ile ni siku ya mid term exam kwa darasa fulani na fulani ?????? Wataacha mitihani ?????